Yes bunge liko hewani. Huyo aliyeko hewani ni Dr. Tulia Akson, ni kichwa mbaya ya sheria!. Tulipojoin UDSM mwaka wa kwanza, huyu ndie alikuwa ameajiriwa kama tutorial assistant akiwa anaonekana kama form six leaver!. She is no nonsense teacher, somo lake watu tulilamba supu za kufa mtu!.
Pasco