BungelaKatiba2014tz
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,231
- 649
Mzee Rungwe amewaasa Wajumbe wa bunge la Katiba wasiwakwaze Nyerere na Karume huko waliko kwa kujibagua kwa lugha ya uzanzibari na Utanganyika kwa sababu tu ya kuyatetea MATUMBO YAO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtikila nimchungaji aliyechanganyikiwa yeyote anayemsikiliza inawezekana naye amechanganyikiwa kama yeye
kwa sababu anataka serikal 2...kilaZA we
nani aliyekuambia wanaotaka serikali 3 ndio wazalendo