Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Nimeona kwenye azam TV habari usiku huu wabunge wakenya wakipelekeshana kwenye mijadala ya bunge kwa lugha ya kiswahili imekuwa kama comedy ni vituko hakuna mfano.lakini msipate hofu mtazoea tuu. Naona nguvu ya Rais magufuli kulazimisha matumizi ya kiswahili inavuka mipaka ya nchi sasa.
Hongereni wakenya tukienzi kiswahili.
Hongereni wakenya tukienzi kiswahili.