Bunge la Marekani lashindwa kupitisha Muswada wa Kutuma Bilioni 17.6 kwa Israeli

Bunge la Marekani lashindwa kupitisha Muswada wa Kutuma Bilioni 17.6 kwa Israeli

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
mkuu kwahiyo umeiona nzega ndio ya mfano
Wayahudi weusi wa Nzega na Ifakara changeni pesa muwasaidie wayahudi wenzenu,wameishiwa hela kwa kupigana na kakikundi kama Hamas tu kwenye eneo dogo tu la Gaza.
Mkuu issac77 muulize ndugu yangu The Icebreaker watu wa Nzega sijui tulimkosea nini?. Kila mfano mbaya yeye anaisema Nzega, nshawahi kumuuliza Nzega walimfanyaje/walimkosea nini lakini hasemi.
 
Kalia kupiga mayowe humu wenzio Muddy na Osama wako bize wanawala wale bikira wenu kimasihala huko kwa Allahu akbar wenu
Wewe bikra yako uliipoteza lini?
Naona unawaonea wivu wenye bikra zao sasa,

Wenzako walifunga bila kula mpaka wakafa kwa pasta Mckenzie,wewe unachelewa nini? funga na wewe ili ukauone ufalme wa mbinguni fasta.
 
Back
Top Bottom