Bunge la Ubelgiji lapitisha azimio la kuiwekea Rwanda vikwazo

Bunge la Ubelgiji lapitisha azimio la kuiwekea Rwanda vikwazo

By
Tuache unafiki silaha za m23 zinapita bandari ya Tanzania au Kenya hakuna kwingine kama mnataka ni kuzuia silaha za Rwanda zisipite bandari za Kenya au Tanzania wabebe kwenye ndege zikatue kigali
Zinapitia Tanga, Moshi, Babati,singida,Kahama,Nyakanzi, Rusumo ,Rwanda.
Malori ya makondainer ni mamia kwa maelfu yanapitishwa usiku na mchana
 
Mdogo mdogo Fido Dido ataelewa somo.

Tshisekedi japo kaingia mkataba na shetani lakini hapa atafanikiwa kumdhibiti Kagame.

Jeuri na nguvu ya Kagame ilitoka kwa kuwa kwake dalali wa Wazungu kupata mali za Congo, sasa ikiwa wana uwezo wa kuzipata bila ya dalali watampiga chini Kagame, na hapo ndio ukomo wa kiburi chake.
 
Back
Top Bottom