Hawa ndio watu serious kwenye masuala ya miundombinu na maendeleo ya matumizi ya gesi asilia hata kama hawazalishi gesi hiyo!
Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.
Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!
Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.
Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.
Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!
Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.