Bunge la Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) lapitisha maazimio kumtoa Museveni madarakani muda wowote

Bunge la Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) lapitisha maazimio kumtoa Museveni madarakani muda wowote

Wasungu watuangalie nasi wana wa chato kwa jicho la pembeni huyu kichaa hatumtaki... Wasungu mtusaidie
 
To some extent nakubaliana na wewe. Watanzania wangeandamana ingeleta alarm katika jumuiya ya kimataifa.

Ila nakupinga unaposema wazungu hawawezi kufanya watakalo. Wanajua kwamba kila nchi ina sovereignty yake, hivyo hawawezi kuja kwa jinsi ya kawaida.

Wakati kichaa jiwe ana jeshi la "watu wasiojulikana" wazungu hutumia "mercenaries" wanaosababisha chaos chini ya mwamvuli wa "waasi"

Rejea situation ya russia, ukraine na crimea. Rejea waasi wa libya. Rejea waasi wa syria ambao kama sio urusi marekani angeshamtoa assad.
kila kitu kinamipaka, tumesaini mikataba kibao ya kidiplomasia na vitu kama hivoo, hakuna sehemu inayoruhusu hao wazungu kuwaingilia waafrika watakavyo wao, it has to start somewhere ndo wao waweze kuingilia, in case ya Uganda hakuna hizo mambo... Nchi zote hizo ulizozitaja kuna sehemu zilianzia na kuna extent ilifikia serikali zilikua out of control ikifika that point ndio tuzungumzie sasa ya kumtoa mtu madarakani lakini sio sakata hili linaloendelea Uganda,hapana.

Halafu Swala la hizo nchi za kiarabu ni Revolutionary Move ambayo ilitokea almost nchi zote za kaskazini,
 
Kwa comment ninazoziona humu, ni wazi mzungu akitujia kututawala watanzania wengi watajisalimisha kwao na kuigeuka serikali ya kichaa jiwe.
 
To some extent nakubaliana na wewe. Watanzania wangeandamana ingeleta alarm katika jumuiya ya kimataifa.

Ila nakupinga unaposema wazungu hawawezi kufanya watakalo. Wanajua kwamba kila nchi ina sovereignty yake, hivyo hawawezi kuja kwa jinsi ya kawaida.

Wakati kichaa jiwe ana jeshi la "watu wasiojulikana" wazungu hutumia "mercenaries" wanaosababisha chaos chini ya mwamvuli wa "waasi"

Rejea situation ya russia, ukraine na crimea. Rejea waasi wa libya. Rejea waasi wa syria ambao kama sio urusi marekani angeshamtoa assad.
Ni nchi gani wazungu walifanya hila ya kumtoa rais ambaye hana hata miaka 5 madarakani? Rekodi zinaonyesha huwa wanadili nyuma ya pazia na wale waliokaa muda mrefu. Hili la hapa kwetu tuendelee kujifurahisha kwa kusema watakuja pia. Siasa za afrika wanazijua.
 
kila kitu kinamipaka, tumesaini mikataba kibao ya kidiplomasia na vitu kama hivoo, hakuna sehemu inayoruhusu hao wazungu kuwaingilia waafrika watakavyo wao, it has to start somewhere ndo wao waweze kuingilia, in case ya Uganda hakuna hizo mambo... Nchi zote hizo ulizozitaja kuna sehemu zilianzia na kuna extent ilifikia serikali zilikua out of control ikifika that point ndio tuzungumzie sasa ya kumtoa mtu madarakani lakini sio sakata hili linaloendelea Uganda,hapana.

Halafu Swala la hizo nchi za kiarabu ni Revolutionary Move ambayo ilitokea almost nchi zote za kaskazini,
Hahahahaa sikujua kuna watu wanatetea udikteta.
 
Hivi bila uchumi imara unaweza kuwatunishia Misuli wazungu? Bajeti tegemezi, technology bado tegemezi halafu utegemee kushindana nao kweli?
Uganda sio mara ya kwanza kuwekewa vikwazo vya kiuchumi lakini bado wanapeta, Zimbabwe sio mara ya kwanza kuwekewa vikwazo vya kiuchumi lakini bado wanapeta.

Na Swala hapa sio kutunishiana isuli na wazungu swala hapa ni kama hawa watu wanahaki yakumu overthrown yeyote watakae bila kuzingatia mipaka ya umoja wa mataifa iliyowekwa.
 
Naomba na vuguvugu la Afrika Mashatiki lianze tumuondoe Mkoloni CCM.
Kwa sababu zipi labda!?? Na kwanza aliyepo madarakani kwa sasa ni CCM au Magufuli!?
rejea Zimbabwe walimuondOa Mugabe hwakuiondoa Zanu-Pf, rejea South Afrika walimuondoa Zuma hawakukiondoa ANC
 
Uganda sio mara ya kwanza kuwekewa vikwazo vya kiuchumi lakini bado wanapeta, Zimbabwe sio mara ya kwanza kuwekewa vikwazo vya kiuchumi lakini bado wanapeta.

Na Swala hapa sio kutunishiana isuli na wazungu swala hapa ni kama hawa watu wanahaki yakumu overthrown yeyote watakae bila kuzingatia mipaka ya umoja wa mataifa iliyowekwa.
Unatesa wananchi wako, unawauwa kikatili halafu watu wakuangalie tuu? Hata wewe tesa na kuuwa mtoto wako halafu uje na story za uhuru nyumbani kwako .....
 
Wanaume kazin
Upuuzi kama huu ndio laana kuu kama kuna mwafrika yeyote ana ushangilia walahi!
Ni aibu kuu kwa hawa majambazi kujiita HUMAN RIGHTS na wanaacha wapalestina na nchi nyingi zinazo onewa na wadhungu, lakini hujifanya kuingilia mambo ya Africa!
Wafe wao na vizazi vyao milele yote walahi!
 
Tena hawa wanajeshi wetu wanao jiua kwa ajili ya mapenzi! Watapata tabu sana watakufa kama kuku WA mdondo.
 
Unatesa wananchi wako, unawauwa kikatili halafu watu wakuangalie tuu? Hata wewe tesa na kuuwa mtoto wako halafu uje na story za uhuru nyumbani kwako .....
wananchi gani wameteswa wa Uganda!?? Makaburi yapo wapi yanayoonyesha ukatili huo alioufanya Museveni wa kuuwa wananchi wa Uganda!??

Everything has grounds....
 
Ndugu yangu yaaani isalimike kujadiliwa DRC,Burundi,Zimbabwe,Sudan ambayo Rais wake bado anakesi na anahitajika ICC mpaka leo hajakamatwa ije kuingiliwa Uganda!?
sudani wanachukua mafuta jimbo la dafuu.hivyo raisi kesi imeisha
 
Unatesa wananchi wako, unawauwa kikatili halafu watu wakuangalie tuu? Hata wewe tesa na kuuwa mtoto wako halafu uje na story za uhuru nyumbani kwako .....
Waanze na wapalestina na nchi nyingine ambazo wadhungu wanazinyanyasa!
PATHETIC DNA
UNAFIKI MTUPU WALAHI!
 
WADHUNGU NI KWA MASLAHI YAO TU, HAWANA HABARI NA KUMSAIDIA MTU MWEUSI KATIKA JAMBO LOLOTE!
WAO WANAANGALIA KUUZA SILAA!
AMKENI VIJANA WADOGO WALAHI!
 
WADHUNGU NI KWA MASLAHI YAO TU, HAWANA HABARI NA KUMSAIDIA MTU MWEUSI KATIKA JAMBO LOLOTE!
WAO WANAANGALIA KUUZA SILAA!
AMKENI VIJANA WADOGO WALAHI!
 
Back
Top Bottom