Bunge la Iraq limepitsha rasmi sheria ya kuhalalisha ndoa za wasichana wenye umri wa miaka 9

kutaka tu kuwachana watoto via vya uzazi,,manyanyaso haya.
 
Bora Hao Kuliko walio halalisha ndoa za jinsia moja
 
Bora Hao Kuliko walio halalisha ndoa za jinsia moja
Kuna wanaohalalisha? Wote hao na hawa ni mashetani. Tena hawa wanaobaka na kulawiti watoto ndo kabisa.... Ushetani ushetani ushetani mkubwa. Wote wataenda motoni
 
Kuna wanaohalalisha? Wote hao na hawa ni mashetani. Tena hawa wanaobaka na kulawiti watoto ndo kabisa.... Ushetani ushetani ushetani mkubwa. Wote wataenda motoni
Mwanao wa miaka 9 hapo wanampaka wese kisha wanaizamisha mzazi utachekelea?
 
Kwa mujibu wa Biblia kwenye andiko la 1Wakorintho7:36 ni mpaka mtu avuke upeo wa ujana ndio anaweza kufunga ndoa,upeo wa ujana ni mda ambao mtu anakuwa anaendeshwa na tamaa za ngono,tunaweza sema ni foolish age
Kwa kuongeza hapo ,Tena biblia ya kiswahili cha kisasa imeeleza .
"Anaweza kuzitawala tamaa zake na kuamua namna ya kufanya"
Kwa maana kijana anayeweza kufanya maamuzi sahihi.
Sasa kwny foolish age inaanzia kidato cha pili na ikiwa kileleni ni kidato cha tatu mwishoni.
Sasa umri wa kijana wa kidato cha tatu ni miaka 17(foolish age)
Akimaliza kidato cha 4 ana miaka 18 hapa tabia za foolish age zimepungua kwa kiasi kikubwa na wengine zimeisha kabisa,
Kwaio kwa mujibu wa biblia ni 18 kwenda juu.
 
Huna point
 
Katoto miaka 9 hakana utelezi Wala period Bado kiufupi hakajui chochote ni darasa la tatu
 
Ni sawa maana yule kiongoz
Bi Aisha pia alkua na umri wa miaka 9 aliporasimishwa rasmi kua mke wa mtume wa Mwenyezi ( S.A.W ) japo alianza kuish naye akiwa na miaka 6 Kwa hapa kwetu tunaitwa 'kumnajis" na kifungo chake ni maisha
 
Lawama atapewa Marekani.
Hahahahah

Watasema hizi ni stress za vita ya marekaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni sawa maana yule kiongoz

Bi Aisha pia alkua na umri wa miaka 9 aliporasimishwa rasmi kua mke wa mtume wa Mwenyezi ( S.A.W ) japo alianza kuish naye akiwa na miaka 6 Kwa hapa kwetu tunaitwa 'kumnajis" na kifungo chake ni maisha
Aisseeee huu ni utapeli mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…