Bunge la Ulaya na Neo Colonialism-kiini cha kupinga bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanzania

Bunge la Ulaya na Neo Colonialism-kiini cha kupinga bomba la mafuta toka Uganda hadi Tanzania

..Tazama pipeline imepita wapi?

..Na bomba la Hoima-Tanga litapita wapi?

..hoja ya mazingira iwekwe mezani na serikali ieleze kinagaubaga tutakabiliana vipi na changamoto hizo.

..sidhani kama ni sahihi kupuuza hoja hizo kwa madai kuwa ni ukoloni mamboleo.

..Pia uelewa wetu kuhusu mazingira umeongezeka toka 1968 wakati Tazama inajengwa.
TAZAMA Pipe line Imepita nchini Tanzania , Dar , Morogoro(Mikumi),Iringa(Lugalo), Mbeya (Inyala) hadi kufikia huko Zambia.
Hatujasikia wala kuona uharibifu wa mazingira au uharibifu wa haki za binadamu bomba lilimopitia.
 
TAZAMA Pipe line Imepita nchini Tanzania , Dar , Morogoro(Mikumi),Iringa(Lugalo), Mbeya (Inyala) hadi kufikia huko Zambia.
Hatujasikia wala kuona uharibifu wa mazingira au uharibifu wa haki za binadamu bomba lilimopitia.

..kinachotakiwa kufanyika ni wataalamu wa mazingira wa serikali kujitokeza na kujibu hoja na tahadhari zilizotolewa na EU.
 
..kinachotakiwa kufanyika ni wataalamu wa mazingira wa serikali kujitokeza na kujibu hoja na tahadhari zilizotolewa na EU.
Pitia clip kwenye post no.1, NEMC ilisha fanya due diligence.
 
..Tazama pipeline imepita wapi?

..Na bomba la Hoima-Tanga litapita wapi?

..hoja ya mazingira iwekwe mezani na serikali ieleze kinagaubaga tutakabiliana vipi na changamoto hizo.

..sidhani kama ni sahihi kupuuza hoja hizo kwa madai kuwa ni ukoloni mamboleo.
Naunga mkono hoja tusipuuze ila tuangalie cost vs benefits index, kama benefits ni kubwa kuliko athari za mazingira mradi uendelee. Mradi wa Kihansi ulikwamishwa kwasababu ya vyura tuu!. Hao vyura kwetu ni wanini compared na wananchi kupata umeme?. Mpaka Mmarekani alipokubali kuwabeba vyura kuwapeleka Marekani tena kwa a special charter plane ndipo mradi ukaruhusiwa!.

Ule mradi wa Kamba Samaki, wa Rufiji Delta, ulikufa kwasababu ya miti ya mikoko, Mpaka leo wananchi wa Rufiji ni masikini wa kutupa wamaoishi kwenye Lindi la umasikini uliotopea!. Hiyo mikoko ina faida gani compared?.
Hata JNHEP waligomea kwa hoja athari za kimazingira kile Chuma kikawagomea!.
Pia hata serikali zetu zina propaganda. Baadhi ya viongozi wetu ni madhalimu kuzidi hata wakoloni walivyokuwa.
Hiki neno, uzuri ni kwamba kila udhalimu utafidiwa na karma!. No one is spared!.
P
 
Back
Top Bottom