Bunge la Marekani lashindwa kupitisha Muswada wa Kutuma Bilioni 17.6 kwa Israeli

Bunge la Marekani lashindwa kupitisha Muswada wa Kutuma Bilioni 17.6 kwa Israeli

Wanakumbi.

Naona hali tete huko Marekani Israel kaishiwa pesa kaomba msaada dharura wa pesa, Netanyahu kamuomba Biden pesa Biden kapeleka mswada bungeni Wamarekani wamekataa kutoa pesa ni muda sasa Waisrael weuisi ya Majji matitu, Ngudu, Kimara kupelekq pesa Israel.


View: https://x.com/sprinter99800/status/1755141597350531246?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Netanyau amejaa na kiburi wakati uchumi wake tia tia maji, bila misaada hawatoboi

Watu wengi sana wamekasirishwa sana na uhuwaji wa kikatili ya watoto na wanawake ndio imepelekea watu kupata ugumu wa kuoa pesa kuwasaidia wahuwaji
 
Mlivyokuwa mnauwa 7/10//23 mlikuwa mnaimba Allahu akbar,Je mlipokuwa mnabaka siku hiyo mlikuwa mnaimba Allahu akbar mkikojoa? NAOMBA JIBU
Wewe na wapumbavu wenzako mnajua kua matatizo ya Palestina na Zionists yalianza October 7

Unajua kua Gaza ni an open prison? Ila Yahudi mwaka huu kakutana na kisiki cha mpingo,anaishia kuua watoto na wanawake tu pamoja na kubomoa majengo,Hamas anatembeza kichapo cha maana,

Leta ushahidi hapa wa Hamas kubaka au na wewe walikubaka ndio unaweka ushuhuda wako hapa?
 
Ishiiiiii! Kwa hiyo unataka niwapende Boko haram? Alqaida? Alshabab? Unayatenganishaje haya magenge ya kigaidi na Uislamu? Wote niliowataja hapo juu wanauwa huku wanaimba Allahu akbar
Wewe ukimpenda papa tu inatosha 😂😂😂
Wahi kwanza baraka upesi
 
Haelewi huyo uchumi wa marekani unaendeshwa na wayahudi ni sawa na sisi useme kuanzia Leo nafukuza wahindi,na waarabu na wapemba wote.Wao ndio wameshika uchumi mkubwa na ndio waliipa Kodi wakubwa TRA

Marekani hawezi cheza na wayahudi wabunge hao pesa zinatoka Kwa wayahudi .IMF ,Word Bank vyote Mali ya wayahudi hisa nyingi
Harafu hao hao wayahudi wanaoendesha uchumi wanategemea misaada hivi unaakili timamu kweli?
 
Sasa Israel anataka pesa za nini wakati kila kitu anapata kutoka kwa mabwana zake wa Marekani na Ulaya, mpaka Pizza wanajeshii wanapewa za bure makombora, ndege za kivita, vifaru vyote wanapewa bure, kila kitu unapewa lakini umeshinda kupamabana na wanamgambo wa Hamas tena kwenye kaeneo kadogo sana kama kigamboni.
 
Israel inamiliki uchumi wa marekani. Biashara zote kubwa ni za wayahudi. Lazima fedha zipelekwe kule na wapalestina wataendelea kupelekewa moto.
Unajisahau kama walipa kodi na walioijenga hasa hiyo US ni Irishmen.
 
Ishiiiiii! Kwa hiyo unataka niwapende Boko haram? Alqaida? Alshabab? Unayatenganishaje haya magenge ya kigaidi na Uislamu? Wote niliowataja hapo juu wanauwa huku wanaimba Allahu akbar
Kwahiyo Pope France kubariki ushoga ni sawa na ukristo umebariki ufiranaji??
JIFUNZE KUTOFAUTISHA MISINGI YA DINI NA MATAKWA YA MTU BINAFSI.
UNAONEKANA HUNA UPEMBUZI WE JAMAA.
 
Kuna myahudi yupo hapa jf anatokea Tandahimba anaitwa Maghayo awasaidie pesa ndugu zake.
 
Haelewi huyo uchumi wa marekani unaendeshwa na wayahudi ni sawa na sisi useme kuanzia Leo nafukuza wahindi,na waarabu na wapemba wote.Wao ndio wameshika uchumi mkubwa na ndio waliipa Kodi wakubwa TRA

Marekani hawezi cheza na wayahudi wabunge hao pesa zinatoka Kwa wayahudi .IMF ,Word Bank vyote Mali ya wayahudi hisa nyingi
Kama una fikra za namna hii hustahili kuwa hata mwenyekiti wa mtaa.
Tanzania hata ikisema ifukuze wahindi na waarabu bado haitaathirika kama unavyosema.
Ila ni mfumo tu utahitajika wa kuwezesha uwekezaji wa kiserikali na raia weusi ili biashara ziendelee.
Kwasababu hata wafanya biashara wakubwa wa kiTanzania wapo mahospitali,vituo vya afya,zahanati na maduka makubwa ya dawa yapo ya waswahili pia.
Kazi zote za ofisini ambazo pia zinachangia kodi zimeshikiliwa na waswahili wenyewe.
USA walipa kodi na waloijenga hiyo nchi sio wayahudi usijidanganye.
 
Mlivyokuwa mnauwa 7/10//23 mlikuwa mnaimba Allahu akbar,Je mlipokuwa mnabaka siku hiyo mlikuwa mnaimba Allahu akbar mkikojoa? NAOMBA JIBU
Shutuma za ubakaji Israel waliambiwa na ICC walete ushahidi wakafuta kesi.
Pia huu mzozo usiupeleke kidini hauhusiani na dini.
Kila mwaka Israel inakamata watoto chini ya miaka 12 na kuwaeka jela za jeshi na kuwatesa kingono na kisaikolojia,JE KWAKO HILO SAWA???
Jitahidi kujielewa bro .
 
Back
Top Bottom