Bunge la Ulaya kutuamulia Tanzania na Uganda nini Cha kufanya ni kutudharau?

Bunge la Ulaya kutuamulia Tanzania na Uganda nini Cha kufanya ni kutudharau?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Bunge la Ulaya limesema kuwa ni marufuku Tanzania na Uganda kujenga bomba la mafuta na gesi kutoka Uganda kwenda Tanga Tanzania kwakuwa mradi unachafua mazingira na unadhulumu watu linakopita ni sawa? Maswali hapa ni:

1. Wazungu wanapata wapi nguvu hii ya kutuamulia sisi nini kizuri na nini kibaya? Je , ni hii tabia yetu ya ombaomba na utegemezi kwao ndio inayotuponza? Je, historia ya utumwa inatuponza, wanatudharau kutuona kama wajinga, watumwa wao?

2. Ni kweli mradi huu unaharibu mazingira kwa kiasi hicho kuliko wao wanavyochafua? Viwanda vyao havichafui mazingira?

3. Ni kweli watu wetu wanaopitiwa na mradi hawakupata stahiki zao sawasawa na thamani ya mradi wenyewe (value for money)? Wamedhulumiwa na wajanja? Nchi zao hazikujengwa na watumwa na Mali za kupora wengine?

4. Nini hatima ya uhusiano wetu na nchi za Magharibi, wakoloni wetu wa zamani? Ndio ukoloni unarudi tena? Wanawaza kurudi tena?
 
Nakumbuka hata "Rufiji Dam" waliikataa kwa kigezo cha uharibifu wa "bayoanuai" lakini kama nchi TULIAMUA kujenga na hakuna kitu wamefanya!

Hata kwenye hili kama lina manufaa kwa nchi zetu, na IWAPO tukiamua tutaweza tu.
 
Bunge la Ulaya limesema kuwa ni marufuku Tanzania na Uganda kujenga bomba la mafuta na gesi kutoka Uganda kwenda Tanga Tanzania kwakuwa mradi unachafua mazingira na unadhulumu watu linakopita ni sawa? Maswali hapa ni...
Mabeberu: Ukiwasikiliza unanasa kwenye tope. Naipongeza Serikali kutoa msimamo. Hata Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere ilikuwa ivi ivi vikwazo vingi.

Makamba alipopewa Wizara alitaka kuingia mkenge kuuacha badae akaona una manufaa akaweka nguvu kuendeleza. Wazungu wanapenda tuendelee kuwa tegemezi kwao
 
Nakumbuka hata "Rufiji Dam" waliikataa kwa kigezo cha uharibifu wa "bayoanuai" lakini kama nchi TULIAMUA kujenga na hakuna kitu wamefanya!

Hata kwenye hili kama lina manufaa kwa nchi zetu, na IWAPO tukiamua tutaweza tu.
Tatizo ni viongozi tulionao sasa,waoga
 
Bunge la Ulaya limesema kuwa ni marufuku Tanzania na Uganda kujenga bomba la mafuta na gesi kutoka Uganda kwenda Tanga Tanzania kwakuwa mradi unachafua mazingira na unadhulumu watu linakopita ni sawa? Maswali hapa ni:
1. Wazungu wanapata wapi nguvu hii ya kutuamulia sisi nini kizuri na nini kibaya? Je , ni hii tabia yetu ya ombaomba na utegemezi kwao ndio inayotuponza? Je, historia ya utumwa inatuponza, wanatudharau kutuona kama wajinga, watumwa wao?
2. Ni kweli mradi huu unaharibu mazingira kwa kiasi hicho kuliko wao wanavyochafua? Viwanda vyao havichafui mazingira?
3. Ni kweli watu wetu wanaopitiwa na mradi hawakupata stahiki zao sawasawa na thamani ya mradi wenyewe (value for money)? Wamedhulumiwa na wajanja? Nchi zao hazikujengwa na watumwa na Mali za kupora wengine?
4. Nini hatima ya uhusiano wetu na nchi za Magharibi, wakoloni wetu wa zamani? Ndio ukoloni unarudi tena? Wanawaza kurudi tena?
Sio kila katazo linaubaya wake, viongozi wa kiafrika pia sio wa kuamini saana hasa katika mikataba mikubwa, wazungu wanajaribu kutustua kiustaraabu ipo shida na wao wameiona sasa sisi kazi yetu ni kuitafuta hiyo shida na kuifanyia kazi. Wao wanao uzoefu wa kutosha katika hili na ni jukumu letu kusikiliza na kuchukua taadhari.

Wazungu wanajua kabisa shida zako wewe ni mzigo kwao, lazima wazuie hizo shida, mfano nyie wenyewe toka mwaka 2015 mligoma kuajiri na vijana wenu wakakosa ajira na mliambiwa hilo ni boom litakuja kubutuka tu, sasa leo mmezalisha panya road mnajidai kabisa hamjui wametoka wapi???

Pasi na shaka bomba likipita linaharibu mazingira na wewe unajua, sema ni kawaida kupima athari na kulinganisha na faida mara nyingi tunafunika kombe kwa faida kiduchu, babu zenu walikuwa wanabadilisha almasi kwa shanga na walikuwa na majibu kama haya ya kwako matokeo yake unayaona.

Stahiki manake nini kama mtu akilipwa fidia anapaswa kuwa bora zaidi ya walipomkuta sababu mradi unaopita ni biashara ya kudumu, kwa nini wasiwape hisa wakawa sehemu ya umiliki???? unaambiwa umekaa vibaya unakasirika nini sasa kaa vizuri basi.
 
Ule msemo wa masikini jeuri nina mashaka nao, sidhani kama una apply kwenye haya maisha yetu, naona ulitungwa na masikini ili wajiliwaze tu.
 
Kwanza tujiulize lile la TAZAMA limetuletea athari gani tokea lijengwe na limetuletea faida ipi mpaka sasa..
Za kuambiwa changanya na zako, huu mradi watu tumewekeza humo kwa muda mrefu mpaka tumefilisika kwa sasa kisa danadana hizo za hao mabeberu, nawasihi viongozi wasirudi nyuma wafanye kama ilivyokuwa kwa bwawa la Nyerere.

Tusipangiane vya kufanya wao huko wanasapoti vita Ukraine je wamepima madhara wanayopata Ukraine na Russia?..

Wakati ni huu wakuwa na msimamo thabiti hakuna haja ya kuwasikiliza kama wao wanavyotaka, walianzia kwenye mabenki yasitoe pesa za kuendesha huu mradi bado watu wakafanya mipango mingine wanaona mradi unaanza wanaibuka na hoja zile zile za mwanzo tena, shenzi zao hao.
 
Nakumbuka hata "Rufiji Dam" waliikataa kwa kigezo cha uharibifu wa "bayoanuai" lakini kama nchi TULIAMUA kujenga na hakuna kitu wamefanya!

Hata kwenye hili kama lina manufaa kwa nchi zetu, na IWAPO tukiamua tutaweza tu.
Huyo alikuwa JPM lakini ambae hatunae tena katika mazingira ya kutatanisha.
 
Mabeberu: Ukiwasikiliza unanasa kwenye tope. Naipongeza Serikali kutoa msimamo. Hata Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere ilikuwa ivi ivi vikwazo vingi.

Makamba alipopewa Wizara alitaka kuingia mkenge kuuacha badae akaona una manufaa akaweka nguvu kuendeleza. Wazungu wanapenda tuendelee kuwa tegemezi kwao
Eti wanatufundisha sisi namna ya kutunza mazingira wakati wao wameshindwa. Sisi bado tunayo misitu minene ya asili na hifadhi nyingi za wanyamapori wakati wao hawana. Waje kwetu tuwafundishe uhhifadhi wa mazingira sio wao watufundishe sisi.
 
Sio kila katazo linaubaya wake, viongozi wa kiafrika pia sio wa kuamini saana hasa katika mikataba mikubwa, wazungu wanajaribu kutustua kiustaraabu ipo shida na wao wameiona sasa sisi kazi yetu ni kuitafuta hiyo shida na kuifanyia kazi. Wao wanao uzoefu wa kutosha katika hili na ni jukumu letu kusikiliza na kuchukua taadhari.

Wazungu wanajua kabisa shida zako wewe ni mzigo kwao, lazima wazuie hizo shida, mfano nyie wenyewe toka mwaka 2015 mligoma kuajiri na vijana wenu wakakosa ajira na mliambiwa hilo ni boom litakuja kubutuka tu, sasa leo mmezalisha panya road mnajidai kabisa hamjui wametoka wapi???

Pasi na shaka bomba likipita linaharibu mazingira na wewe unajua, sema ni kawaida kupima athari na kulinganisha na faida mara nyingi tunafunika kombe kwa faida kiduchu, babu zenu walikuwa wanabadilisha almasi kwa shanga na walikuwa na majibu kama haya ya kwako matokeo yake unayaona.

Stahiki manake nini kama mtu akilipwa fidia anapaswa kuwa bora zaidi ya walipomkuta sababu mradi unaopita ni biashara ya kudumu, kwa nini wasiwape hisa wakawa sehemu ya umiliki???? unaambiwa umekaa vibaya unakasirika nini sasa kaa vizuri basi.
Ulaya wanapata mafuta na gesi kutoka Urusi kwa njia ya mabomba kama haya. Mbona hawakukaa ujenzi wa mabomba hayo kutoka Urusi? Hayo mabomba kutoka Urusi hadi nchi za Magharibi hayahusiki na uharibifu wa mazingira? Jee humo lilimopita bomba la gesi wamepewa hisa na Gazprom? Hebu changamsha akili yako. Hapo ulipojenga nyumba yako unayolala umeharibu mazingira au hujui na hilo?
 
Ulaya wanapata mafuta na gesi kutoka Urusi kwa njia ya mabomba kama haya. Mbona hawakukaa ujenzi wa mabomba hayo kutoka Urusi? Hayo mabomba kutoka Urusi hadi nchi za Magharibi hayahusiki na uharibifu wa mazingira? Jee humo lilimopita bomba la gesi wamepewa hisa na Gazprom? Hebu changamsha akili yako. Hapo ulipojenga nyumba yako unayolala umeharibu mazingira au hujui na hilo?
Dogo nchi hizo unazosema bomba limepita polini na mbaali na watu walipo, na walipokuwepo watu wanafidia za maana. Huku kuna mamia ya watu walipisha migodi fidia wanazopewa ndio hizo zinazoleta malalamiko. Huko kwenye bomba unaambiwa pisha bomba tukupe ardhi nyingine hii haitoshi, nimekupa pasi ya goli tugawane zawadi ya goli.

Hawa wananchi wanahamishwa kiujanja ujanja namba wenzenu kule wanaona na kulinganisha bomba hilo lingepita kwao wahanga wangebutua. Watu ni sehemu ya mazingira bomba linaathiri maisha ya watu pia, sasa fidia mnazotoa hazitoshi na zinaacha malalamiko hata kama mliwakuta maskini hii ndio penalty yao, kuwa mahali bomba limepita ndio fursa kwao ya mwisho.

Wakilalama tu dunia na wanao jua wanaona mnapoleta sanaa. mlipoweka migodi mliowakuta mlitimua na kuwaacha na umaskini wao, nyie mnabunya na watoto wenu ndio wanapiga kazi huko.
 
Dogo nchi hizo unazosema bomba limepita polini na mbaali na watu walipo, na walipokuwepo watu wanafidia za maana. Huku kuna mamia ya watu walipisha migodi fidia wanazopewa ndio hizo zinazoleta malalamiko. Huko kwenye bomba unaambiwa pisha bomba tukupe ardhi nyingine hii haitoshi, nimekupa pasi ya goli tugawane zawadi ya goli.

Hawa wananchi wanahamishwa kiujanja ujanja namba wenzenu kule wanaona na kulinganisha bomba hilo lingepita kwao wahanga wangebutua. Watu ni sehemu ya mazingira bomba linaathiri maisha ya watu pia, sasa fidia mnazotoa hazitoshi na zinaacha malalamiko hata kama mliwakuta maskini hii ndio penalty yao, kuwa mahali bomba limepita ndio fursa kwao ya mwisho.

Wakilalama tu dunia na wanao jua wanaona mnapoleta sanaa. mlipoweka migodi mliowakuta mlitimua na kuwaacha na umaskini wao, nyie mnabunya na watoto wenu ndio wanapiga kazi huko.
dUU!! Kaka, wazungu ndio haohao wanaochimba madini Tanzania (Acacia, Barrick, etc), wamehamisha watu kibao ili wao wachimbe madini, je hao watu waliwalipa bei gani? Wakoloni walihamisha watu kwenye ardhi zao yowevu, je wako tayari sasa kuwalipa fidia wale wote walioathirika na ukoloni? Hata wao walikuwa na tembo huko kwao, je, hao tembo wanao hadi leo? dogo fungua macho yako.
Usisahau kuwa wazungu wamefika pale walipo kwa kuharibu mazingira yao na ya watu wengine. waache na sisi tuharibu yetu wenyewe.
 
dUU!! Kaka, wazungu ndio haohao wanaochimba madini Tanzania (Acacia, Barrick, etc), wamehamisha watu kibao ili wao wachimbe madini, je hao watu waliwalipa bei gani? Wakoloni walihamisha watu kwenye ardhi zao yowevu, je wako tayari sasa kuwalipa fidia wale wote walioathirika na ukoloni? Hata wao walikuwa na tembo huko kwao, je, hao tembo wanao hadi leo? dogo fungua macho yako.
Usisahau kuwa wazungu wamefika pale walipo kwa kuharibu mazingira yao na ya watu wengine. waache na sisi tuharibu yetu wenyewe.
Unahamisha goli hapa kwa kusema mavitu mengi mno, bomba linafanyika leo dunia umebadilika sana, Elizabeth sio malkia tena na hayupo. angalia leo kwanza. Nani kakuzuia usiharibu watu wamekustua kuweka records sawa mbeleni usije sema hukuambiwa
 
Beberu anapoongea, huhitaji kubishana naye. Unachotakiwa kufanya ni kumletea 'mapicha picha' muende sawa.


To Eu parliament
We have received your technical opinion regarding the pipeline and other oil exploration projects 'with great delight'.
Having no competence and techinical capacity of your level in these projects, we may have made decisions which may cause environmental and other concerns in the near future.
So far some of the decisions we have made are irreversible but we promise to involve you at all levels before we reach another decisions to issue approval on the upcoming fosil fuel exploration so that we can take the best options together with u.
We once again thank u for chipping in, in helping us to improve our projects and to protect the environments.
Your level of support and engagements in other areas of interest has made us to regard ourselves as 'a part of EU out of Eurozone', since we have been one of great beneficiaries of your endeavours.
Ur kind assistance and opinions are highly regarded.
 
Mtamuuzia nani?
Mtatoa wapi hela?
Technolojia?
 
..wasiwasi wangu ni kwamba huenda Museveni katuingiza mkenge na hili bomba halitakuwa na faida kubwa kwa Tanzania.
 
Mtamuuzia nani?
Mtatoa wapi hela?
Technolojia?
Kwani nchi za ulaya tu ndio zinayahitaji!? Kwani nchi za ulaya tu ndio zina hela!? Teknolojia ya uchimbaji ipo ulaya tu!?
 
We have to take EU concern very seriously and maybe invite them in the future proceedings regarding the project.

But so far we remind EU of our knowledge of where they started to develop their economies. For instance when England became the workshop of the world they used steam engines and burned million calories of coal!

We also take this opportunity to let them know that we are aware of similar projects conducted in India and the conflict between India and USA regarding burning of fossil fuels for power generation!

Tanzania as among sovereign countries of the world has the mandate and authority to operate projects that will bring fast economic growth without interference from international community

We are very sorry to European Union but we must continue with our projects for benefit of the people of Tanzania!
 
Back
Top Bottom