Bunge laitaka Serikali kuwawajibisha ‘waliochota’ Bilioni 63.4 za Uboreshaji wa Bandari ya Tanga

Bunge laitaka Serikali kuwawajibisha ‘waliochota’ Bilioni 63.4 za Uboreshaji wa Bandari ya Tanga

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1687958034287.png

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeonyesha kusikitishwa na kutochukuliwa kwa hatua za kisheria kwa wabadhirifu wa Sh63.4 bilioni katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka amesema wakati akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge, kuhusu mapendekezo ya Mdhibiti Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/2021.

Kaboyoka amesema azimio hilo halijatekelezwa kama Bunge lilivyoagiza kwa kuwa imepita muda mrefu bila hatua za kisheria kuchukuliwa kwa suala la ubadhirifu katika zabuni ya upanuzi wa bandari ya Tanga.

Amesema Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wamepokea taarifa ya ukaguzi maalumu kwa takribani miezi saba iliyopita hivyo walitakiwa kuchukua hatua stahiki kwa wahusika.

“Serikali imeliwasilisha suala hili Takukuru kwa ajili ya hatua za Kisheria. Ili kujua hatua iliyofikiwa, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imefuatilia Takukuru na kuelezwa kuwa suala hili linaendelea kufanyiwa kazi na Ofisi hiyo,”amesema.

Amesema kamati hiyo ilifahamishwa kuwa na CAG kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Juni 2021 aliomba kufanyika ukaguzi wa kiuchunguzi na kuainisha tuhuma za ubadhirifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka uliofanywa na watumishi wa TPA katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Amesema ukaguzi huo ulikamilika na kubaini ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma takribani Sh64.30 bilioni ambayo ni hasara kwa Serikali.

Amesema Takukuru walipewa matokeo ya ukaguzi huo na hivyo Bunge liliazimia Serikali ichukue hatua za kisheria kwa makampuni na watumishi wote wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) waliotajwa katika taarifa ya ukaguzi huo maalum.

MWANANCHI
 
View attachment 2671873
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeonyesha kusikitishwa na kutochukuliwa kwa hatua za kisheria kwa wabadhirifu wa Sh63.4 bilioni katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka amesema wakati akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge, kuhusu mapendekezo ya Mdhibiti Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/2021.

Kaboyoka amesema azimio hilo halijatekelezwa kama Bunge lilivyoagiza kwa kuwa imepita muda mrefu bila hatua za kisheria kuchukuliwa kwa suala la ubadhirifu katika zabuni ya upanuzi wa bandari ya Tanga.

Amesema Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wamepokea taarifa ya ukaguzi maalumu kwa takribani miezi saba iliyopita hivyo walitakiwa kuchukua hatua stahiki kwa wahusika.

“Serikali imeliwasilisha suala hili Takukuru kwa ajili ya hatua za Kisheria. Ili kujua hatua iliyofikiwa, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imefuatilia Takukuru na kuelezwa kuwa suala hili linaendelea kufanyiwa kazi na Ofisi hiyo,”amesema.

Amesema kamati hiyo ilifahamishwa kuwa na CAG kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Juni 2021 aliomba kufanyika ukaguzi wa kiuchunguzi na kuainisha tuhuma za ubadhirifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka uliofanywa na watumishi wa TPA katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Amesema ukaguzi huo ulikamilika na kubaini ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma takribani Sh64.30 bilioni ambayo ni hasara kwa Serikali.

Amesema Takukuru walipewa matokeo ya ukaguzi huo na hivyo Bunge liliazimia Serikali ichukue hatua za kisheria kwa makampuni na watumishi wote wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) waliotajwa katika taarifa ya ukaguzi huo maalum.

MWANANCHI
Porojo hizo hakuna kitakachofanyika,hiyo ni deal ya wakubwa.
 
Haya mambo ndiyo yanayokatisha tamaa kiasi cha hizi bandari wapewe hata bure wawekezaji ka DP World. Pro DP hapa wanapata sababu kubwa ya kupewa muwekazaji akomeshe wizi huo, wanaona kuliko walafi hao wa kitanzania wajilie tu kwa raha zao bora apewe muwekezaji awakomeshe
 
Waache dabo standard vipi waliotajwa ripoti ya CAG mbona wao je
 
View attachment 2671873
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeonyesha kusikitishwa na kutochukuliwa kwa hatua za kisheria kwa wabadhirifu wa Sh63.4 bilioni katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka amesema wakati akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge, kuhusu mapendekezo ya Mdhibiti Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/2021.

Kaboyoka amesema azimio hilo halijatekelezwa kama Bunge lilivyoagiza kwa kuwa imepita muda mrefu bila hatua za kisheria kuchukuliwa kwa suala la ubadhirifu katika zabuni ya upanuzi wa bandari ya Tanga.

Amesema Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wamepokea taarifa ya ukaguzi maalumu kwa takribani miezi saba iliyopita hivyo walitakiwa kuchukua hatua stahiki kwa wahusika.

“Serikali imeliwasilisha suala hili Takukuru kwa ajili ya hatua za Kisheria. Ili kujua hatua iliyofikiwa, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imefuatilia Takukuru na kuelezwa kuwa suala hili linaendelea kufanyiwa kazi na Ofisi hiyo,”amesema.

Amesema kamati hiyo ilifahamishwa kuwa na CAG kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Juni 2021 aliomba kufanyika ukaguzi wa kiuchunguzi na kuainisha tuhuma za ubadhirifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka uliofanywa na watumishi wa TPA katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Amesema ukaguzi huo ulikamilika na kubaini ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma takribani Sh64.30 bilioni ambayo ni hasara kwa Serikali.

Amesema Takukuru walipewa matokeo ya ukaguzi huo na hivyo Bunge liliazimia Serikali ichukue hatua za kisheria kwa makampuni na watumishi wote wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) waliotajwa katika taarifa ya ukaguzi huo maalum.

MWANANCHI
Mbwa hana meno.,
 
Nchi ya wahuni hii, walafi wanagawana mali, kisa wanakula kwa urefu wa kamba zao
 
Kama tumeshindwa kuwabana hawa Kupe tutawaweza DP World Pindi wakileta za kuleta ?
 
View attachment 2671873
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeonyesha kusikitishwa na kutochukuliwa kwa hatua za kisheria kwa wabadhirifu wa Sh63.4 bilioni katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka amesema wakati akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge, kuhusu mapendekezo ya Mdhibiti Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/2021.

Kaboyoka amesema azimio hilo halijatekelezwa kama Bunge lilivyoagiza kwa kuwa imepita muda mrefu bila hatua za kisheria kuchukuliwa kwa suala la ubadhirifu katika zabuni ya upanuzi wa bandari ya Tanga.

Amesema Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wamepokea taarifa ya ukaguzi maalumu kwa takribani miezi saba iliyopita hivyo walitakiwa kuchukua hatua stahiki kwa wahusika.

“Serikali imeliwasilisha suala hili Takukuru kwa ajili ya hatua za Kisheria. Ili kujua hatua iliyofikiwa, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imefuatilia Takukuru na kuelezwa kuwa suala hili linaendelea kufanyiwa kazi na Ofisi hiyo,”amesema.

Amesema kamati hiyo ilifahamishwa kuwa na CAG kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Juni 2021 aliomba kufanyika ukaguzi wa kiuchunguzi na kuainisha tuhuma za ubadhirifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka uliofanywa na watumishi wa TPA katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Amesema ukaguzi huo ulikamilika na kubaini ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma takribani Sh64.30 bilioni ambayo ni hasara kwa Serikali.

Amesema Takukuru walipewa matokeo ya ukaguzi huo na hivyo Bunge liliazimia Serikali ichukue hatua za kisheria kwa makampuni na watumishi wote wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) waliotajwa katika taarifa ya ukaguzi huo maalum.

MWANANCHI
Haya mambo yanakatisha tamaa kwani sioni nguvu ya bunge hata likipuuzwa na hiyo serikali.
 
View attachment 2671873
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imeonyesha kusikitishwa na kutochukuliwa kwa hatua za kisheria kwa wabadhirifu wa Sh63.4 bilioni katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka amesema wakati akiwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa maazimio ya Bunge, kuhusu mapendekezo ya Mdhibiti Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/2021.

Kaboyoka amesema azimio hilo halijatekelezwa kama Bunge lilivyoagiza kwa kuwa imepita muda mrefu bila hatua za kisheria kuchukuliwa kwa suala la ubadhirifu katika zabuni ya upanuzi wa bandari ya Tanga.

Amesema Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wamepokea taarifa ya ukaguzi maalumu kwa takribani miezi saba iliyopita hivyo walitakiwa kuchukua hatua stahiki kwa wahusika.

“Serikali imeliwasilisha suala hili Takukuru kwa ajili ya hatua za Kisheria. Ili kujua hatua iliyofikiwa, Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imefuatilia Takukuru na kuelezwa kuwa suala hili linaendelea kufanyiwa kazi na Ofisi hiyo,”amesema.

Amesema kamati hiyo ilifahamishwa kuwa na CAG kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Juni 2021 aliomba kufanyika ukaguzi wa kiuchunguzi na kuainisha tuhuma za ubadhirifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka uliofanywa na watumishi wa TPA katika utoaji wa tuzo ya zabuni za uboreshaji wa Bandari ya Tanga kwa Kampuni ya China Harbour Engineering Company (CHEC) Ltd.

Amesema ukaguzi huo ulikamilika na kubaini ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma takribani Sh64.30 bilioni ambayo ni hasara kwa Serikali.

Amesema Takukuru walipewa matokeo ya ukaguzi huo na hivyo Bunge liliazimia Serikali ichukue hatua za kisheria kwa makampuni na watumishi wote wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) waliotajwa katika taarifa ya ukaguzi huo maalum.

MWANANCHI
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kumfunga mtu aliyepiga bil60 tz, hata rais hawezi, sanasana watahukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa fidia ya mil2
 
Back
Top Bottom