lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Bunge la Urusi limempa Rais wa n hi hiyo nguvu ya kupeleka majeshi yake mahala popote Duniani pale itakapo hitajika.
Bunge hilo limefikia uamuazi wake Leo 22.02.22 siku moja mara baada ya Urusi kuyatambua majimbo yaliyokua yanapigania kujitenga na Ukraine.
Kwa mtazamo wangu hii nayo ni moja ya mahesabu makali sana ya Urusi na rais wake.
Kwa mtazamo wangu hii maana yake ni kwamba jeshi la Urusi Sasa Lina ruhusa ya bunge kwenda kuishambulia nchi yoyote itakayoonekana kutishia usalama wa Urusi.
Mfano kama USA na NATO wataingia kijeshi kukabiliana na Urusi huko Ukraine,maana yeka nayo Urusi itajibu kwa kumfuata Adui yoyote katika NATO ambae itaona inastahili kumshambulia.
Mfano ni kama USA akiingia kijeshi dhidi ya Urusi naye Urusi ataifuta USA na kujibu mapigo hukohuko.
Hii si Hali njema hata kidogo.
Bunge hilo limefikia uamuazi wake Leo 22.02.22 siku moja mara baada ya Urusi kuyatambua majimbo yaliyokua yanapigania kujitenga na Ukraine.
Kwa mtazamo wangu hii nayo ni moja ya mahesabu makali sana ya Urusi na rais wake.
Kwa mtazamo wangu hii maana yake ni kwamba jeshi la Urusi Sasa Lina ruhusa ya bunge kwenda kuishambulia nchi yoyote itakayoonekana kutishia usalama wa Urusi.
Mfano kama USA na NATO wataingia kijeshi kukabiliana na Urusi huko Ukraine,maana yeka nayo Urusi itajibu kwa kumfuata Adui yoyote katika NATO ambae itaona inastahili kumshambulia.
Mfano ni kama USA akiingia kijeshi dhidi ya Urusi naye Urusi ataifuta USA na kujibu mapigo hukohuko.
Hii si Hali njema hata kidogo.