Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Naunga mkono hoja.
Hawa mabeberu na neo colonialism ni watu hatari sana!. Angalia walichomfanya Gadafi na Saddam, usikute hata yule Blaza wangu ni wao!.
Mimi niliwahi kuuliza humu US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
Mwisho wa siku do we know what really happened?. Ni sisi tuu kuletewa ile taarifa kuwa... just gone!.
Hata alipobadili sheria mpya ya madini ili yatufaidie zaidi, niliuliza humu Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts? leo migodi mingapi wame subscribers kwenye sheria mpya?, na madini ni deminishing resources!. Tutakuja kuachiwa mashimo!.
P
Mna mambo ya ajabu sana mnalaumu Mzungu kwa neo coloniliasm hapo hapo mnatangaza siku 5 za maombolezo kifo cha Mkuu wa Colonialism tena mnapeperusha bendera nusu mlingoti kwa heshima kubwa kama hiyo haitoshi mnafunga safari kwenda London kuzika, sasa Mzungu kosa lake ni lipi kama ninyi wenyewe hamjitambui wala kujielewa ?
Watu waliopinga hilo Bomba ndiyo hao hao Samia kapanda ndege kwa gharama yetu kwenda kuwazika na kutangaza siku za maombolezo hapa Tanzania.
Imefika wakati muwe matured people na kukubali kwamba Waafrika wenyewe ndio tatizo Afrika, Tanzania siyo masikini sababu ya colonialiasm, no Tanzania ni masikini sababu ya Low IQ ambayo ndiyo chanzo cha underperfomance, ineficiency na incompetence kila mahali, leo hii Polisi wanashoot to kill watoto wa miaka 14 ambao walipaswa kuwa shuleni, Mzungu anahusika vipi hapo? Kwanza anatoa hela kuwapa ili msomeshe watoto lkn bado mnashindwa, halafu mnalia
Colonialism?
Mpaka tutakapoanza kupractice meritocracy ndiyo tutatoka hapa vinginevyo ni vilio na kulaumu kila mtu kila siku!