Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kwa sasa, Bunge linaendelea na kipindi cha maswali na majibu ambapo wabunge wanauliza maswali kwa Waziri Mkuu pamoja na Mawaziri wanatoa majibu, tuwe pamoja kufatilia yanayojiri kutoka viunga vya mji wa Dodoma.
View: https://www.youtube.com/live/ECVGyl8jL60
View: https://www.youtube.com/live/ECVGyl8jL60