IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
Nchi huru kwa uhuru wa bendera sawa, vipi uhuru wa kiuchumi??heheheheh hawawezi hawatoweza.....hawana hiyoo nguvu,nchi huru kama uganda haiingiliwi kizembe hivyoo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi huru kwa uhuru wa bendera sawa, vipi uhuru wa kiuchumi??heheheheh hawawezi hawatoweza.....hawana hiyoo nguvu,nchi huru kama uganda haiingiliwi kizembe hivyoo...
Mlininyang'anya fulana yangu ya "pry for TAL"We si ungeonyesha mfano chief?
Idadi ya miaka siyo kigezo. Mbona wengine hawakuitwa role modo wa M7 .Wenzenu wanapigania kumtoa rais aliyekaa miaka zaidi ya 30, nyie mnapigania nini?
Mkuu wakijibu hili nitagNdugu yangu yaaani isalimike kujadiliwa DRC,Burundi,Zimbabwe,Sudan ambayo Rais wake bado anakesi na anahitajika ICC mpaka leo hajakamatwa ije kuingiliwa Uganda!?
Swala la Kiuchumi ni Lingine kabisa my friend,na karibia nchi zote za kiafrika zina struggle kuimprove uchumi wao,na si Afrika pekee hata ulaya pia,na ndio maana kama unafatilia Kujiondoa kwa Uingereza Umoja wa Ulaya lazima kutaathiri Uchumi wa nchi za Ulaya maana Uingereza ndie alikua mchangiaji mkubwa wa fedha kusukuma gurudumu la Uchumi wa ulaya.....Nchi huru kwa uhuru wa bendera sawa, vipi uhuru wa kiuchumi??
Kwa hiyo wewe inakuuma M7 kuitwa role model? Haya, pambaneni. Nendeni EU pale wawasaidie.Idadi ya miaka siyo kigezo. Mbona wengine hawakuitwa role modo wa M7 .
Nan kakudanganya kama hakuna alopgwa vile? Unamjuwa mdude Nyagali? Huna habar kama kapewa ulemavu kwa kipigo?na wewe endelea kusubiri ndugu.....utafika 2020 hiyooo hapo Magu anarudi tena madarakani Museveni anazidi kudunda Uganda..Acheni kurubunika na vitu vya nje/vya wengine wekeni focus kutatua ya ndani kwenu kwa style yenu...
Hivi Bob Wine kupigwa vile hapa Tanzania hakuna aliyewahi kupigwa kama vile!??Mauaji kibao mf.Akwelina n.k yametokea tena zaidi ya Uganda hamfikirii kwanini huko nje hawayazungumzii!??
Waafrika walianza kuwa watumwa wa wazungu baada ya mkutano wa Berlin wa kuligawa bara letu kwenye makoloni yao. Tutaacha kuwa watumwa wa wazungu pale tutakapopata uhuru wa KIUCHUMI.Utasubiri sana wewe mtumwa wa wazungu!!
Umakini wawe nao hao madikteta ya Afrika mashariki. Umoja wa kitaifa unahitajika sana kipndi hiki kuliko kihubiri ubaguzi kisa vyama vya siasa.Hawa wazungu kuna jambo wanalitafuta Africa ya Mashariki. " Destabilization of East Africa". Ndugu zangu tuwe makini sana tena sana.
Wazungu wanatoa misaada kila kukicha kwa kuonyesha kukubali afanyachk rais. Uzuri nao wanajua siasa za afrika mpinzani huwa hakubali ipande wa pili.Ni watu wachache sana ikiwemo wewe ndio amuoni juhudi anazofanya Mheshimiwa Raisi....
Ila kwa ufupi tu, jua nyuma yake kuna watu wengi sana wanaunga juhudi zake...
To some extent nakubaliana na wewe. Watanzania wangeandamana ingeleta alarm katika jumuiya ya kimataifa.my friend sakata la Lissu mlisema wazungu wakate misaada,misaada kila siku inakuja, uchaguzi wa Zanzibar mkasema jumuiya za kimataifa zitatutenga jumuiya za kimataifa kila siku tupo nazo na support ya kutosha wanatupa, ni nyie mlisema mnaenda ICJ na kwamba Lowassa atapewa urais wake mpaka leo kimya.... Mnategemea wazungu sanaaa kama mnataka something to change should start with you,sio kuwategemea wazungu wawafanyie.
Na swala unalosema eti wakiamua watakalo,hakuna hiko kitu cha kuamua kuingilia taifa jingine tena taifa lilipiga kura na kumchagua rais aliyepo hapo madarakani, mbaya zaidi hakuna maandamano au viashiria vyovyote inavyoonyesha dalili za serikali kuwa out of control hakuna. Kila ktu kina taratibu zake,kila kitu kina mipaka yake Uganda ni Nchi Huru tena ya Kidemokrasia, hata huyoo Bob Wine amepata nafasi Kidemokrasia ndomana yupo hapo alipo, kwa vigezo kama hivi hao EU hawana mamlaka hata punje ya haradali kumuondoa Museveni madarakani na hawawezi.
ya Gadafi yalikua ni tofauti kabisa,na lile lilikua vuguvugu la nchi karibia zotee za kaskazini kufanya mapinduzi...
Mimi nawakaribisha, nitakua mstari wa mbele kuongoza mapambanoWafanye hayo maamuzi na kwa nchi nyingine ya Afrika Mashariki
Hivi bila uchumi imara unaweza kuwatunishia Misuli wazungu? Bajeti tegemezi, technology bado tegemezi halafu utegemee kushindana nao kweli?Swala la Kiuchumi ni Lingine kabisa my friend,na karibia nchi zote za kiafrika zina struggle kuimprove uchumi wao,na si Afrika pekee hata ulaya pia,na ndio maana kama unafatilia Kujiondoa kwa Uingereza Umoja wa Ulaya lazima kutaathiri Uchumi wa nchi za Ulaya maana Uingereza ndie alikua mchangiaji mkubwa wa fedha kusukuma gurudumu la Uchumi wa ulaya.....