Bunge la katiba live leo jioni kumetokea nini?

Bunge la katiba live leo jioni kumetokea nini?

Tenths

Senior Member
Joined
Mar 2, 2010
Posts
111
Reaction score
45
Jana wakati akiahirisha bunge spika wa bunge hilo alisema kikao kwa leo kitaanza saa 11 jioni.Maajabu mpaka hivi sasa hakuna kituo cha tv kilichokwishajiunga kunani?
 
Jana wakati akiahirisha bunge spika wa bunge hilo alisema kikao kwa leo kitaanza saa 11 jioni.Maajabu mpaka hivi sasa hakuna kituo cha tv kilichokwishajiunga kunani?

mkuu,kamati ya maridhiano ipo faragha kuhusu kura ya siri na uwazi.
 
Mimi mwenyewe nashangaa... Hivi kwa nini wanataka walipwe pesa bila kufanya kazi, kama ni farga kwa nini wasikae muda wote mpaka waje wakae jioni...
 
mkuu,kamati ya maridhiano ipo faragha kuhusu kura ya siri na uwazi.

Kitaeleweka tu,msimamo ni kura ya siri na serikali tatu,FULL STOP.zaidi ya hapo Amani itakuwa Sifuri.
 
Hawa wabunge baada ya dili lao la posho kubuma,wamepanga kukaa mjengoni siku 120 ili hesabu zao zikae sawa.
 
wanakula posho zao bana. wewe unaulizia nini? au una mke wako huko na sasa unahisi vingine?
 
Ndo bunge linaanza sasa. Kumbe una matatizo ya kusikia na kuona. Badala ya saa 12 wewe ukatuambia saa 11
 
Jana wakati akiahirisha bunge spika wa bunge hilo alisema kikao kwa leo kitaanza saa 11 jioni.Maajabu mpaka hivi sasa hakuna kituo cha tv kilichokwishajiunga kunani?

Chungulia tbc-ccm wanaonesha
 
Back
Top Bottom