Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ukatili na upuuzi usitetewe huyo ni mtoto Hana uwezo wa kuamua hatma ya maisha yake ubongo bado haujakomaaMnachotakiwa ni kuuliza na si kuanza lawama Islam hajibu kwa vile anaelewa nini kinaendelaa hata ninyi msijitoe fahamu zamani watoto (bibi zetu) walikuwa wanaolewa.wadogo sana hata hapa hapa Tanzania. Ni kwamba yule mtoto anakwenda lelewa na wazazi wa mume hadi atakapofikia umri unaostahili kuolewa ndio anapewa mume wake na katapata huduma.zote Kama mtoto na kwamba katacheza na wenzake Kama kawaida, ila watajaribu kukaweka karibu na mhusika ili aweze kumzoea mf. jamaa akiwa anarudi nyumbani watamwambia akampokee ni ile kumuweka karibu hapo anakuwa amefanywa nini kibaya? Tena kanalala na.mama mkwe maana ni katoto au na wenzake na nyumbani kanakwenda ila hakalali huko na si mara kwa mara. Kabla hamjaamza.kashfa zenu na kuamzisha nyuzi za kurukana.viongozi wa dini ambazo sio zenu mngejaribu kuchunguza, pia ustaarabu.uchukue nafasi yake
Huu ni ukatili kuliko hata ushoga,hili jambo hata mashoga wanaweza kupingaView attachment 3210378
===
Bunge la Iraq limepitisha sheria ya 'kutisha' kuruhusu watoto wa umri wa miaka tisa kuolewa, huku wanaharakati wakisema kuwa hatua hiyo itahalalisha ubakaji wa watoto.
Sheria hiyo mpya inazipa mahakama za Kiislamu mamlaka zaidi katika kushughulikia masuala ya kifamilia kama vile ndoa, talaka, na mirathi, huku ikiondoa sheria ya hapo awali inayokataza ndoa za watoto walio chini ya umri wa miaka 18, ambayo imekuwepo tangu miaka ya 1950.
Sheria hiyo imebainisha kuwa Waislamu wa Shia ambao ndio wengi zaidi nchini Iraq, umri wa chini zaidi wa kuolewa utakuwa miaka tisa, na wa Sunni, umri rasmi utakuwa miaka 15.
Pia, Soma:
• Bunge la Iraq lapokea muswada wa kupunguza umri wa kuolewa kutoka miaka 15 mpaka miaka 9
• Serikali ya Kiislamu ya Iraq yapendekeza sheria Watoto Miaka tisa kuolewa
Wameamua wenyewe tena bungeni kwao wala hujaletewa Africa lkn unaumia?Kuna muda nakubali Dunia kutawaliwa na mzungu laiti ingetawaliwa na mwarabu mambo yangekuwa haya hapa.
Mataifa mengi ya kiislam yanamkandamiza to sana mtoto wa kike
Mbona umekuwa mkali sana,we mwarabu nini mkuu,🤣Wameamua wenyewe tena bungeni kwao wala hujaletewa Africa lkn unaumia?
Kumbuka sheria ya ushoga ilianza kupitishwa na wazungu bungeni ukaletewa Africa tena ukaambiwa na ukikataa utanyimwa misaada mkapiga kelele sasa hapo kipi bora kwako na mpk sahv shinikizo lipo ukubali hapo ndo wazungu wanakupenda mwafrika acha ujinga wako weeh mgalatia
Weeh bado kabisaa wenye kuichukia uislam walikuwepo wameenda weeh sawa sawa na pimbi tuu...NIKI COMENT HAPA MIMI NA NINAVYOICHUKIA HIYO DINI.
NITAPIGWA BAN MAISHA.