Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

biblia kuhakikishia nn.......?????
 
Mkuu Eiyer kile uli chokisema kwenye mada ile ya kitabu cha enok imenifanya nirudi nyuma kwenye mada hii kwamba ukweli haufichiki utauema tu bila kujua mfano hili jengo na hio sanam ni kiashishia kinachoonyesha uhalisia wao, nakupa heko kaka.
Pamoja sana mkuu.....

Mfalme wa Wafalme alishasema "hakuna kitakachokuwa mafichoni ambacho hakitafichuliwa",unabii huo unaendelea kutimia taratibu tu mkuu....
 
Ni mpango maalum kabisa,wala si bahati mbaya.Shetani ameshaiweka mkononi Ulaya karibu yote na Marekani yote na sehemu kubwa ya Mashariki ya mbali.Ulaya na Marekani wako wazi kabisa kwamba Mungu wao ni Shetani. "DOG SI NATAS"

Sent using Jamii Forums mobile app
 

juve 2012 mwana unajua,ila unaniudhi kwa jinsi ulivypotea humu jukwaani tangu mada ya rothschild family worth. asnte mkuu,bado kiranga sasa.
 
juve 2012 mwana unajua,ila unaniudhi kwa jinsi ulivypotea humu jukwaan tangu mada ya rothschild family worth. asnte mkuu,bado kiranga sasa.
nasikitika sana kutoonekana kwake sijui atakua wapi
 

Picha "inayosadikiwa".

Mpaka hapo habari ishanuka uzushi.
 


Nchojua na nina uhakika nacho,mambo yote yalizungumziwa kwenye ufunua kuanza ufunua 13,yalikwisha tokea tokea wakati ule kina petro na watakatifu wengin wanauawa na kuteswa,na dola mbali mbali kuanguka na kubadilisha tawala mfano USA
 
Njoo kule jukwaa la dini tujifunze zaidi...
Jukwaa la ubaguzi, nilishawahi kuomba kuingia huko bila majibu!
Nina kitu cha kuchangia hapo lakini kwa uelewa wa watu hapa wataishia kukashfu. Kwa ufupi hayo majengo ndio NWO watayatumia na yule kiongozi wao 666.
Ni ajenda ya wadau wa chinichini kuweka mipangilio katika muelekeo huo, tupo karibu kufikia huko na ni kizazi hiki ndio kitahusika.
 
achana nao watu wenye akili fupi kama hawa, hawajui linaloendelea. Hii ni lugha iliyo katika level ya juu sana! Wao wataletewa mashati yenye picha za hivo vitu wanavaa bila kujua kinachoendelea
 
Kuna mchambuzi mmoja nimependa sana uchambuzi wake wa ufunuo. Yeye amemchambua yule mnyama kuwa ni Taifa au muunganiko flani utakaoungwa na mataifa hayo (yaani hii EU). Watakaohusika kuunda ndio tafsiri ya namna mnyama alivyo fafanuliwa.
MNYAMA = NCHI AU TAIFA
Sio lazima yote yaliomo humo kwa sasa. Jeraha la mauti kasema ni PIGO/dholuba kwa nchi mojawapo zitakazounda 666. Nchi hii aliitaja kuwa ni Ujerumani. (ILIPATA PIGO LA MAUTI NA KUPONA) Iligawanywa na kupona katika jeraha hilo (YAANI kujiunga tena kama taifa) . SASA ajenda inaendelea. Ndio haya tuyaonayo na Dira kuu ni mambo yanavyoendelea pale Israel. Mwanamke mkuu yule kahaba alimtaja mchambuzi huyu kuwa ni VATICAN (fuatilia mavazi ya kahaba). itaanguka na kuisujudu hii kitu 666 inayoundwa na mataifa haya. Nabii wa uongo alimtaja kuwa ndio atakayeiporomosha vaticana na RC yote kwa kuiweka chini ya hii 666. PApa atatakayekalia kiti kipindi hicho (haijulikani kama ni huyu au ajaye) ndio atakuwa mtekelezaji mkuu wa kuiweka RC. YOTE CHINI YA 666.
 
Tafsiri ya hiyo kitu ni kuwa; Katika 666 itakayojengwa itahusisha na kuanguka kwa yule kahaba (pichani) kama TAifa ambaye atakuwa ndani ya hiyo 666.
kahaba = taifa la vatican na RC yote (fuatilia ufunuo na mavazi ya huyu kahaba alivyotambulishwa na sifa zake)
MNYAMA = TAIFA
HUYU MNYAMA 666 ATAFANYA kufulu mbele za Mungu, hayo majengo bado ni viashiria tu na mwanzo wa makufulu. Yaani wanaanza kujenga kile walichoshindwa wenzao pale nyuma, kama waligawanywa sasa wanaungana tena NDIO MAKUFULU YENYEWE HAYO YANAANZA. ((NWO))
MUONEKANO WA YULE MNYAMA KUWA kama hivyo alivyo ni muunganiko wa mataifa kadhaa. WACHACHE SANA WATANIELEWA HAPA, hasa wale wanaofuatilia kitabu cha ufunuo; wengine wataishia kuona upuuzi. Kuna propaganda zinapita kuwa papa ni 666, au sijui muanzilishi wa dini gani, hakuna kitu kama hicho. Atakaekalia kiti cha papa ndio (huyu au wa mbeleni)atakaekuja kuwa yule nabii wa uongo kwa kuiangamiza RC (RC na Vatican = yule mwanamke kahaba) na kuiweka chini ya 666 na kuunda dini ya 666 kwa kusema kiongozi wa 666 ndio wa kuabudiwa/
 
I don't believe in their book at all, but they are mentioned in the Bible as Anti Christ. Nevertheless, they claim through their Book that Allah will dominate the world. I don't think we can close our eyes on that.
Hawa katika bible wako katika zile nguvu kuu zilizotengwa katika mafungu 4 ambazo katika kuenenda kwao zitapingana na MAPENZI YA MUNGU. (NIFUATE KWA UMAKINI nakufumbua macho)
Nguvu hizi zitatokea mpaka hapo zitakapokuja kusababisha uwepo wa mpinga kristo kwa namna moja au nyingine. Yaani watakuja kusalimu amri ama kwa kukubali au kwa vita.
Nguvu hizi ni wale farasi wanne kwenye ufunuo na kila mmoja ana rangi yake kutambulisha nguvu hizo. "NA NIKAONA FARASI WANNE.........."
  • Rangi nyeupe = ukatoriki (waliua sana kueneza itikadi yao, sasa wametulia kwa kuwa lengo limetimia, wana wafuasi wengi)
  • Rangi nyekundu = ukomunisti (wachina na Warusi wameua na wataua sana kueneza itikadi yao)
  • Rangi kijani iliyopauka = uislamu (wameua sana, ila bado wachache, hivyo wanaendelea kuua kueneza itikadi yao mfano ISIS)
  • Rangi nyeusi = Ubepari (inajumuisha mataifa yote yanaoendekeza Dhana ya ubepari) Wameua sana kueneza itikadi zao yazaniwa AIDS ndio wameitengeneza wao kuwamaliza maskini ili waendeleze itikadi zao, mpaka sasa madawa yanatoka kwao ya kupunguza makali ya AIDS lakini kiukweli ni kuendeleza AIDS tafakali

Nguvu hizi zinafanya kazi ambayo ni kinyume na mapenzi ya Mungu, na KWANYAKATI tofauti, na kwa mbinu tofauti wameua sana, wamechinja sana na bado wanafanya japo WANAJITOKEZA MBELE NA KUJIFANYA WATU WA AMANI. Huu ndio ufunuo wa wale farasi wanne wenye rangi hizo pamoja na waliowapanda. Tulia kasome taratibu bible sehemu hiyo ya ufunuo husika. Wachache mtanielewa!
Nguvu hizi zina sifa kuu moja zinazoonyesha kuwa nia kitu kimoja moja (chunguza). Wakijitokeza mbele za watu au jumuiya wanavaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu. Watatetea kuwa wao ni watu wa AMANI.
Nguvu WALIYONAYO ni nyenzo yao kuu itumikayo kueneza ITIKADI YAO ama kwa kificho/ujanja waliojaliwa huku wakijifanya ni watu wa amani.
 
Muhammad is 666
Lets try it for muhammad :

M 13 * 9 = 117
U 21 * 9 = 189
H 8 * 9 = 72
A 1 * 9 = 9
M 13 * 9 = 117
M 13 * 9 = 117
A 1 * 9 = 9
D 4 * 9 = 36

---------- TOTAL =
666
Hiyo formula nani kakufundisha uitumie. Ninachojua Neno la ufunuo kipindi hicho lilishushwa kwa lugha ya Kihebrania na kuna mfumo wa namba wa kiebrania ndio unatakiwa kukokotoa kupata jumla ya 666. Sasa hii yako sijui ya wapi! Kama ufunuo ulishushwa kwa kirumi basi namba za kirumi zitahusika. SASA kwa taarifa yako Ukitumia namba za Kiebrania (google ujifunze) ukajumlisha utakachopata leta hapa. Wote wasiotumia namba za lugha hiyo wanapata majina mengi jumla yake ni 666. Mungu hakuwa mjinga kutumia lugha ya Hebrew kushusha kitabu cha ufunuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…