Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

Hahahahahahaahahha labda Nyalandu aliipeleka kwa makinda akidhani kuwa ndiye spika Hahahahah eti kamati ya bunge nawashwa?
 
Eti alitoa kauli zinazoenda kinyume na falsafa na itikadi za Chama???

Kauli za kuwasihi watu wapendane, wavumiliane bila kujali itikadi zao, waombeane... Hakika sioni kosa la mtu huyu.


Naanza kuamini katika Al badir.. Wallah
 
Ahaha a hahaha kumbe ndio maana maamuzi ya kumteua Katibu wa bunge yalifanyika kwa mwendo kasi, kiasi kile ili yapitishe barua za magendo kama hizo?
Kama kweli wangekuwa wamemfukuza, Pole pole angesema, kwa hiyo kazi ya uenezi ya CCM inafanywa na Bunge , aibuuuuuu kwa huo unaojiita muhimili kutumika vibaya
 
Alafu
View attachment 621961

Moja ya habari kubwa za sasa hivi nchini Tanzania ni Lazaro Nyalandu ambae juzi ametangaza kujiuzulu nafasi zake zote ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Ubunge wa Singida Kaskazini.

Baadae Spika Ndugai alihojiwa na vyombo vya habari na kusema kwamba pamoja na kusikia taarifa za kujiuzulu kwa Nyalandu kwenye vyombo vya habari, yeye bado hajapokea barua ya kujiuzulu kwa Mbunge huyo.

Sasa leo imetoka taarifa kutoka Ofisi ya Bunge Dodoma ikiwa imeandikwa kama inavyosomeka hapo juu..
Alafu mnaubili uzalendo .....hata democrasia hamuijui sasa ngoja muone wimbi la wanachama na wabunge watakavo hama chama gani hakikubali kuwa hali mmbaya mtaani wala kumshauli kiongozi wao, nyalandu kaanza ila kihalisia wengi wameshahama hawajajitangaza tu
 
Yani mie huyo namuona kama katibu muenezi wa chama
 
Kama kweli wangekuwa wamemfukuza, Pole pole angesema, kwa hiyo kazi ya uenezi ya CCM inafanywa na Bunge , aibuuuuuu kwa huo unaojiita muhimili kutumika vibaya
Nafikiri tokea tupate uhuru, hii ndio hawamu ya uongozi ambayo serikali "imelawiti" mihimili iliyobaki ya taifa hili pasipo huruma wala aibu, tena kwa kasi ya ajabu.
 
Rais: Majizi yanahama yanakimbilia CHADEMA... Then, Ndugai: Wanaohama wanawashwa...... Later on
Ndugai : CCM walikuwa wamemsimamisha uanachama.
 
dda7213af57979f1370bdaa0a4912479.jpg
 
Back
Top Bottom