Hii ndio point, hakuna mtu anaemwogopa Russia ila watu wanaangalia maslahi mapana ya dunia na athari za vita, watu wanapambana na Covid bado hawajapata suluhisho la kudumu yeye russia analeta ubabe ambao utaathiri hata nchi yake na watu wakeDunia inajaribu kwa kila hali pasitokee vita. Hakunaga mshindi kwenye kuuana.
KabisaHii ndio point, hakuna mtu anaemwogopa Russia ila watu wanaangalia maslahi mapana ya dunia na athari za vita, watu wanapambana na Covid bado hawajapata suluhisho la kudumu yeye russia analeta ubabe ambao utaathiri hata nchi yake na watu wake
Cha msingi ni peaceful ways za kuresolve huu mgogoro ili dunia iwe sehemu salama, hakuna haja ya kushabikia vita maana athari yake itatugusa hata sisi nchi maskini tena kwa kiasi kikubwa
Kwa iyo maslahi mapana awakuyaona kwa Libya, IRaq na afghanistan, wameyaona tu kwa WARUSI?Hii ndio point, hakuna mtu anaemwogopa Russia ila watu wanaangalia maslahi mapana ya dunia na athari za vita, watu wanapambana na Covid bado hawajapata suluhisho la kudumu yeye russia analeta ubabe ambao utaathiri hata nchi yake na watu wake
Cha msingi ni peaceful ways za kuresolve huu mgogoro ili dunia iwe sehemu salama, hakuna haja ya kushabikia vita maana athari yake itatugusa hata sisi nchi maskini tena kwa kiasi kikubwa
Mmarekani wa chato katika ubora wako eti mstari avuke teh teh teh!!Mrusi anajazwa tu kuna mstari anasubiliwa auvuke, na akijaribu hakuna rangi ataacha kuiona
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Tulia wewe mrusi wa kwa mpalange, mrusi mna mu overate tu hana loloteMmarekani wa chato katika ubora wako eti mstari avuke teh teh teh!!
Bunge la Urusi limempa Rais wa n hi hiyo nguvu ya kupeleka majeshi yake mahala popote Duniani pale itakapo hitajika.
Bunge hilo limefikia uamuazi wake Leo 22.02.22 siku moja mara baada ya Urusi kuyatambua majimbo yaliyokua yanapigania kujitenga na Ukraine.
Kwa mtazamo wangu hii nayo ni moja ya mahesabu makali sana ya Urusi na rais wake.
Kwa mtazamo wangu hii maana yake ni kwamba jeshi la Urusi Sasa Lina ruhusa ya bunge kwenda kuishambulia nchi yoyote itakayoonekana kutishia usalama wa Urusi.
Mfano kama USA na NATO wataingia kijeshi kukabiliana na Urusi huko Ukraine,maana yeka nayo Urusi itajibu kwa kumfuata Adui yoyote katika NATO ambae itaona inastahili kumshambulia.
Mfano ni kama USA akiingia kijeshi dhidi ya Urusi naye Urusi ataifuta USA na kujibu mapigo hukohuko.
Hii si Hali njema hata kidogo.