Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Kwa hiyo yaweza kutokea kwa putin mkuu?Ukiizungumzia nato unazungumzia USA , France, UK, na German. Hao wengine ni viherehere. Kuna vinchi vingine vilivyozaliwa baada ya kuanguka kwa ukomunisti navyo ni sehemu ya Nato japo vyenyewe havina mchango wowote.
German hawezi kukubali kushambuliwa na russia vile vile kwa france na uk. Hii ngoma itapiganwa kwenye meza ya mazungumzo. Ukraine kashapoteza majimbo mawili. Akiendelea na kelele ataporwa jingine. Kuna viongozi wanapenda kuwaletea wananvhi wao shida na tabu. Ref Saddam Hussein na Ghadaff. Walitakiwa waachie nchi maisha yaendelee. Wakashupaza shingo kilichofuta kila mtu alikiona.
Ataachia tu subiri kama baada ya miezi mitanoNimeshangaa kutoona upinzani wowote kutoka serikali ya Ukraine hasa baada ya kupewa misaada ya silaha na mafunzo kutoka NATO tangu 2014.
Ningekuwa raia wa Ujerumani ningeihoji serikali, kwanini mradi wa nordstream 2 usimame kisa mgogoro kati ya Russia na Ukraine? Ujerumani imeonesha udhaifu mkubwa sana kwenye hili.
Muda utaongea ila kwa sasa wamejionesha ni dhaifu kuliko hata nilivyokuwa nawafikiria, cha kushangaza zaidi ni Biden ndie aliewapa amri ya kusimamisha huu mradi ikiwa Russia itaingia Ukrain lakini chancellor wao anaogopa kusema hili badala yake anatumia sheria za kimataifa kama sababu.Ataachia tu subiri kama baada ya miezi mitano
Hiyo diplomasia wataifanya na nani, Putin yeye diplomasia ni kutekeleza malengo yake.Indeeeeeed litaisha kidiplomasia tu.
Crimea ina miaka mingapi sasaRussia kuna bunge au kikundi cha wahuni tu ,kwa kipind hiki sawa Russia ana nguvu lakin atakuwa na nguvu kwa muda gan hawez maintain hizo nguvu itafika kipind hayo majimbo yatarud Ukraine it just a time
Hiv unaijua Russia ya Stalin wew Hitler mwenyewe alikuwa anawaogopa achana na Russia ya sasa Russia ya USSR ilikuwa untouchable hii iliangusha mpaka dola la ottomanCrimea ina miaka mingapi sasa
acha watu wasimamie maslahi yao...................kwani alikwambia anataka kujifananisha na huyo? yeye anaenda kama yeyeHiv unaijua Russia ya Stalin wew Hitler mwenyewe alikuwa anawaogopa achana na Russia ya sasa Russia ya USSR ilikuwa untouchable hii iliangusha mpaka dola la ottoman
kwa sasa ndio ameweza kuwa na nguvu hiyo ila ataitumia kwa muda gan huwa hanaga consistence akija kiongoz mwingine anakuja na sera nyingine kabisaacha watu wasimamie maslahi yao...................kwani alikwambia anataka kujifananisha na huyo? yeye anaenda kama yeye
No mkuu Russia kajiandaa muda mrefu sana kumbuka huyo ni EssauRussia haina ubavu wa kupigana na NATO japo hata NATO hawatamani kuingia kijeshi kwny hilo
Na Venezuela kwa Nicolas Meduro.US atapigwa kutokea Cuba
Kirahisi tuu? Ninachokiomba wamalize mambo yao kwa mazungumzo ikibidi wamuwekee vikwazo vikubwa zaidi UrusiUS atapigwa kutokea Cuba
Katika hizo nchi Ujerumani hayuko tiyari kwa vita, yaani ukiuliza Raia wa Ujeruman kitu wasicho taka ni vita, walisha choka na ile WW1 na 2Ukiizungumzia nato unazungumzia USA , France, UK, na German. Hao wengine ni viherehere. Kuna vinchi vingine vilivyozaliwa baada ya kuanguka kwa ukomunisti navyo ni sehemu ya Nato japo vyenyewe havina mchango wowote.
German hawezi kukubali kushambuliwa na russia vile vile kwa france na uk. Hii ngoma itapiganwa kwenye meza ya mazungumzo. Ukraine kashapoteza majimbo mawili. Akiendelea na kelele ataporwa jingine. Kuna viongozi wanapenda kuwaletea wananvhi wao shida na tabu. Ref Saddam Hussein na Ghadaff. Walitakiwa waachie nchi maisha yaendelee. Wakashupaza shingo kilichofuta kila mtu alikiona.
Haya ameshaingia Ukraine sasa hao nato si wamfwate ka wanajua watampiga???Russia haina ubavu wa kupigana na NATO japo hata NATO hawatamani kuingia kijeshi kwny hilo
Bunge la Urusi halina mamka nje ya urusi, mamlaka yake ayanaishia urusi, kama wamemruhusu raisi wao na jeshi lao kushambulia nchi yoyote pasipo kuangalia kwamba waananchi wa urusi na uchumi wao kwa ujumla utaathirika vipi basi hilo bunge halina akili au pengine wamemchoka putin wanataka kumuondoa kwa namna nyingine bila yeye kujuaBunge la Urusi limempa Rais wa n hi hiyo nguvu ya kupeleka majeshi yake mahala popote Duniani pale itakapo hitajika.
Bunge hilo limefikia uamuazi wake Leo 22.02.22 siku moja mara baada ya Urusi kuyatambua majimbo yaliyokua yanapigania kujitenga na Ukraine.
Kwa mtazamo wangu hii nayo ni moja ya mahesabu makali sana ya Urusi na rais wake.
Kwa mtazamo wangu hii maana yake ni kwamba jeshi la Urusi Sasa Lina ruhusa ya bunge kwenda kuishambulia nchi yoyote itakayoonekana kutishia usalama wa Urusi.
Mfano kama USA na NATO wataingia kijeshi kukabiliana na Urusi huko Ukraine,maana yeka nayo Urusi itajibu kwa kumfuata Adui yoyote katika NATO ambae itaona inastahili kumshambulia.
Mfano ni kama USA akiingia kijeshi dhidi ya Urusi naye Urusi ataifuta USA na kujibu mapigo hukohuko.
Hii si Hali njema hata kidogo.
Indeeeeeed litaisha kidiplomasia tu.