kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Bunge la Ulaya limesema kuwa ni marufuku Tanzania na Uganda kujenga bomba la mafuta na gesi kutoka Uganda kwenda Tanga Tanzania kwakuwa mradi unachafua mazingira na unadhulumu watu linakopita ni sawa? Maswali hapa ni:
1. Wazungu wanapata wapi nguvu hii ya kutuamulia sisi nini kizuri na nini kibaya? Je , ni hii tabia yetu ya ombaomba na utegemezi kwao ndio inayotuponza? Je, historia ya utumwa inatuponza, wanatudharau kutuona kama wajinga, watumwa wao?
2. Ni kweli mradi huu unaharibu mazingira kwa kiasi hicho kuliko wao wanavyochafua? Viwanda vyao havichafui mazingira?
3. Ni kweli watu wetu wanaopitiwa na mradi hawakupata stahiki zao sawasawa na thamani ya mradi wenyewe (value for money)? Wamedhulumiwa na wajanja? Nchi zao hazikujengwa na watumwa na Mali za kupora wengine?
4. Nini hatima ya uhusiano wetu na nchi za Magharibi, wakoloni wetu wa zamani? Ndio ukoloni unarudi tena? Wanawaza kurudi tena?
1. Wazungu wanapata wapi nguvu hii ya kutuamulia sisi nini kizuri na nini kibaya? Je , ni hii tabia yetu ya ombaomba na utegemezi kwao ndio inayotuponza? Je, historia ya utumwa inatuponza, wanatudharau kutuona kama wajinga, watumwa wao?
2. Ni kweli mradi huu unaharibu mazingira kwa kiasi hicho kuliko wao wanavyochafua? Viwanda vyao havichafui mazingira?
3. Ni kweli watu wetu wanaopitiwa na mradi hawakupata stahiki zao sawasawa na thamani ya mradi wenyewe (value for money)? Wamedhulumiwa na wajanja? Nchi zao hazikujengwa na watumwa na Mali za kupora wengine?
4. Nini hatima ya uhusiano wetu na nchi za Magharibi, wakoloni wetu wa zamani? Ndio ukoloni unarudi tena? Wanawaza kurudi tena?