popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,615
Ukifuatilia aina ya siasa wanayofanya hawa jamaa hautasita kusema siasa ni dhambi,CCM ndiyo zalisho la majizi siyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifuatilia aina ya siasa wanayofanya hawa jamaa hautasita kusema siasa ni dhambi,CCM ndiyo zalisho la majizi siyo?
akili ndogo haiwezi ikaongoza akili kubwaaCcm ni vichwa vya panzi
Asante kwa kumpa jibu zuri zaidi kuliko nililompa huyu msisiemu!si ndivyo wanavyofanyaga?
au wewe unafikiri kilikaa lini ?
Kama kweli wangekuwa wamemfukuza, Pole pole angesema, kwa hiyo kazi ya uenezi ya CCM inafanywa na Bunge , aibuuuuuu kwa huo unaojiita muhimili kutumika vibayaAhaha a hahaha kumbe ndio maana maamuzi ya kumteua Katibu wa bunge yalifanyika kwa mwendo kasi, kiasi kile ili yapitishe barua za magendo kama hizo?
Alafu mnaubili uzalendo .....hata democrasia hamuijui sasa ngoja muone wimbi la wanachama na wabunge watakavo hama chama gani hakikubali kuwa hali mmbaya mtaani wala kumshauli kiongozi wao, nyalandu kaanza ila kihalisia wengi wameshahama hawajajitangaza tuView attachment 621961
Moja ya habari kubwa za sasa hivi nchini Tanzania ni Lazaro Nyalandu ambae juzi ametangaza kujiuzulu nafasi zake zote ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na Ubunge wa Singida Kaskazini.
Baadae Spika Ndugai alihojiwa na vyombo vya habari na kusema kwamba pamoja na kusikia taarifa za kujiuzulu kwa Nyalandu kwenye vyombo vya habari, yeye bado hajapokea barua ya kujiuzulu kwa Mbunge huyo.
Sasa leo imetoka taarifa kutoka Ofisi ya Bunge Dodoma ikiwa imeandikwa kama inavyosomeka hapo juu..
"....... Washamba na malimbukeni..." - ZZKSikujua kama nchi ina viongozi wajinga namna hii.demokrasia kwao ni msamiati
Nafikiri tokea tupate uhuru, hii ndio hawamu ya uongozi ambayo serikali "imelawiti" mihimili iliyobaki ya taifa hili pasipo huruma wala aibu, tena kwa kasi ya ajabu.Kama kweli wangekuwa wamemfukuza, Pole pole angesema, kwa hiyo kazi ya uenezi ya CCM inafanywa na Bunge , aibuuuuuu kwa huo unaojiita muhimili kutumika vibaya
....Hivi ile single ya mahakama ya mafisadi bado ipo sokoni?MAJIZI YANA KIMBILIA CHADEMA