Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

Huyu jamaa sio kumuamini sana kuwa karibu na Lissu. Lolote anaweza kufanya.
 
MaCCM wamefanyiwa timing sasa wanatapatapa tu, Go Go Nyalandu!!!
 
kanunua simu kampa demu, walipoachana kampokonyaaaaaaa
 
Yaan huyu anajidharirisha kw kweli,,, yeye sasa kawa msemaji wa magamba,,, kweli ukiugua muda mrefu CD4 za akil nazo hupungua,,,
 
Nchi sasa imekuwa ya wa huni yaani:
Kiingereza: holiganism
Kwa kichina: Liu Mang
 
hahahahahaha yaani hawa CCM aisee wanajitahid kuleta danganya toto ikiwa watanzania sasa wamekuwa na akili nyingi....zama zimebadilika sana hata wao wabadilike
 
Azam TV usiku huu wameripoti kwamba juhudi za kumpata Polepole kufafanua huu nkanganyiko zimegonga mwamba baada ya PPolepole kuwakimbia Azam TV na hata alipopigiwa simu haikujibiwa! Wameinama, ... Wameinuka . . wanaona haya haoo!!!!!
 
CCM wanafanya mambo ya kitoto sana., sasa hii maana yake nini mtu amejitangazia mwenyewe tarehe tokea tarehe 30 na wao wakaanza kumtukana na kumdhalilisha. Mbona spika aliulizwa na mwandishi kama Nyalandu amejiuzulu kasema yeye hajui si angesema basi anayo barua ya Katibu Mkuu wa CCM kufukuzwa
 
CCM ilikua zamani wazee wenye hekima na busara walikijenga chama kuanzia ngazi ya shina,kijiji,kata,wilaya,mkoa hadi taifa kwa hoja na sera zilizowavutia wananchi wakajiunga na chama,sasa hivi wazee wamekaa pembeni wanaogopa kuambiwa wanawashwa washwa chama wameachiwa Wahuni kutwa kuropoka na kutumia mabavu chama hakina mvuto tena kimebaki jina...hakuna cha Nambari wani tena kimebaki kuwateka raia wasio na hatia na kuwapiga risasi wale wote wanaowakosoa kila siku maiti zinaokotwa pembezoni mwa bahari hakuna anayelizungumzia hili wote kimya,huenda ni maagizo kutoka juu ila amini na waambieni hakuna aliyejuu na mwenye mamlaka kuhusu uhai na kifo cha kiumbe kingine isipokua ALLAH! ipo siku ichi kilio kitaisha na Nchi yetu itapata Uhuru wa kweli toka mikononi mwa wakoloni weusi CCM..
 
Kwa hiyo ndunyala badala ya kupeleka barua ya kujiuzulu kwa spika faster yeye kakimbilia mitandaoni,akili kubwa ikamuwahi faster kumtemesha !!siasa tamu sana ukiijua

Ona sasa unavyoandika jina kwa kugeuza kisa una ona aibu ya viongozi wako

Ha! ha! Just ha! ha!
 
Barua ya kuwafuta uanachama wabunge Wa cuf ilipokelewa haraka akiwa Nigeria Je iweje ya NYALANDU iwe haijafika mpka Leo tena yeye akiwa Dodoma na si Nigeria?
Aisee yawezekana barua ya kuwavua ubunge wabunge wa CUF labda alipokea maelekezo toka juu.
 
Barua ya kuwafuta uanachama wabunge Wa cuf ilipokelewa haraka akiwa Nigeria Je iweje ya NYALANDU iwe haijafika mpka Leo tena yeye akiwa Dodoma na si Nigeria?
Aisee yawezekana barua ya kuwavua ubunge wabunge wa CUF labda alipokea maelekezo toka juu.

Watakaokuelewa vyema watanisaidia kunielewesha na Mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…