Bunge lataka Watumiaji wa Daraja Tanzanite (Selander) Walipie

Bunge lataka Watumiaji wa Daraja Tanzanite (Selander) Walipie

Naunga mkono hoja, ikiwezekana hata fly over zote tulipie
 
Siyo kweli. Yule mpuuzi nafuu ametanhulia mbele ya haki maana amewapotosha wengi sana. Na ndiyo maana akataka hata Historia ya Tanzania ibadilishwe ili watoto wasome majina ya akina Magufuli, Mfugale, Kijazi etc

Terminal III ilikuwa vizuri tu alichofanya yeye ni kuwatoa makandarasi wa JK na kuingiza hao makandarasi wake. Mbona 80% ya kazi ilikwisha kamilika by October 2015?
80% by 2015?! Nina wasi wasi Kama umeshirikisha ubongo wako kabla ya kutype otherwise chuki imetawala kichwa chako.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Kamati hiyo imesema ushuru uwepo katika daraja hilo kama ilivyo kwa daraja la Nyerere (Kigamboni) kwani daraja la Tanzanite nalo limejengwa kwa fedha za mkopo

Tulidhani ni fedha za ndani ! Kamati ya Bunge inasema ni mkopo !Description
Ulipofikia Ujenzi wa Daraja la Salenda, Waziri Mkuu Atoa neno
Source : Daily News 17 Jun 2021
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua mradi wa ujenzi wa daraja jipya la Tanzanite (New Selander) jijini Dar es Salaam na kwamba ameridhishwa na kasi ya maendeleo ya mradi huo ambao umefikia asilimia 83.5. Amekagua ujenzi wa mradi huo leo (Alhamisi, Juni 17, 2021). Daraja hilo lenye urefu wa kilomita 1.03 na upana wa mita 20.5, litagharimu sh. bilioni 243.75 na unatarajiwa kukamilika Desemba 14, mwaka huu. Kati ya watumishi 970 wanaofanyakazi katika mradi huo, asilimia 92 ni Watanzania. “Nimeridhishwa na hatua zilizofikiwa katika ujenzi wa mradi huu ambao umefikia katika hatua nzuri za ukamilishwaji wake. Miradi mingi imefikia hatua muhimu za ukamilishwaji na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ameona dalili ya ukamilishwaji ipo na ndiyo maana ameanzisha miradi mingine,” Waziri Mkuu amesema ameridhishwa na ushiriki wa Watanzania katika ujenzi wa miradi mikubwa inayoendelea kutekelezwa nchini kwa kuwa inachangia katika kuongeza wataalamu. “Watanzania hakuna kinachotushinda, muhimu tuwe na kanzi data ya wahandisi wanaoshiriki katika wa miradi.” Amesema Watanzania wanaofanyakazi katika mradi huo wahakikishe wanafanyakazi kwa umakini ili mradi utakapokamilika waweze kuwa na uwezo wa kujenga wenyewe daraja kama hilo. “Tuhakikishe kila mmoja anakuwa mahiri katika fani yake kama ni kuchanganya zege au kusuka nondo.” Ujenzi wa daraja hilo linalojengwa na kampuni ya GS Engineering Corporation kutoka Korea Kusini una lengo la kupunguza msongamano wa magari kwenye barabara ya Ali Hassan Mwinyi ambayo inatumiwa na magari mengi yanayoingia na kutoka katikati ya jiji la Dar es Salaam. Awali, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale alisema mradi wa ujenzi wa daraja hilo kwa sasa upo katika hatua za ukamilishwaji wa eneo la juu na tayari mkandarasi ameshalipwa shilingi bilioni 175.4.
 
Acha kuwa zezeta, hata kuhamia dodoma na bwawa la umeme ilikua ni ndoto ya baba wa taifa lakn haikuwezekana wakati ile sasa kufanya magufuli ni kuambua kudhubutu sasa hapo unataka tumsifie nani kwa kudhubutu, hivyo hivyo kikwete hakufanya kitu daraja la salender, japo alikua ma mpango,
Kwa taarifa yako hili daraja limekuwa proposed kipindi cha JK na kusaini hiyo grant kutoka South Korea. Acheni kudanganyika kuwa kila kizuri kilifanywa na Magufuli kama alivyokuwa ANAWAONGOPEA
 
Kamati ya Bunge ya Bajeti limeitaka serikali iwatoze tozo watumiaji wa daraja jipya la Tanzanite (New Salender).

========


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam yatozwe ushuru.

Kamati hiyo imesema ushuru uwepo katika daraja hilo kama ilivyo kwa daraja la Nyerere (Kigamboni) kwani daraja la Tanzanite nalo limejengwa kwa fedha za mkopo.

“Kamati inaitaka Serikali pindi daraja hili litakapokamilika, kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni, liwe ni daraja la kulipia yaani” amesema Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Sillo Baran.

Ujenzi wa daraja hilo ulizinduliwa Julai 23, 2018 na aliyekuwa Rais wakati huo, Hayati John Pombe Magufuli ikiwa ni mpango wa kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Barabara ya Barack Obama.

Jana Rais Samia Suluhu alisema daraja hilo lenye urefu wa kilomita 1.03 na upata wa mita 20.5 linatarajiwa kukamilika mwezi Desemba 2021 na kuzinduliwa katika sherehe za miaka 60 ya Uhuru.


Chanzo: Nipashe

Zaidi...

Daraja Jipya la Selander kuwa Toll Bridge

Mheshimiwa Spika, Kamati ya Bajeti ilipata fursa ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Daraja jipya la Tanzanite na kutaarifiwa kwamba Hatua iliyofikiwa ni:

kuendelea na ujenzi wa daraja jipya (km 1.03) na barabara unganishi zenye urefu wa km 5.2 ambapo ujenzi umefikia asilimia 87.3. Katika kipindi cha mwaka 2020/21, Shilingi Bilioni 58.8 zimetumika”.

Kamati inaitaka Serikali pindi Daraja hili litakapokamilika na kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni liwe ni daraja la kulipia yaani “Toll bridge” Kamati inaona kwa kuwa kuna njia mbadala ambayo endapo mtu hataki kulipia daraja anaweza kupita ni vyema ushauri huo ukazingatiwa.
Nilipie vipi wakati hizi ni pesa zangu mwenyewe zimetumika kulijenga hilo daraja,au ni Ndugai tena analeta sarakasi zake?
 
Kupunguza foleni katika maeneo ya upanga/seview! Umuhimu wake unapotea kwa kuweka tozo! Kama ndivyo basi iwe na kiwango nafuu kwa watumiaji wachache wao.
Hakuna haja ya tozo, huo ni wizi kama wizi mwingine, daraja la Tanzanite sio mali ya kampuni binafsi.

Vv
 
Sasa tozo zinatisha, Mh. Luhanga Mpina alijaribu na kuwasihi wawang'ang'anie makampuni makubwa, akadai hawalipi tozo zinazostahili, na wahusika wakifanya hivyo wanaweza kukusanya siyo chini ya 20 trilioni shillings per year!
Ila sababu wabunge. TRA na wengine wana vichwa maji basi kwao ni raia tu tu tu!
Hovyo kabisa...
 
Nadhani maidhui yangekua " Daraja la Kigamboni lifutwe tozo kama Tanzanite bridge"
 
Kamati ya Bunge ya Bajeti limeitaka serikali iwatoze tozo watumiaji wa daraja jipya la Tanzanite (New Salender).
========
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam yatozwe ushuru.
Kamati hiyo imesema ushuru uwepo katika daraja hilo kama ilivyo kwa daraja la Nyerere (Kigamboni) kwani daraja la Tanzanite nalo limejengwa kwa fedha za mkopo.
“Kamati inaitaka Serikali pindi daraja hili litakapokamilika, kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni, liwe ni daraja la kulipia yaani” amesema Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Sillo Baran.
Ujenzi wa daraja hilo ulizinduliwa Julai 23, 2018 na aliyekuwa Rais wakati huo, Hayati John Pombe Magufuli ikiwa ni mpango wa kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Barabara ya Barack Obama.
Jana Rais Samia Suluhu alisema daraja hilo lenye urefu wa kilomita 1.03 na upata wa mita 20.5 linatarajiwa kukamilika mwezi Desemba 2021 na kuzinduliwa katika sherehe za miaka 60 ya Uhuru.
Chanzo: Nipashe
Zaidi...
Daraja Jipya la Selander kuwa Toll Bridge
Mheshimiwa Spika, Kamati ya Bajeti ilipata fursa ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Daraja jipya la Tanzanite na kutaarifiwa kwamba Hatua iliyofikiwa ni:
kuendelea na ujenzi wa daraja jipya (km 1.03) na barabara unganishi zenye urefu wa km 5.2 ambapo ujenzi umefikia asilimia 87.3. Katika kipindi cha mwaka 2020/21, Shilingi Bilioni 58.8 zimetumika”.
Kamati inaitaka Serikali pindi Daraja hili litakapokamilika na kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni liwe ni daraja la kulipia yaani “Toll bridge” Kamati inaona kwa kuwa kuna njia mbadala ambayo endapo mtu hataki kulipia daraja anaweza kupita ni vyema ushauri huo ukazingatiwa.
 
Kamati ya Bunge ya Bajeti limeitaka serikali iwatoze tozo watumiaji wa daraja jipya la Tanzanite (New Salender).
========
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam yatozwe ushuru.
Kamati hiyo imesema ushuru uwepo katika daraja hilo kama ilivyo kwa daraja la Nyerere (Kigamboni) kwani daraja la Tanzanite nalo limejengwa kwa fedha za mkopo.
“Kamati inaitaka Serikali pindi daraja hili litakapokamilika, kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni, liwe ni daraja la kulipia yaani” amesema Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Sillo Baran.
Ujenzi wa daraja hilo ulizinduliwa Julai 23, 2018 na aliyekuwa Rais wakati huo, Hayati John Pombe Magufuli ikiwa ni mpango wa kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Barabara ya Barack Obama.
Jana Rais Samia Suluhu alisema daraja hilo lenye urefu wa kilomita 1.03 na upata wa mita 20.5 linatarajiwa kukamilika mwezi Desemba 2021 na kuzinduliwa katika sherehe za miaka 60 ya Uhuru.
Chanzo: Nipashe
Zaidi...
Daraja Jipya la Selander kuwa Toll Bridge
Mheshimiwa Spika, Kamati ya Bajeti ilipata fursa ya kutembelea na kukagua ujenzi wa Daraja jipya la Tanzanite na kutaarifiwa kwamba Hatua iliyofikiwa ni:
kuendelea na ujenzi wa daraja jipya (km 1.03) na barabara unganishi zenye urefu wa km 5.2 ambapo ujenzi umefikia asilimia 87.3. Katika kipindi cha mwaka 2020/21, Shilingi Bilioni 58.8 zimetumika”.
Kamati inaitaka Serikali pindi Daraja hili litakapokamilika na kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni liwe ni daraja la kulipia yaani “Toll bridge” Kamati inaona kwa kuwa kuna njia mbadala ambayo endapo mtu hataki kulipia daraja anaweza kupita ni vyema ushauri huo ukazingatiwa.
 
Mama anaupiga mwingi Sanaa.
Hivi hata China Yale madaraja yao kupita napo wanalipia?.
au Mimi ndo mshamba.


Unalipia,na Kuna Mpaka private roads za kulipia Hong Kong watu binafsi wamejenga lakini wenzetu hawana VAT ndio maana kuna Road Tolls sasa sisi kodi zetu zinafanya kazi gani
 
Magufuli hakuwa na nia hiyo!
The whole purpose of that bridge was to reduce congestion on SELANDER bridge heading into town!!! Selander bridge is toll free; if you impose any type of charge for those who might use the new bridge , then motorists because of the imposed charge might opt to continue using the SELANDER bridge instead and you will have defeated the whole purpose of decongesting SELANDER BRIDGE!!!
 
Labda ndio maana wabunge wanapendekeza wananchi wataotumia hilo daraja walipie, mabalozi na magari yenye namba za CD hata kwenye kivuko ferry hawalipi wala kupanga foleni kama sisi.

Vv


Kama mabalozi hawalipi serikali imelala yoooo kwenye tozo hao mabalozi ndio wengi tunaishi nao Masaki na Oysterbay kama hawalipi itakuaje
 
Back
Top Bottom