Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,245
Acha udini kwani niyeye peke yake aliyeongelea kura za siri! Mbona wacangiaji wengi tu ameliona hilo kuna haja gani kumpa misifa yote isiyo na maana.
mama kilango anashauri kura ya siri iamue kuhusu kura ya wazi au kura ya siri kupitisha vifungu vya katiba mpya
ina maana tibaijuka ameachwa pekee!!!!!
[h=1]Tweets[/h]Follow
- 32m
January Makamba ✔ @JMakamba
Kura ya jambo kubwa la Katiba kote duniani huwa wazi. Kama unaogopa na huna hoja za kuielezea kura yako kwa wananchi rudi nyumbani. Simple
Ndie mwana CCM wa kwanza kuunga mkono hoja almost zote za kamati ya kanuni.....anapongezwa kupingana na chama chake kuwa si haki kupiga kura za wazi ilihali yeye anamchagua Mwenyekiti wake kwa kura siri. Anashangazwa leo tunataka kuvunja haki ya mwananchi.
Mkuu ccm waliweka maamuzi yawe kwa kura na mpango wao ulikuwa ni kura ya uwazi kwa malengo kuwa itawatisha wafuasi wao ama wale wenye kuteuliwa na raisi ili waendelee kupata upendeleo wa raisi lakini tunakoelekea ni mpango huo kushindikana maana naona tunaelekea kwenye kura ya siri... tusubiri plan b ya ccmNani atakubaliana nawe katika hoja yako? Wewe unaona ni vyema kuliteka Bunge Maalum la Katiba kwa siku ya pili sasa kujadili jambo la kura tu? Kwamba iwe ya siri au ya wazi? Iko wazi kabisa kuwa kura zote zinazotoa hatma ya jambo fulani hupigwa kwa siri. Inategemewa kuwa kura inayozungumzwa sasa katika Bunge Maalum la Katiba itatumika hasa katika kupitisha Ibara za Rasimu huko Dodoma. Yafaa iwe ya siri.
Waonaji wameshaona.Kuwa kura iwe ya siri. Na ndivyo ilivyo. Uwazi uwepo lakini usiwe katika kura ya kutoa mustakabali wa jambo fulani muhimu kama hili la Katiba mpya. Prof. Tibaijuka,nakuheshimu sana. Lakikini kaika hili uliteleza. Ni muda wako kuomba nafasi ya kuchangia na kujirudi.
[h=1]Tweets[/h]Follow
- 32m
January Makamba ✔ @JMakamba
Kura ya jambo kubwa la Katiba kote duniani huwa wazi. Kama unaogopa na huna hoja za kuielezea kura yako kwa wananchi rudi nyumbani. Simple