Bunge la Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) lapitisha maazimio kumtoa Museveni madarakani muda wowote

Bunge la Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) lapitisha maazimio kumtoa Museveni madarakani muda wowote

Ndugu yangu yaaani isalimike kujadiliwa DRC,Burundi,Zimbabwe,Sudan ambayo Rais wake bado anakesi na anahitajika ICC mpaka leo hajakamatwa ije kuingiliwa Uganda!?
Hizo zinajadiliwa sana tu, sema hii ndio umeona majadiliamo yake hapa
 
WADHUNGU NI KWA MASLAHI YAO TU, HAWANA HABARI NA KUMSAIDIA MTU MWEUSI KATIKA JAMBO LOLOTE!
WAO WANAANGALIA KUUZA SILAA!
AMKENI VIJANA WADOGO WALAHI!
Usipotoshe umma wewe!!

Madikteta lazima wang'olewe!!

Haiwezekani kibabu cha miaka 90 bado kimeng'ang'ania madaraka tu.

Ng'oa hilo dikteta!
 
Still No Action taken....full stop.
Action zinachukuliwa mbona, hukusikia Burundi wamewekewa vikwazo? Maafisa wa juu wa DRC kupigwa marufuku kusafiri n.k...hiyo kumtoa Museven madarakani kinguvu hawawezi kwa sasa na hawajasema, ni chumvi za mtoa mada tu
 
Action zinachukuliwa mbona, hukusikia Burundi wamewekewa vikwazo? Maafisa wa juu wa DRC kupigwa marufuku kusafiri n.k...hiyo kumtoa Museven madarakani kinguvu hawawezi kwa sasa na hawajasema, ni chumvi za mtoa mada tu
Swala la vikwazo ni normal, Zimbabwe aliwekewa vikwazo mpaka leo bado kawekewa vikwazo, Uganda amewekewa vikazo pia vingi tuu, Rais wa Sudan kawekewa vikwazo pia juu ya kesi yake ICC...lakini wengi humu wanahisi hao wazungu wanaweza kuwaondoa madarakani vyovyote anavyotaka hao wazungu kitu ambacho si kweliii hawana hayo mamlaka...
 
Ndugu yangu yaaani isalimike kujadiliwa DRC,Burundi,Zimbabwe,Sudan ambayo Rais wake bado anakesi na anahitajika ICC mpaka leo hajakamatwa ije kuingiliwa Uganda!?
sio wazungu wote wanaikubali ICC mkuu
 
Kwa jinsi nchi za africa zilivyokuwa na umoja sasa ni vigumu sn wazungu kumtoa kiongozi madarakani ndio maana hata rais wa sudan anapeta tu.
 
heheheheh hawawezi hawatoweza.....hawana hiyoo nguvu,nchi huru kama uganda haiingiliwi kizembe hivyoo...
Mapovu tu hayasaidii, Uganda wana nguvu gani na jeshi lipi kushinda la Libya, wazungu wakiamua hata magogoni wanaingia muda wowote.
 
kila kitu kinamipaka, tumesaini mikataba kibao ya kidiplomasia na vitu kama hivoo, hakuna sehemu inayoruhusu hao wazungu kuwaingilia waafrika watakavyo wao, it has to start somewhere ndo wao waweze kuingilia, in case ya Uganda hakuna hizo mambo... Nchi zote hizo ulizozitaja kuna sehemu zilianzia na kuna extent ilifikia serikali zilikua out of control ikifika that point ndio tuzungumzie sasa ya kumtoa mtu madarakani lakini sio sakata hili linaloendelea Uganda,hapana.

Halafu Swala la hizo nchi za kiarabu ni Revolutionary Move ambayo ilitokea almost nchi zote za kaskazini,
Hujakosea, ila hiyo revolutionary move yaweza tokea popote. If there was an arab spring (revolution) there can also be an east african spring (revolution).

The question is, itaanzia wapi? Itaweza kusambaa? Dont underestimate anything.
 
Ni nchi gani wazungu walifanya hila ya kumtoa rais ambaye hana hata miaka 5 madarakani? Rekodi zinaonyesha huwa wanadili nyuma ya pazia na wale waliokaa muda mrefu. Hili la hapa kwetu tuendelee kujifurahisha kwa kusema watakuja pia. Siasa za afrika wanazijua.
Past events do not guarantee and/or warrant future events.

Every situation has its own merits.
 
Mapovu tu hayasaidii, Uganda wana nguvu gani na jeshi lipi kushinda la Libya, wazungu wakiamua hata magogoni wanaingia muda wowote.
Mnazungumzia Imaginary things, wawaingilie kinguvu kwa grounds zipi haswa!??Na waamue kwa kupitia Mkataba gani wa kimataifa unaowapa hayo mamlaka na hiyoo ruhusa!??
 
Tuna majeshi gani yenye zana gani na fedha gani za kuwashinda hao wakiamua walitakalo?

Nyie vibaraka wa muovu Jiwe hii habari tunajua imewashitua na inawafanya kupata hofu juu ya Jiwe maana hata yeye wanaweza kumkatia hata misaada na mikopo huko mbeleni.
Kwamba mavi yamegonga kyupi lumumba [emoji16][emoji16]
 
Hujakosea, ila hiyo revolutionary move yaweza tokea popote. If there was an arab spring (revolution) there can also be an east african spring (revolution).

The question is, itaanzia wapi? Itaweza kusambaa? Dont underestimate anything.
that is the thing, na hatujafikia hizo extent hatuna upinzani wenye nguvu kusema wataanzisha hizo vuguvugu, hatuna wananchi ambao asilimia kubwa wanamind set ya kuingia barabarani,hatuna...tusubiri miaka 20 ijayo labda...
 
Sisi tulishindwa kumuunga TAL mkono, kwa maandamano na kupaza sauti. Hivyo jambo lile likawa kama ni jinai ya kawaida. Tatizo la waTz ni uswahili na uoga .
Hatupiganii tunachokiamini [emoji120]
Mkuu lakini sasa hivi watu wako tayari sana
 
Una vifaa au advanced technology ya kushinda in case nguvu ikitumika
Wanamamlaka gani inayowapa nguvu kuingilia nchi nyingine kinguvu!??grounds zipi!??mkataba upi huo unaoruhusu kuingilia nchi nyingine!?
 
Nyie uFipa mnawategemea wazungu wawape madaraka, mtasubiri sana, Mseveni hawezi kuondoka kizembe namna hiyo.

kwa mnaotaka Tanzania pia rais aondolewe, ni kweli mna akili sawasawa? au mnadhani ni jambo jepesi kiivo?

Sanduku la kura limewashinda hamna hoja tena.
Kule kwenye kura wale wanaochakachua kura tukiondoka na mmoja itakuwa mfano
 
Back
Top Bottom