Bunge lataka Watumiaji wa Daraja Tanzanite (Selander) Walipie

Kuna sababu zozote za msingi ambazo kamati imezingatia?
 
Upuuzi gani huu. Daraja la kigamboni ni mradi wa mamlaka ya pensheni tozo ni ili kurudisha fedha yao. Na daraja la tanzanite ni hela ya hazina.
Yote ni madaraja ya watanzania. Acha mawazo yenye viashiria vya kushindwa kufikiri vizuri. Tofauti huko Salender wanapita matajiri wenye pesa zao, huku Kigamboni mnapita wajinga. Na mnatetea upuuzi huo.

Kama serikali imeomba pesa NSSF inapaswa izilipe kama inavyolipa mikopo mingine yote, na siyo kufungafunga uchafu barabarani.

Barabara ikifunguliwa itachochea wakazi kuhamia na automatically kodi zitaongezeka huko.
 
Nyie wabunge wa Magufuli hatuwezi lipia daraja kwani nini kazi ya kodi zetu
 
Kwa taarifa yako hili daraja limekuwa proposed kipindi cha JK na kusaini hiyo grant kutoka South Korea. Acheni kudanganyika kuwa kila kizuri kilifanywa na Magufuli kama alivyokuwa ANAWAONGOPEA

The Advantages of a Grant​

Grants offer a number of benefits that any person in need of funding should consider.

  • No repayment necessary: Grants are non-repayable. Once you’re awarded the grant money, it’s yours without any strings attached. There’s no need to worry about monthly payments or piling on more debt. Repayment is the fundamental difference between a grant and a loan, and also what makes grants more valuable than loans.
  • No risk: Grants are a no-risk way to obtain the financing you need. If a loan is not repaid, you put your credit rating and assets in jeopardy. Grants do not require repayment and will only benefit you or your business.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…