Tuwekee video tuchekeNimeona kwenye azam TV habari usiku huu wabunge wakenya wakipelekeshana kwenye mijadala ya bunge kwa lugha ya kiswahili imekuwa kama comedy ni vituko hakuna mfano.lakini msipate hofu mtazoea tuu. Naona nguvu ya Rais magufuli kulazimisha matumizi ya kiswahili inavuka mipaka ya nchi sasa.
Hongereni wakenya tukienzi kiswahili.
Tuwekee video tucheke
Utasikia ile kiswahili ya Onyango na mama Kayaii.
Mijadala kwenye bunge la Kenya imekuwa ikifanywa kwa lugha ya kiswahili na kiingereza pia, kwa pamoja, tangu tupate Uhuru. Lugha zote mbili ni lugha rasmi bungeni. Hii ilikuwa 2017.Naona wanakwaya wamesahau asili ya kiswahili ni wapi. Sijui bunge la Tz likilazimishwa kutumia kiingereza itakuwaje. Alafu hata kiswahili cha baadhi ya wabunge Tz ni kibovu kupindukia. 'r'/'l', 'dhi'/zi huwa zinawakanganya sana
Kuna tofauti kubwa kati ya matamshi mabovu na kuimudu lugha.Alafu hata kiswahili cha baadhi ya wabunge Tz ni kibovu kupindukia. 'r'/'l', 'dhi'/zi huwa zinawakanganya sana.
Mijadala kwenye bunge la Kenya imekuwa ikifanywa kwa lugha ya kiswahili na kiingereza pia, kwa pamoja, tangu tupate Uhuru. Lugha zote mbili ni lugha rasmi bungeni. Hii ilikuwa 2017.Naona wanakwaya wamesahau asili ya kiswahili ni wapi. Sijui bunge la Tz likilazimishwa kutumia kiingereza hata kwa lisaa limoja itakuwaje. Kuelewa lugha zaidi ya moja au mbili ni 'advantage' moja kubwa mno. Alafu hata kiswahili cha baadhi ya wabunge Tz ni kibovu kupindukia. 'r'/'l', 'dhi'/zi huwa zinawakanganya sana.
Heheee,Lia basWakenya hawajui kiswahili wala English vyote hivyo ni mzigo kwao, wanaweza kujitutumua kama wapo vizuri kwenye English ila akiongea hata mzungu mwenye lugha yake hatafurahi sababu anaongea na accent ya kilugha
Kuna demu wa kikenya nachati nae hapa aisee ni kichefu chefu maandishi yake utafikiri ni bata anaharisha, sio kingereza sio kiswahili ngoja nitascreenshot mida mida π¬π¬π¬Watanzania wengi wana matatizo ya kimatamshi huku Wakenya wengi wana matatizo ya kisarufi. Huenda Kiswahili ndiyo lugha inayoongewa ovyo kabisa na wazungumzaji wake. Wazanzibari ndiyo wanaongea Kiswahili kizuri, wengine wababaishaji.
Mandugu zetu waTanzania..Kkkkkkπ
Nizaidi ya commedy
Hii maneno imechelewaMandugu zetu waTanzania..Kkkkkk[emoji23]
Mimi siamini hebu nipe mawasiliano yake nithibitishe.Kuna demu wa kikenya nachati nae hapa aisee ni kichefu chefu maandishi yake utafikiri ni bata anaharisha, sio kingereza sio kiswahili ngoja nitascreenshot mida mida [emoji51][emoji51][emoji51]
Kwenye sa anaweka za [emoji23][emoji23][emoji23] hajui kuruka space full kubananisha maneno.
Hahaha aiseeJana nilicheka sana
We hujawahi elewa wakenya ni watu wa aina gani hao wabunge sio eti hawajui Kiswahili lakini nikujifanya tu ,tangu nianze kumsikiliza Duale sijawahi kusikia amezungumza Kiswahili kisomali lakini juzi amezungumza Kiswahili cha kwao bahali yake,sio eti hajui alichokua anafanya ,sasa mbunge atasema vipi kua walete sheng bungeni eti hajui Kiswahili ilihali lugha aliokutana nayo baada ya kuzaliwa ni Kiswahili ,Kwa shule amesoma Kiswahili halafu ajue shengi ambayo umeanza tu juzi na asijue Kiswahili?Hahaha aisee
mzungumzishi,,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jana nilicheka sana