Mkamap.
Kozi gani ya miaka mitano au medicine?Alcatel walikuchukua ukafanye Medicine kwao?hapa unakusudia wapi?
Sishangai kushindwa kuwapatia timu wachezaji kwani huna uwezo wa kujieleza au kuelewa topic inasema nini.
Hapa nimekuwekea kila kitu bado una bisha inawezekana hao waliopita ni jamaa zako au kashilillah una ujamaa nae.msome Mtanzania alivyokuweka sawa! msome Chuma ulivyomchanganya na maelezo yako.kama wana JF hawakuelewi wenye timu wangeweza kukuelewa? uko nchi gani Russia au Ukraine?
Nakusaidia kwa mara nyingine. soma kitabu Great Answers to Tough Interview Questions na Martin John Yate.
Mwambie Nombo na Kashilillah wapitie.
Wewe mkuu kwani wewe unasoma /ulisoma miaka mingapi kozi yako? ndio maana utendaji wa serikali karibu wote wameishindwa nchi kuendeleza miaka arobaini sasa toka kilekile chuo.
Na saizi wameamuwa kutushushia malungu tu ili tufe na njaa na kiza kuu,Inabidi kuuliza maswali magumu pia hivi pale kunani hadi wahitimu wake washindwe kutambuwa MIKATABA MIBOVU ??
Angalia yule makamu wa chuo sasa kama yule jamaa maamuzi yake ndiyo yale ,wanawe atakuwa anawafundisha nini?
Migomo kwa term moja atleast miwili na mgomo mmoja unachukuwa karibu mwezi term una miezi minne wanajifunza nini hawa dungu zangu??
Ni kweli wanaingia vipanga waelewa lakini wanatoka patupu ,piga mahesabu ya haraka haraka kila mwaka wanasoma miezi minne mara 3 baadhi ya kozi ni sawa na miezi 12 . wenye kozi ya miaka minne wanasoma miezi 16 plus or minus 2.
Sasa Aug wakikupigeni bao unalalamika nini ama unashangaa nini kipya hapo?? .
Last edited: