Regnatus Cletus
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 1,114
- 959
Unatia huruma wewe.acha kujifanya unajua kutafsiri weka in english a whole charter, pia uweke ni jeshi gani lenye mamlaka ya kuvamia nchi kusudiwa, na uje ulinganishe na hali ya Uganda ilivyo.
keep on yawning and know that your wish are merly illussional suppositions, little dwarfHichi kibabu museven kimefanya kitu kinachoitwa WIDESPREAD AND SYSTEMATIC ATTACKS AGAINST CIVILIANS.
Hii ndio ground iliyoafikiwa na UN RESOLUTION katika kumng'oa Gadaffi.
Humanitarian intervention following gross violation of Human Rights.
FOOLISH!keep on yawning and know that your wish are merly illussional suppositions, little dwarf
is that how your 1byte brain works? silly hog![emoji124] [emoji124] [emoji124]FOOLISH!
Weka kwanza hiyo mikataba ya kidiplomasia badala ya kubweka kama jike la mbwa.is that how your 1byte brain works? silly hog![emoji124] [emoji124] [emoji124]
I can see how your lusts are slowly coming down!Weka kwanza hiyo mikataba ya kidiplomasia badala ya kubweka kama jike la mbwa.
Ni ipi hiyo mikataba unayoisema?
Hebu itaje tuijue...
Usikariri.Ndugu yangu yaaani isalimike kujadiliwa DRC,Burundi,Zimbabwe,Sudan ambayo Rais wake bado anakesi na anahitajika ICC mpaka leo hajakamatwa ije kuingiliwa Uganda!?
I hope wewe ni mzungu, ntasikitika sana kama sio. Sijaskia unawaombea waganda walioandamana ila mwepesi sana kuwaombea wazungu kwa ujumla wao! Mungu akuponye ugonjwa wako wa ujinga kwa kuona waliokaa kwenye vikao ndani ya vyumba vya AC kama ndo wanaofanya la maana sana. Usisahau bila waganda kuandamana, hao wazungu unawaabudu wasingejua chochote. Usisahau kuna wakenya wa mpakani waliandamana kuwaonyesha wenzao waganda kua wapo pamoja nao. We ulichoona ni miungu yako!Mungu wabariki wazungu .
Teh..teh...I can see how your lusts are slowly coming down!
mda wa kubishana na vilaza waliokaririshwa sina, ahsante kwa ombi lako kijana!
Kumbuka kuna waliokwenda Iraq na Libya na kufanya yao kuleheheheheh hawawezi hawatoweza.....hawana hiyoo nguvu,nchi huru kama uganda haiingiliwi kizembe hivyoo...
angalia mtandaoni ajira zimetoka.Teh..teh...
Weka provisions hapa mburula wewe!!
Jiwe atakupa tabu sana haki ya mungu. Angalia usife kwa pressure ya chuki. Mwenzio ni mpango wa Mungu, ww kikaragosi utabaki na sadistic life lako forever.Tuna majeshi gani yenye zana gani na fedha gani za kuwashinda hao wakiamua walitakalo?
Nyie vibaraka wa muovu Jiwe hii habari tunajua imewashitua na inawafanya kupata hofu juu ya Jiwe maana hata yeye wanaweza kumkatia hata misaada na mikopo huko mbeleni.
Kwani wao wanaua na kupiga wangapi, nani kawapa wazungu hiyo authority ya kuwatch over us, nyinyi mnajaribu kuwapa na kuijustify. Siasa inawafanya watu hovyo, regardless education.Lakini hawakumtuma M7 ampige Bob Wine
Usidhani kutakuwa na unafuu, endeleeni kujidanganya, mtaruka mkojo mkanyage mavi.Wafanye hayo maamuzi na kwa nchi nyingine ya Afrika Mashariki
Kwanini unatetea udikteta, ndugu?Usidhani kutakuwa na unafuu, endeleeni kujidanganya, mtaruka mkojo mkanyage mavi.
Ulitaka upinzani uwe wa akinanani ?! Kama si wewe na mimi !!. Upinzani hauwezi kutengenezwa kutoka mbinguni bali waTz wenyewe .that is the thing, na hatujafikia hizo extent hatuna upinzani wenye nguvu kusema wataanzisha hizo vuguvugu, hatuna wananchi ambao asilimia kubwa wanamind set ya kuingia barabarani,hatuna...tusubiri miaka 20 ijayo labda...
Itatuletea maendeleo tunayoyakusudia ?!Correct. Very correct. Wananchi walio wengi ni wajinga, na upinzani bado ni dhaifu sana. Nafikiri miaka 20 haitutoshi labda 50 hivi.