Bunge labaini kusuasua kwa usafiri wa Mwendokasi Dar

Bunge labaini kusuasua kwa usafiri wa Mwendokasi Dar

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imetoa taarifa kuhusu uendeshaji wa mradi wa mabasi yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam na kubaini tija ndogo katika utekelezaji wake licha ya uwekezaji mkubwa wa serikali.

Hayo yamebainishwa bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu Februari 10, 2025 na Mwenyekiti wa PIC, Augustine Holle ambapo amesema kuwa Serikali imewekeza Sh1.3 trilioni katika awamu mbili za mradi na Dola za Marekani 148.2 milioni kwa awamu ya tatu.

“Hata hivyo, Kamati imegundua kuwa Awamu ya Kwanza (Kimara - Kivukoni) inatumika kwa kiwango kidogo, Awamu ya Pili (Mbagala Rangitatu - Katikati ya Jiji) imekamilika lakini haijapata mwendeshaji kwa zaidi ya mwaka mmoja, na Awamu ya Tatu (Azikiwe - Gongo la Mboto) imekamilika kwa asilimia 55 bila mchakato wa kumpata mwendeshaji,” amesema Holle.

Kamati imeitaka DART kuharakisha upatikanaji wa watoa huduma kwa awamu zote ili kuhakikisha mradi huu unatumika kikamilifu na kuleta tija kwa wananchi na taifa.

 
tatizo wajinga wajinga ndio wanapewa vyeo kwenye nyanja muhimu kama hizi wanakosa ubunifu zaid ya kukaa ofsini na kujambajmba tu
.
ukienda ubungo pale kuna bas za mwendokas golden dragon zaid ya 50 zote mbovu madereva wa hizo gar wapo wanadhurura mataani mwisho wa mwez mshahara kama kawaida
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imetoa taarifa kuhusu uendeshaji wa mradi wa mabasi yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam na kubaini tija ndogo katika utekelezaji wake licha ya uwekezaji mkubwa wa serikali.
Ndio wanagundua leo tatizo ambalo lipo kwa miaka yote hii? Tatizo ni kwamba hawa wabunge wanatumia ma VX kwa hiyo hawana habari kabisa na wananchi wanachokabiliana nacho. Eti viongozi wawakilishi wa wananchi. Ujinga mtupu.
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imetoa taarifa kuhusu uendeshaji wa mradi wa mabasi yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam na kubaini tija ndogo katika utekelezaji wake licha ya uwekezaji mkubwa wa serikali.

Hayo yamebainishwa bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu Februari 10, 2025 na Mwenyekiti wa PIC, Augustine Holle ambapo amesema kuwa Serikali imewekeza Sh1.3 trilioni katika awamu mbili za mradi na Dola za Marekani 148.2 milioni kwa awamu ya tatu.

“Hata hivyo, Kamati imegundua kuwa Awamu ya Kwanza (Kimara - Kivukoni) inatumika kwa kiwango kidogo, Awamu ya Pili (Mbagala Rangitatu - Katikati ya Jiji) imekamilika lakini haijapata mwendeshaji kwa zaidi ya mwaka mmoja, na Awamu ya Tatu (Azikiwe - Gongo la Mboto) imekamilika kwa asilimia 55 bila mchakato wa kumpata mwendeshaji,” amesema Holle.

Kamati imeitaka DART kuharakisha upatikanaji wa watoa huduma kwa awamu zote ili kuhakikisha mradi huu unatumika kikamilifu na kuleta tija kwa wananchi na taifa.

Bunge LA makenge magamba!
 
Mimi nahisi kuna kigogo anapiga hela kwenye huu mradi wa mwendokasi.

Sio kwa ujinga huu unaondelea.
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imetoa taarifa kuhusu uendeshaji wa mradi wa mabasi yaendayo Haraka (BRT) jijini Dar es Salaam na kubaini tija ndogo katika utekelezaji wake licha ya uwekezaji mkubwa wa serikali.

Hayo yamebainishwa bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu Februari 10, 2025 na Mwenyekiti wa PIC, Augustine Holle ambapo amesema kuwa Serikali imewekeza Sh1.3 trilioni katika awamu mbili za mradi na Dola za Marekani 148.2 milioni kwa awamu ya tatu.

“Hata hivyo, Kamati imegundua kuwa Awamu ya Kwanza (Kimara - Kivukoni) inatumika kwa kiwango kidogo, Awamu ya Pili (Mbagala Rangitatu - Katikati ya Jiji) imekamilika lakini haijapata mwendeshaji kwa zaidi ya mwaka mmoja, na Awamu ya Tatu (Azikiwe - Gongo la Mboto) imekamilika kwa asilimia 55 bila mchakato wa kumpata mwendeshaji,” amesema Holle.

Kamati imeitaka DART kuharakisha upatikanaji wa watoa huduma kwa awamu zote ili kuhakikisha mradi huu unatumika kikamilifu na kuleta tija kwa wananchi na taifa.

Aliyeshiba hawezi kumkumbuka mwenye njaa,yani hizo route zote walizo zitaja ni maeneo yenye uhitaji mkubwa sana wa usafiri hasa kwa watu wenye hali ya chini wasinge nunua kale kandege kapya ka raisi pesa wakawekeza kwenye mradi mbona mabasi yangepatikana.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Jamaa yangu ana kihiace kibovu kinapiga route ya bonyokwa,foleni plus za kubrushia kwa trafic police,bado anapata faida nashangaa inakuaje brt awasumbuliwi na trafiki lakini aileti faida,kuna watu kwenye huu mradi wanastahili kunyongwa hadharani
 
Back
Top Bottom