Bunge la Ulaya kutuamulia Tanzania na Uganda nini Cha kufanya ni kutudharau?

Mungu wabariki Wazungu
 
mradi huu kuna nchi jirani zinatuchongea ili ukwame.
 
Well Noted....
 
Unahamisha goli hapa kwa kusema mavitu mengi mno, bomba linafanyika leo dunia umebadilika sana, Elizabeth sio malkia tena na hayupo. angalia leo kwanza. Nani kakuzuia usiharibu watu wamekustua kuweka records sawa mbeleni usije sema hukuambiwa
too late, tunayo miradi mingi mno ya hivi; TAZAMA, SGR, Bwawa, Songas, Buzwagi, Merelani, daraja la wami, kigamboni, nk. Hawa ni wapuuzi tu, tulipokuwa tunawahamisha watu wetu kutoka ngorongoro kwenda msomera ili kulinda hifadhi na wanyama walipiga kelele pia, sijui wanawashwa na kitu gani. Mabomu wanayotengeneza ndiyo yanayochafua mazingira.
 
Mtamuuzia nani?
Mtatoa wapi hela?
Technolojia?
Hee, swali hilo tuwaulize waganda wenye mafuta yao lakini hata sisi mafuta haya tutayahitaji maana yatakuwa rahisi, tutaifufua tipper yetu na kuanza kuyasafisha.
 
well narrated
 
Dogo hapa unachanganya changanya mambo, sote lengo letu moja ila mtu akikuambia uzaifu wako fanyia kazi kwanza sio kwa ubaya. Inawezekana hujui mengi lakini hata wanaokulipa uwasifie wakijua ukweli mie nakwambia watakulipa mara mia zaidi na value yako kwako ndio itapanda.

Tunajua humu JF mmeiteka kwa propaganda lakini huu mtumbwi mnaolipwa kuutoboa na nyinyi mmepanda, hao wanaowalipa ni wakishua hawatazama na nyinyi. ongezeni uzalendo kwa Tanzania na watanzania wenzenu nyie kizazi kipya tunawategemea mnaakili tatizo lenu moja tu hamuwezi vumilia njaa tu.
 
Vita ya kiuchumi hii sasa,wapambane
Nayo

Ova
 
Hawa jamaa mambo yao ya kujadili yameisha? Sasa si waje watawale tena kama ndo wanalotala
 
wacha hizo, wakati wazungu wanaipiga dunia kwa makombora mazito ya moto na kuifukisha moshi mzito wa viwanda vizito (mama) na midege mikubwamikubwa angani wacha na sisi tuipekeche kidogo kupitisha mabomba ya gesi, mafuta, maji, mkongo, reli na barabara, Wacha tushirikiane kuiharibu dunia ili tusije kulaumiana huko mbele ya safari mambo yakiharibika. Ulaya ina hofu na global warming zaidi kuliko nchi nyingine, vinchi vyao muda sio mrefu vitamezwa na maji.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…