Suala sio takwimu, ukijipima uko salama basi ujikinge... ila kama umeambukizwa basi nenda kituo cha afya ujisalimishe ili ikithibitika uanze kupatiwa huduma.
Hivi vipimo kila mwezi ndani kwangu nilikuwa napeleka nje kutupa dusbin limejaa kwenda kutupa baada ya kutumika, sio muumini wa condom hivi vipimo ndo vilikuwa kinga yangu, kwa vile wameruhusu sasa nitakuwa huru kununua tani nzima ya H.I.V test