Bunge la Marekani laidhinisha kitita cha $ billion 60 kwa Ukraine

Bunge la Marekani laidhinisha kitita cha $ billion 60 kwa Ukraine

Tatizo la Ukraine si upungufu wa silaha tu bali pia ina upungufu mkubwa sana wa wapiganaji na ufisadi ndani ya jeshi lake ,japo nchi za Magharibi zinajaribu kuyafumbia macho.
Mwaka jana Ukraine na washirika wake walitumia zaidi ya $ 35bilion kuandaa Offenseve lakini ilifeli vibaya ndani ya miezi miwili tu na silaha nyinyi ziliharibiwa.
Na mbaya zaidi sasa hivi kila silaha ya kimagharibi ya ardhini inayo aminika kuwa ni bora imesha pekekwa nchini Ukraine na kufeli.
Zaidi zaidi watakao faidika ni makampuni ya kutengeneza silaha na wanasiasa mafisadi ndani ya Ukraine basi.
Russia mpaka sasa imetumia $billion 211 kwenye uvamizi wake wa Ukraine huku Ukraine ikitumia takribani $billion 60.

Ukraine haijasema ina shida ya wapiganaji, imesema inao wapiganaji wa kutosha inachohitaji ni silaha tu za kutosha. Sasa sijui tukusikilize wewe au Ukraine.

Kingine fahamu msaada wa kijeshi wa Ukraine mwingi unaenda ukiwa ni mzigo wa silaha, vifaa vya kijeshi na mahitaji mengine muhimu, sio cash mkononi, kwa hiyo hizo propaganda za ufisadi ni kihoja chepesi sana.
 
Lengo la Marekani ni Ukraine kutoangukia mikononi mwa Russia na kumzuia Putin kuhamasika kuvamia nchi ya NATO baada ya Ukraine.
Wanasuasua sana siku . Akiingia Trump ninahisi watakata kabisa.
 
Wanasuasua sana siku . Akiingia Trump ninahisi watakata kabisa.
Bahati nzuri Marekani Rais hana mamlaka makubwa hiyo unavyofikiri.
Rais wao angekuwa na mamlaka hayo Biden angeshakuwa amewapa Ukrain hata mara 5 zaidi ya msaada wa sasa.
 
Bahati nzuri Marekani Rais hana mamlaka makubwa hiyo unavyofikiri.
Rais wao angekuwa na mamlaka hayo Biden angeshakuwa amewapa Ukrain hata mara 5 zaidi ya msaada wa sasa.
Republicans wamemkwamisha... Ndiyo haohao wataungana na Trump.
 
Russia mpaka sasa imetumia $billion 211 kwenye uvamizi wake wa Ukraine huku Ukraine ikitumia takribani $billion 60.

Ukraine haijasema ina shida ya wapiganaji, imesema inao wapiganaji wa kutosha inachohitaji ni silaha tu za kutosha. Sasa sijui tukusikilize wewe au Ukraine.

Kingine fahamu msaada wa kijeshi wa Ukraine mwingi unaenda ukiwa ni mzigo wa silaha, vifaa vya kijeshi na mahitaji mengine muhimu, sio cash mkononi, kwa hiyo hizo propaganda za ufisadi ni kihoja chepesi sana.
Kwahiyo hizo silaha haziuziki?

Sasa kama nchi za Magharibi zenyewe zilisha kili kuwa ndani ya Ukraine kuna ufisadi na moja wapo ya kikwazo cha yeye kujiunga na umoja wa Ulaya ni kiwango cha ufisadi, wewe mla magimbi kutoka karatu unacho bisha ni kitu gani?
Ukraine yenyewe imeshakili mara kadhaa kuwa ina upungufu wa wapiganaji.

Hizo takwimu za matumizi ya vita umeyatoa wapi na ni kwa mujibu wa nani? Mpaka sasa Ukraine imesha pokea silaha zenye thamani ya $125 bado silaha zake mwenyewe.

Offensive ya Ukraine iliandaliwa kwa bilion 35$ na muda wa mwaka mzima lakini ikazimwa kwa miezi 2 tu na kufeli vibaya.
Kiufupi huo msaada hautabadili chochote kwenye uwanja wa vita bali utarefusha vita tu.
 
Kwahiyo hizo silaha haziuziki?

Sasa kama nchi za Magharibi zenyewe zilisha kili kuwa ndani ya Ukraine kuna ufisadi na moja wapo ya kikwazo cha yeye kujiunga na umoja wa Ulaya ni kiwango cha ufisadi, wewe mla magimbi kutoka karatu unacho bisha ni kitu gani?
Ukraine yenyewe imeshakili mara kadhaa kuwa ina upungufu wa wapiganaji.

Hizo takwimu za matumizi ya vita umeyatoa wapi na ni kwa mujibu wa nani? Mpaka sasa Ukraine imesha pokea silaha zenye thamani ya $125 bado silaha zake mwenyewe.

Offensive ya Ukraine iliandaliwa kwa bilion 35$ na muda wa mwaka mzima lakini ikazimwa kwa miezi 2 tu na kufeli vibaya.
Kiufupi huo msaada hautabadili chochote kwenye uwanja wa vita bali utarefusha vita tu.
Zilete hapa links za hizi porojo zako.
 
Sidhani kama msaada huo utaleta mabadiliko makubwa katika uwanja wa Vita,sana sana ni kurefusha mgogoro tu ambao utazidi kuongeza maafa kwa pande zote!
 
Shida ni defending ni very expensive... jamaa anatuma kamikaze drone za 1000usd, wewe unazitungua kwa patriot missile ya usd mil 2.

Math is not mathing, muda si mrefu watarudi tena kuomba!
 
Bahati nzuri Marekani Rais hana mamlaka makubwa hiyo unavyofikiri.
Rais wao angekuwa na mamlaka hayo Biden angeshakuwa amewapa Ukrain hata mara 5 zaidi ya msaada wa sasa.
Lakini kumbuka kuwa ili kitu kikubaliwe na bunge ni lazima liwasilishwe na serikali kuu bungeni.
Hivyo bado rais anakuwa na nguvu ya kuamua kitu fulani kifanyike au kisifanyike kabla ya bunge.
 
Lengo la Marekani ni Ukraine kutoangukia mikononi mwa Russia na kumzuia Putin kuhamasika kuvamia nchi ya NATO baada ya Ukraine.
Hizo ni propaganda za NATO! Putin hana mpango wa kuzivamia nchi za NATO! Ila kama zitaishambulia Russia basi zitakuwa kwenye target zake!
 
Hizo ni propaganda za NATO! Putin hana mpango wa kuzivamia nchi za NATO! Ila kama zitaishambulia Russia basi zitakuwa kwenye target zake!
Ukraine na Georgia ziliishambulia Russia lini?
 
Lakini kumbuka kuwa ili kitu kikubaliwe na bunge ni lazima liwasilishwe na serikali kuu bungeni.
Hivyo bado rais anakuwa na nguvu ya kuamua kitu fulani kifanyike au kisifanyike kabla ya bunge.
Umekariri siasa za bongo,
Marekani masuala yote yanaanza na miswaada ya wabunge wa House of Representatives au Seneti. Mawaziri/Secretaries wao hawapeleki miswaada bungeni na huwa wanafika bungeni pale tu wanapohitajika na kamati za bunge.
 
Shida ni defending ni very expensive... jamaa anatuma kamikaze drone za 1000usd, wewe unazitungua kwa patriot missile ya usd mil 2.

Math is not mathing, muda si mrefu watarudi tena kuomba!
Una uhakika? Halafu ulipata Math ngapi O-level mpaka ufikirie Pentagon na hawana watu wa kufanya Mathematics za silaha?
 
Sidhani kama msaada huo utaleta mabadiliko makubwa katika uwanja wa Vita,sana sana ni kurefusha mgogoro tu ambao utazidi kuongeza maafa kwa pande zote!
Mabadiliko makubwa kwako unayofikiria ni kama yapi?
 
Umekariri siasa za bongo,
Marekani masuala yote yanaanza na miswaada ya wabunge wa House of Representatives au Seneti. Mawaziri/Secretaries wao hawapeleki miswaada bungeni na huwa wanafika bungeni pale tu wanapohitajika na kamati za bunge.
Huo mswaada wa kuipa Ukraine msaada ungeanzaje kujadiliwa iwapo usingependekezwa na serikali ya Baden?
 
Una uhakika? Halafu ulipata Math ngapi O-level mpaka ufikirie Pentagon na hawana watu wa kufanya Mathematics za silaha?
Fanya research kidogo kabla ya kujibu....

Plus hao Pentagon hawako kwenye biashara ya kuisaidia Ukraine, wako kwenye biashara ya kuuza silaha za kampuni zao.

1713693096333.png
 
Back
Top Bottom