Bunge la Urusi lamruhusu Rais kupeleka majeshi mahala popote Duniani

Bunge la Urusi lamruhusu Rais kupeleka majeshi mahala popote Duniani

Dunia inajaribu kwa kila hali pasitokee vita. Hakunaga mshindi kwenye kuuana.
Hii ndio point, hakuna mtu anaemwogopa Russia ila watu wanaangalia maslahi mapana ya dunia na athari za vita, watu wanapambana na Covid bado hawajapata suluhisho la kudumu yeye russia analeta ubabe ambao utaathiri hata nchi yake na watu wake

Cha msingi ni peaceful ways za kuresolve huu mgogoro ili dunia iwe sehemu salama, hakuna haja ya kushabikia vita maana athari yake itatugusa hata sisi nchi maskini tena kwa kiasi kikubwa
 
Hii ndio point, hakuna mtu anaemwogopa Russia ila watu wanaangalia maslahi mapana ya dunia na athari za vita, watu wanapambana na Covid bado hawajapata suluhisho la kudumu yeye russia analeta ubabe ambao utaathiri hata nchi yake na watu wake

Cha msingi ni peaceful ways za kuresolve huu mgogoro ili dunia iwe sehemu salama, hakuna haja ya kushabikia vita maana athari yake itatugusa hata sisi nchi maskini tena kwa kiasi kikubwa
Kabisa
 
Haoa naona Kila Upande Una Wasi wasi na mwenzie
NATO Wanaonyesha Kujua URUSI Sio watoto Saizi wangesha timba mampema
 
Hii ndio point, hakuna mtu anaemwogopa Russia ila watu wanaangalia maslahi mapana ya dunia na athari za vita, watu wanapambana na Covid bado hawajapata suluhisho la kudumu yeye russia analeta ubabe ambao utaathiri hata nchi yake na watu wake

Cha msingi ni peaceful ways za kuresolve huu mgogoro ili dunia iwe sehemu salama, hakuna haja ya kushabikia vita maana athari yake itatugusa hata sisi nchi maskini tena kwa kiasi kikubwa
Kwa iyo maslahi mapana awakuyaona kwa Libya, IRaq na afghanistan, wameyaona tu kwa WARUSI?
 
Bunge la Urusi limempa Rais wa n hi hiyo nguvu ya kupeleka majeshi yake mahala popote Duniani pale itakapo hitajika.

Bunge hilo limefikia uamuazi wake Leo 22.02.22 siku moja mara baada ya Urusi kuyatambua majimbo yaliyokua yanapigania kujitenga na Ukraine.

Kwa mtazamo wangu hii nayo ni moja ya mahesabu makali sana ya Urusi na rais wake.

Kwa mtazamo wangu hii maana yake ni kwamba jeshi la Urusi Sasa Lina ruhusa ya bunge kwenda kuishambulia nchi yoyote itakayoonekana kutishia usalama wa Urusi.

Mfano kama USA na NATO wataingia kijeshi kukabiliana na Urusi huko Ukraine,maana yeka nayo Urusi itajibu kwa kumfuata Adui yoyote katika NATO ambae itaona inastahili kumshambulia.

Mfano ni kama USA akiingia kijeshi dhidi ya Urusi naye Urusi ataifuta USA na kujibu mapigo hukohuko.

Hii si Hali njema hata kidogo.

Hilo bunge ni rubber stamp tu ya Putin.
 
Back
Top Bottom