Bunge la Ubelgiji lapitisha azimio la kuiwekea Rwanda vikwazo

Bunge la Ubelgiji lapitisha azimio la kuiwekea Rwanda vikwazo

Binadamu wana roho za ajabu sana, Rwanda ina utulivu, uchumi una stawi lakini Kiongozi wa Nchi anahangaika na wanao mkosoa na kuwamaliza, ana sababisha nchi majirani wakose Amani.
Yaani ni kama kila analofanya bado halimpi utulivu wa nafsi.
Hivi Kiongozi aoni maisha ya watu yanavyo haribika kwasababu yake!!
Unastawi kwa mali za wizi kutoka congo. Acha wamnyooshe, wanajua atakwama wapi. Maana hayo madini anayoyaiba congo hatayauza.
 
Hakuna jipya na hilo.

Hao walishaiwekea vikwazo na vigingi Rwanda na Kongo toka enzi na enzi.

Maigizo tu.
 
Bunge la Ubelgiji limepitisha muswaada wa kuiwekea Rwanda vikwazo vya kiuchumi na kijeshi kutokana na mchango wake wa machafuko mashariki mwa DRC.

Azimio hilo lenye kurasa 11 liliwasilishwa na mbunge wa ubelgiji mwenye asili ya DRC mutyebere Ngoi kutoka chama cha kishoshalisti limeungwa mkono na wabunge wote wa bunge la Ubelgiji.

Katika azimio hilo lililojulikana kama 76 limetoa wito kwa serikali ya Ubelgiji kusitishwa kwa misaada yote ya kijeshi, kiuchumi na ushirikiano, pia limeadhimia kufutwa kwa mkataba wa ushirikiano kati ya Rwanda na Ubelgiji uliosainiwa tarehe 19.2.2024 limetoa wito pia kusitisha uuzaji wa bidhaa zote za mafuta kutoka Ubelgiji na kusitishwa kabisa kwa mashirikiano ya kijeshi na kufuta misaada yote kwa serikali ya Rwanda.

Soma: Umoja wa Ulaya (EU) waitaka Rwanda kutoa vikosi vyake Mashariki mwa Congo huku ikipanga kupitia upya makubaliano ya malighafi na nchi hiyo
Mzungu mnafiki sana. Usikute walipishana na Kagame kwenye kugawana maslahi. Ila mabwege watasema Ubelgiji inaitakia mema Congo.
 
Nchi zote jirani zinamuogopa Paul Kagame.
Hovyooo "Any military intervention to sovereignity state will be subjected as unacceptable military invasion and destabilizing sovereignty and freedom so any unacceptable invasion wili be strongly condemned and sanctions will be implemented unlikely war declared" watu wanaheshimu mikataba ya kimataifa mzee sio unavyofikiria maana uliingia kichwa kichwa jumuiya za kimataifa zitapata sababu na kuanza vikwazo vitageuka
 
Huyu hana muda watamnyakua yeye na watoto wake wanafanya mambo ya hivyo mnoo hasa dogo Ian hawampendi kwa udhalilishaji wake na kuhusika kwake kutekwa watu Gisenyi na Kigali kazi anayo bwana mkubwa au mkulungwa aje ajifiche kimanzichana au hata Msangangongele huku kwa wandengereko na wazaramo
Kafunga na kuwapoteza wapinzani nje na ndani ya nchi. Ni MTU hatari sn.
 
Yaani waAfrica wenyewe tumemshindwa PK mpaka wazungu watusaidie, Tishekedi naye ameshindwa kulinda mipaka ya nchi yake sasa anaziweka rehani rasirimali za Taifa lake.
Hakuna aliomshindwa ni dhaifu sana angekua bila sapoti ya MAGHARIBI, hivyo magharibi hao hao ndio wameona wamteme, hapo sasa hata Atadhoofika kabisaa
 
Needless to say dictator Paul Kagame's halcyon days are drawing to an end, his one time long list of friends is quickly diminishing and is now surviving with only handful of sycophants who are the beneficiaries of his over quarter century tyranny.
 
Binadamu wana roho za ajabu sana, Rwanda ina utulivu, uchumi una stawi lakini Kiongozi wa Nchi anahangaika na wanao mkosoa na kuwamaliza, ana sababisha nchi majirani wakose Amani.
Yaani ni kama kila analofanya bado halimpi utulivu wa nafsi.
Hivi Kiongozi aoni maisha ya watu yanavyo haribika kwasababu yake!!
Huyu ni vampire mzee ashamwaga damu ya kutosha
 
Binadamu wana roho za ajabu sana, Rwanda ina utulivu, uchumi una stawi lakini Kiongozi wa Nchi anahangaika na wanao mkosoa na kuwamaliza, ana sababisha nchi majirani wakose Amani.
Yaani ni kama kila analofanya bado halimpi utulivu wa nafsi.
Hivi Kiongozi aoni maisha ya watu yanavyo haribika kwasababu yake!!
Kuna binadamu wao addiction zao ni vita bila kupigana hana raha ili ajione mtu lazima kuwe na vita watu wafee yeye ndio raha yake na ndio mfano wa viongozi kama museven , kagame na the like..
 
Binadamu wana roho za ajabu sana, Rwanda ina utulivu, uchumi una stawi lakini Kiongozi wa Nchi anahangaika na wanao mkosoa na kuwamaliza, ana sababisha nchi majirani wakose Amani.
Yaani ni kama kila analofanya bado halimpi utulivu wa nafsi.
Hivi Kiongozi aoni maisha ya watu yanavyo haribika kwasababu yake!!
ulafi wa madaraka na kujilimbilikizia mali na kujiona ni mkuu sana kuliko wengine ndio balaa linapoanzia.
 
Tuache unafiki silaha za m23 zinapita bandari ya Tanzania au Kenya hakuna kwingine kama mnataka ni kuzuia silaha za Rwanda zisipite bandari za Kenya au Tanzania wabebe kwenye ndege zikatue kigali
 
Back
Top Bottom