Bunge lakumbwa na kashfa nzito

Bunge lakumbwa na kashfa nzito

Mkamap.

Kozi gani ya miaka mitano au medicine?Alcatel walikuchukua ukafanye Medicine kwao?hapa unakusudia wapi?
Sishangai kushindwa kuwapatia timu wachezaji kwani huna uwezo wa kujieleza au kuelewa topic inasema nini.

Hapa nimekuwekea kila kitu bado una bisha inawezekana hao waliopita ni jamaa zako au kashilillah una ujamaa nae.msome Mtanzania alivyokuweka sawa! msome Chuma ulivyomchanganya na maelezo yako.kama wana JF hawakuelewi wenye timu wangeweza kukuelewa? uko nchi gani Russia au Ukraine?

Nakusaidia kwa mara nyingine. soma kitabu Great Answers to Tough Interview Questions na Martin John Yate.
Mwambie Nombo na Kashilillah wapitie.

Wewe mkuu kwani wewe unasoma /ulisoma miaka mingapi kozi yako? ndio maana utendaji wa serikali karibu wote wameishindwa nchi kuendeleza miaka arobaini sasa toka kilekile chuo.

Na saizi wameamuwa kutushushia malungu tu ili tufe na njaa na kiza kuu,Inabidi kuuliza maswali magumu pia hivi pale kunani hadi wahitimu wake washindwe kutambuwa MIKATABA MIBOVU ??

Angalia yule makamu wa chuo sasa kama yule jamaa maamuzi yake ndiyo yale ,wanawe atakuwa anawafundisha nini?
Migomo kwa term moja atleast miwili na mgomo mmoja unachukuwa karibu mwezi term una miezi minne wanajifunza nini hawa dungu zangu??
Ni kweli wanaingia vipanga waelewa lakini wanatoka patupu ,piga mahesabu ya haraka haraka kila mwaka wanasoma miezi minne mara 3 baadhi ya kozi ni sawa na miezi 12 . wenye kozi ya miaka minne wanasoma miezi 16 plus or minus 2.
Sasa Aug wakikupigeni bao unalalamika nini ama unashangaa nini kipya hapo?? .
 
Last edited:
Mkamap.

Kozi gani ya miaka mitano au medicine?Alcatel walikuchukua ukafanye Medicine kwao?hapa unakusudia wapi?
Sishangai kushindwa kuwapatia timu wachezaji kwani huna uwezo wa kujieleza au kuelewa topic inasema nini.

Hapa nimekuwekea kila kitu bado una bisha inawezekana hao waliopita ni jamaa zako au kashilillah una ujamaa nae.msome Mtanzania alivyokuweka sawa! msome Chuma ulivyomchanganya na maelezo yako.kama wana JF hawakuelewi wenye timu wangeweza kukuelewa? uko nchi gani Russia au Ukraine?

Nakusaidia kwa mara nyingine. soma kitabu Great Answers to Tough Interview Questions na Martin John Yate.
Mwambie Nombo na Kashilillah wapitie.
 
Mkamap.
SIko hapa kutetea Udsm watu waliomba kazi wameomba toka vyuo mbalimbali kama Tumaini University,Mzumbe,Zanzibar University,wengine wamesoma NJE .nipe email yako nikutumie kopi ya barua yote ili upate kujua kwa undani.kuliko kudandia dandia habari kama unadandia gari la mabox la ALCATEL.
 
Mkamap.
SIko hapa kutetea Udsm watu waliomba kazi wameomba toka vyuo mbalimbali kama Tumaini University,Mzumbe,Zanzibar University,wengine wamesoma NJE .nipe email yako nikutumie kopi ya barua yote ili upate kujua kwa undani.kuliko kudandia dandia habari kama unadandia gari la mabox la ALCATEL.

mkamap@yahoo.com
 
Niliona kwa mujibu wa tangazo la kazi,kulikuwa na kigezo kuwa PROVISIONAL STATEMENT/RESULTS hazitakubaliwa.Sasa hao waliomaliza wiki mbili kabla ya tangazo hilo la ajira inawezekana kuwa walipata TRANSCRIPT ndani ya muda wa kuapply???Au wali_waive hicho kipengele!!
 
Game Theory, Dar es salaam wamawazo kuwa waislam wamebaguliwa kwenye hii selection... Ndio maana unaona statement kama "...ohoo ngoja nipige simu kwa first lady" .. akitegemea JK na first lady i.e. waislam wenzao watawasaidia). OK?
MY TAKE: Tutetee haki bila kungalia kwanza dini ya "victim".
Mkuu,kwa mtazamo wangu wa fastafasta ni kuwa alikuwa anamaanisha First Lady ambaye ni member hapa jamvini,au??Maybe ikawa coincedence kuwa huyu member First Lady akawa ni kweli ndo mke wa mkuu wa kaya.
I stand 2b corrected
 
Niliona kwa mujibu wa tangazo la kazi,kulikuwa na kigezo kuwa PROVISIONAL STATEMENT/RESULTS hazitakubaliwa.Sasa hao waliomaliza wiki mbili kabla ya tangazo hilo la ajira inawezekana kuwa walipata TRANSCRIPT ndani ya muda wa kuapply???Au wali_waive hicho kipengele!!
Nombo na kashilillah wali waive kipengele hicho ili wawabebe watu wao.
 
Standards zetu ziko chini sana.Sikupenda walivyowavunjia privacy waomba kazi hapo.Kuna watu wengine wana mind business zao ziwe private, sasa kibongo bongo watu washawekwa mijina kwenye migazeti ya mtandaoni.

Wewe kweli ni KIRANGA!
Standards zipi ziko chini? hizi za kuweka majina ya shortlisted candidates kwenye internet. Mbona majina yao yalishatoka kitambo kwenye magazeti?

Ishu hapa ni nzito kuliko inavyoelezwa. Kwa taarifa yenu Kazi zote zilizotangazwa kuiondoa hiyo ya Hansard reporters kuna waombaji 37 wamekuwa shortlisted! na very strange 35 kati ya hao ni wa dini MOJA..

Hii haiwezi kukubalika..sasa kumbe wa St Aug ndo wametawala kwenye shortlisted candidates mbaya zaidi wote ni wa dini moja.Hapa lazima kutakuwa kuna jambo.

Kuna jamaa namfahamu na alimaliza St Aug na aliomba zile kazi..hakubahatika kuitwa kwenye Interv japo alifaulu vizuri mno...Sasa ninaunganisha dots zangu na kubaini kama kilicho muangusha ni dini yake tu.

Kuna kitu kimegusiwa na bwana mmoja kule mwanzo kama kazi kama za Hansard reporter lazima uwe mtu wao ndo wakuchukue..sasa swali mtu wao kina nani? yaani kumbe baadhi ya kazi zina watu maa lum ambao lazima wawe ni wa dini moja?

Si dhani kama tutajenga jamii nzuri kwa kuwa na systems za ajira zenye upendeleo dhahir shahir. Kwa kuwa bado tuna misingi ya utawala bora..naamini ofisi zilizizopelekewa nakala zita act accordingly.

Naomba kuwasilisha.
Kingwele.
 
35 kati 37 walikuwa wa dini moja? wewe unadhani kuna upendeleo kwa misingi ya dini?

Du hii ni hoja kubwa zaidi!
 
Kama ni kweli, wajiuzulu kupisha uchunguzi.

Ni habari za kweli ndio maana wanashindwa kwa kuanzia kukanusha.kesho nitakuwa na habari zaidi ya zoezi hili la ajira za ujanja ujanja nitaziweka hapa. meanwhile Mwanakijiji jaribu kumdadisi Katibu wa Bunge DR.Kashilillah kulikoni?
 
35 kati 37 walikuwa wa dini moja? wewe unadhani kuna upendeleo kwa misingi ya dini?

Du hii ni hoja kubwa zaidi!

Mimi sijaitizama kwenye anga ya udini,nimeshangazwa na DARASA MOJA kujazwa kwenye Interview.

Of course kila mtu ana tizama jambo kwa jicho au uoni wake.wangejazwa darasa moja lakini wana sifa sawa.wakiwa dini moja wana sifa sawa,hawa wa Nyegezi waliochukuliwa wameshindwa kukidhi vigezo vya bunge lenyewe lilojiwekea kwenye taratibu za ajira.
 
Leo Bunge watendaji walikuwa na kikao kujadili mjadala huu.Kashilillah anatafuta wachawi ni nani?kweli JF kiboko ya tabia.
 
Kwa hiyo Mfungaji aliotea wakati goli linafungwa??

Ni aibu kuwa Refa anapendelea na kukubali goli!

Kwani Linesman nae vipi?

Huyu refa basi achukuliwe hatua!
 
Mambo ndo yanavyoenda. Zipo baadhi ya wizara ambazo kupata kazi ni qualification yako tu,Hamna cha kujuana.Lakini nikirudi kwa hizi za kujuana,tatizo hili limeshamiri saana na je wale wasiokuwa na ndugu itakuwaje tena?

c kweli kwamba wenye uzoefu na hiyo kazi hawakuaapy maana nchi hii karibu lila mtu anatamani huko ikulu na mimi ni mmoja wapo japo cpapata nafasi. Mbaya zaidi ni pale wanapochukuliwa watu ambao hawana sifa wakati wenye sifa wapo.
Ngoja tuendelee kutega sikio labda watabadili uamuzi.
Na mwisho kama kuna mwana JF aliiapply asikate tamaa, naamini kuna kazi ambayo ipo kwa ajili yako na itakuwa ni nzuri zaidi kuliko hata hii ya sasa,la muhimu ni kuwa na imani na kuendelea kufanya application.
 
Kwa kashfa hii, spika sitta awajibike, ajiwajibishe!
 
kanda2....Bahati Mbaya hatuna utaratibu wa Kujiuzulu...na pia hatuna hata utaratibu wa kuomba hata samahani baada ya kukosea....

Tunachosubiri wakuu walio juu yetu kutuhamisha na kutupa ulaji mwingine.
 
Back
Top Bottom