Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

Kitu ambacho akiliccm wengi huwa hawakijui ni kwamba WANADHANI WATANZANIA WANGALI NA AKILI ZA KUSHIKIWA.

Mtu anajiuzulu na kujiondoa ndipo wanamuandikia barua ya kumfukuza!
 
MAJIZI YANA KIMBILIA CHADEMA
Hii ni kauli ya mtu wa ufahamu mdogo kabisa ama ni sawa na ile ya sungura ya sizitaki mbichi hizi,
Hivi chadema ni mbali sana ambako mnaogopa na kushindwa kuyakamata majizi,nasema kauli ya MTU dhaifu sababu km mwizi unamjua unaishia kuongelea pembeni badala ya kumchukulia hatua inashangaza,hii ni kauli ya MTU muoga na asiyejiamini
 
Nyalandu ametoa sababu, mojawapo ni Bunge kukosa uhuru.

Leo Nyalandu "anafukuzwa" uanachama bila kupewa taarifa na si hapo tu, hata Polepole hajatamka kwamba Nyalandu alifukuzwa uanachama.

Hii barua inadhibitisha madai ya Nyalandu kwamba Bunge linatumika na si huru.

Seriously, ni kitu gani kimeikumba "intelijinsia" yetu kufanya haya mambo hovyo hivi?! Ni aibu sana!
 
Hata tarehe haina ¡!!?
 
Ulitaka wawe watangaza vikao Kukujulisha?
Wala hakuna haja ila Nyalandu mwenyewe angestahili natural justice. Hatusikii habari za yeye kuitwa na kuhojiwa kuhusu mwenendo wake! Huhitaji ubongo mkubwa kuliko wa njiwa kujua kuwa haiyumiki hali si hali kwa ccm na mwenyekiti wao 'mtukufu' wa ferini anaonekana kulijua hilo. Wewe unahitaji kutumia akili yako vizuri zaidi kidogo tu ili ujue ukweli halisi!
 
Yakitokea wapi? Ukijibu hapa ndio nitaanza kupima kiasi cha mgando uliyomo kwenye medulla.
Ungemuuliza yaliiba yakiwa wapi,
Halafu mwizi gani atajiondoa kwenye ficho lake ahamie pasipo na ficho,hyo atakuwa mwizi mpumbavu
 
Na hivi Sina hela, ndio kabisa sisikilizi maujinga yao!
 
Kwani Tibaijuka na Chenge wapo Chadema?!
Na yule mmoja aliyeuza nyumba za serikali na kununua kivuko kibovu je?!
Walipoanza kumsakama chengeh kuwa ahojiwe na yy akatupa dongo kuwa siyo mjinga,
Aliyemtuma yy kusaini ndo alimuagiza mwingine kuuza nyumba basi kama ni kesi wote wanazo za kujibu,
Baada ya chege kusema hivyo wakaufyata wapo kimyaaaaaaa
 
Nyaturu team, high five mh. Nyalandu haya mataahira yanatapatapa tu!!
 
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
 
CHAMA CHA MASHOGA (CCM) KINA VITUKO!!
ALIYEUZA NYUMBA ZA SERIKALI AKAMHONGA "KIMADA"HEKALU PALE MWENGE YUPOOOOO???
 
Haya ni maajabu ya dunia....yaani spika ndo amekuwa msemaji wa chama?....barua ya kufukuzwa inatangazwa na spika shame..!!!

Chama ndo kilitakiwa kuutangazia uma kwamba wamemvua uanachama na kikao kilikaa lini...hii ni aibuuuu ptuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…