MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajichosha tu mm wala sina diniWewe bikra yako uliipoteza lini?
Naona unawaonea wivu wenye bikra zao sasa,
Wenzako walifunga bila kula mpaka wakafa kwa pasta Mckenzie,wewe unachelewa nini? funga na wewe ili ukauone ufalme fasta.
Sasa kwanini wamarekani wamekataa?Israel inamiliki uchumi wa marekani. Biashara zote kubwa ni za wayahudi. Lazima fedha zipelekwe kule na wapalestina wataendelea kupelekewa moto.
Sio huna dini tu,mpaka akili pia huna,Unajichosha tu mm wala sina dini
Haya kaka, lakini Kila pahala lazima uitaje Nzega, pale Nzega nimekaa 2008-2014. Nandugu zangu wengi wamejenga pale, kwahio kwangu Nzega ninyumbani kabisa.Huo sio mfano mbaya Mkuu.
Ishiiiiii! Kwa hiyo unataka niwapende Boko haram? Alqaida? Alshabab? Unayatenganishaje haya magenge ya kigaidi na Uislamu? Wote niliowataja hapo juu wanauwa huku wanaimba Allahu akbarSio huna dini tu,mpaka akili pia huna,
Huwezi kua huna dini kisha ukaonyesha chuki zako kwa Waislamu,kawaongopee wapuuzi wenzako huko.
Haelewi huyo uchumi wa marekani unaendeshwa na wayahudi ni sawa na sisi useme kuanzia Leo nafukuza wahindi,na waarabu na wapemba wote.Wao ndio wameshika uchumi mkubwa na ndio waliipa Kodi wakubwa TRAIsrael inamiliki uchumi wa marekani. Biashara zote kubwa ni za wayahudi. Lazima fedha zipelekwe kule na wapalestina wataendelea kupelekewa moto.
Huna akili kweli wakuweza kung'amua waanzalishi wahayo magenge nikinani?. Baadae wakipishana maslahi ndio wangeuka magaidi?. Mbona OSAMA alisifiwa Sana na USA kipindi anapigana na USSR lakini baadae walivogeukana wakamwita gaidi?. Mbona Huko Congo watu wanauwana Sana lakini husikii wakiitwa magaidi?.Ishiiiiii! Kwa hiyo unataka niwapende Boko haram? Alqaida? Alshabab? Unayatenganishaje haya magenge ya kigaidi na Uislamu? Wote niliowataja hapo juu wanauwa huku wanaimba Allahu akbar
Kwa hiyo wayahudi unawapenda kwa kula wengi wao ni LGBTQ? ungejua hivyo vikundi vimetengenezwa na nani na vinafadhiliwa na nani wala usingepayuka hapa,hao unaowatetea hapa wameua watu wengi sana wasio na hatia,Ishiiiiii! Kwa hiyo unataka niwapende Boko haram? Alqaida? Alshabab? Unayatenganishaje haya magenge ya kigaidi na Uislamu? Wote niliowataja hapo juu wanauwa huku wanaimba Allahu akbar
Kalia kupiga mayowe humu wenzio Muddy na Osama wako bize wanawala wale bikira wenu kimasihala huko kwa Allahu akbar wenu
Kwa hiyo hiki tu ulichoandika hapa kinawafanya alshabab na Boko haram na Alqaida kuwa sio makundi ya kigaidi yenye mlengo wa dini ya kiislamu?Kwa hiyo wayahudi unawapenda kwa kula wengi wao ni LGBTQ? ungejua hivyo vikundi vimetengenezwa na nani na vinafadhiliwa na nani wala usingepayuka hapa,hao unaowatetea hapa wameua watu wengi sana wasio na hatia,
Wewe ni Mgalatia lia lia acha kujificha ficha.
Wengi hawaufahamu huu uhalisia.Haelewi huyo uchumi wa marekani unaendeshwa na wayahudi ni sawa na sisi useme kuanzia Leo nafukuza wahindi,na waarabu na wapemba wote.Wao ndio wameshika uchumi mkubwa na ndio waliipa Kodi wakubwa TRA
Marekani hawezi cheza na wayahudi wabunge hao pesa zinatoka Kwa wayahudi .IMF ,Word Bank vyote Mali ya wayahudi hisa nyimgi
Gaidi hana mda wa kufanya hiyo reasoning. Yeye ni Allahu akbar basi.Wengi hawaufahamu huu uhalisia.
Ungekua na akili ya uelewa ningekujibu,ila naona wewe mgalatia akili zako umeamua kuziweka kwenye mfuko wa Shati.Kwa hiyo hiki tu ulichoandika hapa kinawafanya alshabab na Boko haram na Alqaida kuwa sio makundi ya kigaidi yenye mlengo wa dini ya kiislamu?
Unatetea ugaidi 😀😀😀Ungekua na akili ya uelewa ningekujibu,ila naona wewe mgalatia akili zako umeamua kuziweka kwenye mfuko wa Shati.
wachangieni wayahudi wenzenu wacha porojo...Israel inamiliki uchumi wa marekani. Biashara zote kubwa ni za wayahudi. Lazima fedha zipelekwe kule na wapalestina wataendelea kupelekewa moto.
huko itobo bukene mbutu mambaliMkuu issac77 muulize ndugu yangu The Icebreaker watu wa Nzega sijui tulimkosea nini?. Kila mfano mbaya yeye anaisema Nzega, nshawahi kumuuliza Nzega walimfanyaje/walimkosea nini lakini hasemi.
Unaona jinsi usivyokua na akili? Mmeaminishwa na mabwana zenu nani gaidi na nani sio gaidi na nyinyi mnameza tu bila kufikirisha ubongo wenu,Unatetea ugaidi 😀😀😀
Mlivyokuwa mnauwa 7/10//23 mlikuwa mnaimba Allahu akbar,Je mlipokuwa mnabaka siku hiyo mlikuwa mnaimba Allahu akbar mkikojoa? NAOMBA JIBUUnaona jinsi usivyokua na akili? Mmeaminishwa na mabwana zenu nani gaidi na nani sio gaidi na nyinyi mnameza tu bila kufikirisha ubongo wenu,
Hamas ni resistant group fighting for freedom against Zionists occupation,
Unaweza kunipa tafsiri ya ugaidi ni nini? Nani anaamua kua huyu ni gaidi na huyu sio gaidi? Ndio maana nikakwambia mwanzo tu kua huna akili ya uelewa,
Wewe endelea tu kutetea hao LGBTQ wenzako.