Bunge la Urusi lamruhusu Rais kupeleka majeshi mahala popote Duniani

Bunge la Urusi lamruhusu Rais kupeleka majeshi mahala popote Duniani

Nimeshangaa kutoona upinzani wowote kutoka serikali ya Ukraine hasa baada ya kupewa misaada ya silaha na mafunzo kutoka NATO tangu 2014.

Ningekuwa raia wa Ujerumani ningeihoji serikali, kwanini mradi wa nordstream 2 usimame kisa mgogoro kati ya Russia na Ukraine? Ujerumani imeonesha udhaifu mkubwa sana kwenye hili.
 
Bunge la Urusi limempa Rais wa n hi hiyo nguvu ya kupeleka majeshi yake mahala popote Duniani pale itakapo hitajika.
Bunge hilo limefikia uamuazi wake Leo 22.02.22 siku moja mara baada ya Urusi kuyatambua majimbo yaliyokua yanapigania kujitenga na Ukraine.[emoji3064][emoji15][emoji15]
 
Ukiizungumzia nato unazungumzia USA , France, UK, na German. Hao wengine ni viherehere. Kuna vinchi vingine vilivyozaliwa baada ya kuanguka kwa ukomunisti navyo ni sehemu ya Nato japo vyenyewe havina mchango wowote.

German hawezi kukubali kushambuliwa na russia vile vile kwa france na uk. Hii ngoma itapiganwa kwenye meza ya mazungumzo. Ukraine kashapoteza majimbo mawili. Akiendelea na kelele ataporwa jingine. Kuna viongozi wanapenda kuwaletea wananvhi wao shida na tabu. Ref Saddam Hussein na Ghadaff. Walitakiwa waachie nchi maisha yaendelee. Wakashupaza shingo kilichofuta kila mtu alikiona.
Kwa hiyo yaweza kutokea kwa putin mkuu?
 
Nimeshangaa kutoona upinzani wowote kutoka serikali ya Ukraine hasa baada ya kupewa misaada ya silaha na mafunzo kutoka NATO tangu 2014.

Ningekuwa raia wa Ujerumani ningeihoji serikali, kwanini mradi wa nordstream 2 usimame kisa mgogoro kati ya Russia na Ukraine? Ujerumani imeonesha udhaifu mkubwa sana kwenye hili.
Ataachia tu subiri kama baada ya miezi mitano
 
Russia kuna bunge au kikundi cha wahuni tu ,kwa kipind hiki sawa Russia ana nguvu lakin atakuwa na nguvu kwa muda gan hawez maintain hizo nguvu itafika kipind hayo majimbo yatarud Ukraine it just a time
 
Ataachia tu subiri kama baada ya miezi mitano
Muda utaongea ila kwa sasa wamejionesha ni dhaifu kuliko hata nilivyokuwa nawafikiria, cha kushangaza zaidi ni Biden ndie aliewapa amri ya kusimamisha huu mradi ikiwa Russia itaingia Ukrain lakini chancellor wao anaogopa kusema hili badala yake anatumia sheria za kimataifa kama sababu.
 
Indeeeeeed litaisha kidiplomasia tu.
Hiyo diplomasia wataifanya na nani, Putin yeye diplomasia ni kutekeleza malengo yake.
Na anajiamini, sasaivi ameshaanza kuhisi kama Nato na Us wanamuogopa.
Sababu amejitoa muhanga, hajali maisha yake wala ya watu wengine na ndio maana yupo tayari hata kwa vita ya nyuklia.

Amesema Ukraine na washirika wake wakianza kufyatua nyuklia zao kuelekea urusi, wao russia wata enda peponi na wengine yani nato na us wataenda jehanam.
 
Russia kuna bunge au kikundi cha wahuni tu ,kwa kipind hiki sawa Russia ana nguvu lakin atakuwa na nguvu kwa muda gan hawez maintain hizo nguvu itafika kipind hayo majimbo yatarud Ukraine it just a time
Crimea ina miaka mingapi sasa
 
Crimea ina miaka mingapi sasa
Hiv unaijua Russia ya Stalin wew Hitler mwenyewe alikuwa anawaogopa achana na Russia ya sasa Russia ya USSR ilikuwa untouchable hii iliangusha mpaka dola la ottoman
 
Hiv unaijua Russia ya Stalin wew Hitler mwenyewe alikuwa anawaogopa achana na Russia ya sasa Russia ya USSR ilikuwa untouchable hii iliangusha mpaka dola la ottoman
acha watu wasimamie maslahi yao...................kwani alikwambia anataka kujifananisha na huyo? yeye anaenda kama yeye
 
acha watu wasimamie maslahi yao...................kwani alikwambia anataka kujifananisha na huyo? yeye anaenda kama yeye
kwa sasa ndio ameweza kuwa na nguvu hiyo ila ataitumia kwa muda gan huwa hanaga consistence akija kiongoz mwingine anakuja na sera nyingine kabisa
 
Ukiizungumzia nato unazungumzia USA , France, UK, na German. Hao wengine ni viherehere. Kuna vinchi vingine vilivyozaliwa baada ya kuanguka kwa ukomunisti navyo ni sehemu ya Nato japo vyenyewe havina mchango wowote.

German hawezi kukubali kushambuliwa na russia vile vile kwa france na uk. Hii ngoma itapiganwa kwenye meza ya mazungumzo. Ukraine kashapoteza majimbo mawili. Akiendelea na kelele ataporwa jingine. Kuna viongozi wanapenda kuwaletea wananvhi wao shida na tabu. Ref Saddam Hussein na Ghadaff. Walitakiwa waachie nchi maisha yaendelee. Wakashupaza shingo kilichofuta kila mtu alikiona.
Katika hizo nchi Ujerumani hayuko tiyari kwa vita, yaani ukiuliza Raia wa Ujeruman kitu wasicho taka ni vita, walisha choka na ile WW1 na 2
 
Russia haina ubavu wa kupigana na NATO japo hata NATO hawatamani kuingia kijeshi kwny hilo
Haya ameshaingia Ukraine sasa hao nato si wamfwate ka wanajua watampiga???
Mbona middle east huko huwa wanaenda bila hata kufikiri mara mbili...
Wanajua nini kitawapata.
Kwa kifupi hao nato na usa wakimchokoza tu putin kijeshi bas mjue ww3 na muanze kutafuta kwa kujificha
 
Bunge la Urusi limempa Rais wa n hi hiyo nguvu ya kupeleka majeshi yake mahala popote Duniani pale itakapo hitajika.

Bunge hilo limefikia uamuazi wake Leo 22.02.22 siku moja mara baada ya Urusi kuyatambua majimbo yaliyokua yanapigania kujitenga na Ukraine.

Kwa mtazamo wangu hii nayo ni moja ya mahesabu makali sana ya Urusi na rais wake.

Kwa mtazamo wangu hii maana yake ni kwamba jeshi la Urusi Sasa Lina ruhusa ya bunge kwenda kuishambulia nchi yoyote itakayoonekana kutishia usalama wa Urusi.

Mfano kama USA na NATO wataingia kijeshi kukabiliana na Urusi huko Ukraine,maana yeka nayo Urusi itajibu kwa kumfuata Adui yoyote katika NATO ambae itaona inastahili kumshambulia.

Mfano ni kama USA akiingia kijeshi dhidi ya Urusi naye Urusi ataifuta USA na kujibu mapigo hukohuko.

Hii si Hali njema hata kidogo.
Bunge la Urusi halina mamka nje ya urusi, mamlaka yake ayanaishia urusi, kama wamemruhusu raisi wao na jeshi lao kushambulia nchi yoyote pasipo kuangalia kwamba waananchi wa urusi na uchumi wao kwa ujumla utaathirika vipi basi hilo bunge halina akili au pengine wamemchoka putin wanataka kumuondoa kwa namna nyingine bila yeye kujua

Hakuna nchi atakaekubali kushambuliwa na urusi akae kimya, maana yake wameiruhusu urusi kuingia vitani na nchi yoyote duniani
 
Back
Top Bottom