my friend sakata la Lissu mlisema wazungu wakate misaada,misaada kila siku inakuja, uchaguzi wa Zanzibar mkasema jumuiya za kimataifa zitatutenga jumuiya za kimataifa kila siku tupo nazo na support ya kutosha wanatupa, ni nyie mlisema mnaenda ICJ na kwamba Lowassa atapewa urais wake mpaka leo kimya.... Mnategemea wazungu sanaaa kama mnataka something to change should start with you,sio kuwategemea wazungu wawafanyie.
Na swala unalosema eti wakiamua watakalo,hakuna hiko kitu cha kuamua kuingilia taifa jingine tena taifa lilipiga kura na kumchagua rais aliyepo hapo madarakani, mbaya zaidi hakuna maandamano au viashiria vyovyote inavyoonyesha dalili za serikali kuwa out of control hakuna. Kila ktu kina taratibu zake,kila kitu kina mipaka yake Uganda ni Nchi Huru tena ya Kidemokrasia, hata huyoo Bob Wine amepata nafasi Kidemokrasia ndomana yupo hapo alipo, kwa vigezo kama hivi hao EU hawana mamlaka hata punje ya haradali kumuondoa Museveni madarakani na hawawezi.