Bunge la Kenya lapitisha sheria kwamba nyumba zote zitakazojengwa ziwe na mfumo wa kusambaza gesi

Bunge la Kenya lapitisha sheria kwamba nyumba zote zitakazojengwa ziwe na mfumo wa kusambaza gesi

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Hawa ndio watu serious kwenye masuala ya miundombinu na maendeleo ya matumizi ya gesi asilia hata kama hawazalishi gesi hiyo!

Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.

Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!

Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.
 
Hawa ndio watu serious kwenye masuala ya miundombinu na maendeleo ya matumizi ya gesi asilia hata kama hawazalishi gesi hiyo!

Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.

Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!

Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.

Hawa jamaa dispite politics zao, lakini bado likija suala la forward thinking wako different from us.
Sisi huku tunazunguka pale pale miaka nenda rudi
 
Hawa ndio watu serious kwenye masuala ya miundombinu na maendeleo ya matumizi ya gesi asilia hata kama hawazalishi gesi hiyo!

Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.

Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!

Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.
Huko hakuna chawa jamaa wapo serious na nchi yao
 
Hawa ndio watu serious kwenye masuala ya miundombinu na maendeleo ya matumizi ya gesi asilia hata kama hawazalishi gesi hiyo!

Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.

Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!

Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.
Moto tunaoukimbiza kwa gharama kubwa ni miungu ilivyo kinyume na Mungu Mwenyezi na le giraffe mnyama wa kuzubaa, kuchelewa na kuliwa na wanyama wengine wakali.
 
Bado wana fanya upembuzi yakinifu Mungu watu wasio taka kukosolewa na yeyote.
 
Tukija kutaamaki Kenya wapo kule sisi tupo hapa hapa halafu tunakuja kulalamika hawa ndugu zetu kabisa kama mazuzu aisee.
 
Hawa jamaa dispite politics zao, lakini bado likija suala la forward thinking wako different from us.
Sisi huku tunazunguka pale pale miaka nenda rudi
Hakika, wamatuacha mbali sana, sisi tuko tunapiga mark time tu
 
Hawa jamaa dispite politics zao, lakini bado likija suala la forward thinking wako different from us.
Sisi huku tunazunguka pale pale miaka nenda rudi
Ndo elimu hiyo sisi bado tunakazana kukifanya kiswahili kiwe lugha ya kufundishia hadi a level
 
Why are we backwards? Always tuko stucked sehem hiyo hiyo miaka nenda rudi
Engilish iwe main language , ili watu wapate kujua yanayoendelea huko duniani. Kiswahili kimetufanya tuwe na confined mindset watu hadi taarifa ya habari cnn wanataka watafsiriwe na mkandara
 
Engilish iwe main language , ili watu wapate kujua yanayoendelea huko duniani. Kiswahili kimetufanya tuwe na confined mindset watu hadi taarifa ya habari cnn wanataka watafsiriwe na mkandara

Kiswahili kinaweza kuwa lugha ya taifa. But english ndio ibaki business language
 
Hawa ndio watu serious kwenye masuala ya miundombinu na maendeleo ya matumizi ya gesi asilia hata kama hawazalishi gesi hiyo!

Tanzania pamoja na kuwa na gesi nyingi hatujaweza kuisambaza hata Dar ambapo tayari mabomba kutoka Songosongo yalishawekwa zamani.

Ni hawa akina Rostam tulioshindwa kuwatumia hapa kwetu wanatumika Kenya!

Kenyans will now be required to install Liquified Petroleum Gas (LPG) pipes and taps, all of which should be incorporated in building designs before approval, following cabinet resolutions passed on Monday.
 
Back
Top Bottom