Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hasira zako za nini,hili daraja limekuwa designed na Mfugale na likawakilishwa na Waziri Magufuli na likaanza ujenzi wakati wa Magufuli,na litalipwa na watanzaniaKwa taarifa yako hili daraja limekuwa proposed kipindi cha JK na kusaini hiyo grant kutoka South Korea. Acheni kudanganyika kuwa kila kizuri kilifanywa na Magufuli kama alivyokuwa ANAWAONGOPEA
Acha uongo weweSiyo kweli. Yule mpuuzi nafuu ametanhulia mbele ya haki maana amewapotosha wengi sana. Na ndiyo maana akataka hata Historia ya Tanzania ibadilishwe ili watoto wasome majina ya akina Magufuli, Mfugale, Kijazi etc
Terminal III ilikuwa vizuri tu alichofanya yeye ni kuwatoa makandarasi wa JK na kuingiza hao makandarasi wake. Mbona 80% ya kazi ilikwisha kamilika by October 2015?
Uelewa ndio shida…wanataka kuiga tu mambo ya toll roads/ bridges bila kuangalia wanaofanya hivyo financiers wa ujenzi huwa ni nani?!Lilipiwe tena kivipi wakati imetumika Kodi ya yetu bila kujalisha mwenye gari, pikipiki, baiskeli au mwenda kwa miguu.
Ninaposema 80% nina maanisha hivyo. Ila kumbuka kuna alterations zilifanyika kutoka kwenye original plan80% by 2015?! Nina wasi wasi Kama umeshirikisha ubongo wako kabla ya kutype otherwise chuki imetawala kichwa chako.
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
kifupi chake ndio hii TZ unayoijuaTokea wamelijua hili neno la tozo imekuwa nongwa[emoji38]
Ukweli ni upi? Mwendazake alikuwa mpigaji tu ila aliwa FOOL sana nyie ambao hamko makiniAcha uongo wewe
Ni vizuri lakini kwanini ulipie njia?Unalipia,na Kuna Mpaka private roads za kulipia Hong Kong watu binafsi wamejenga lakini wenzetu hawana VAT ndio maana kuna Road Tolls sasa sisi kodi zetu zinafanya kazi gani
Na ndiyo lengo lao kuwapunguza Makabwela kwenye hilo daraja ili wenye Nchi wapite kwa rahaa musitarehee!!Watapita mabalozi na wafanyabiashara pekee tulipe kodi zetu zile ......hakuna tozo bana......
Lile la Kigamboni kulipia ni sawa kiongozi, no mali ya NSSF, ni michango ya akina zao ni limejengwa kupitia mfumo wa PPP yaani Private Public Partneship, NSSF wamewekeza ili kupata faida kwa muda waliokubaliana na serikali na baada ya hapo linarejeshwa na linakuwa mali ya umma na tunaanza kutumia bila malipo.
Daraja la Tanzanite lenyewe ni mali ya serikali (umma) asilimia 100.
Vv
Tozo country.
Mama anaponya nchi.
Lile la Kigamboni kulipia ni sawa kiongozi, no mali ya NSSF, ni michango ya akina zao ni limejengwa kupitia mfumo wa PPP yaani Private Public Partneship, NSSF wamewekeza ili kupata faida kwa muda waliokubaliana na serikali na baada ya hapo linarejeshwa na linakuwa mali ya umma na tunaanza kutumia bila malipo.
Daraja la Tanzanite lenyewe ni mali ya serikali (umma) asilimia 100.
Vv