Bunge lataka Watumiaji wa Daraja Tanzanite (Selander) Walipie

Bunge lataka Watumiaji wa Daraja Tanzanite (Selander) Walipie

Kichekesho cha aina yake. Kuna option B ya kutokupita hilo daraja. Nyie wabunge acheni kujigomba kwa mama na kuwasahau wananchi, Anyway hatukuwachagua ndiyo maana hamna habari na sisi.
 
Wabunge Hawa vichwa vyao vitupu

Hilo daraja umoja wa mabalozi wa nje walikutana kujadili kuwa wanachelewa kuwahi ofisini kwao sababu ya pale daraja lililojengwa na serikali la selander kuwa dogo foleni kubwa wakakubaliana watafute pesa walijenge pale liwasaidie

Balozi wa Korea kusini ambaye ndie mwenyekiti wa mabalozi wa nje nchini akasema nchi yao itajenga

Sasa wabunge wanatakaje? Mabalozi na familia zao zichajiwe kupita Hilo daraja au? Waswahili wengi hawapiti upande ule wanaopita sehemu kubwa ni mabalozi na maofisa ubalozi na familia zao

Hilo daraja haikuwa proposal ya Raisi yeyote wa Tanzania si Nyerere si Mwinyi si Kikwete Wala Magufuli Wala Samia
 
Kamati ya Bunge ya Bajeti limeitaka serikali iwatoze tozo watumiaji wa daraja jipya la Tanzanite (New Salender).

========


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam yatozwe ushuru.

Kamati hiyo imesema ushuru uwepo katika daraja hilo kama ilivyo kwa daraja la Nyerere (Kigamboni) kwani daraja la Tanzanite nalo limejengwa kwa fedha za mkopo.

“Kamati inaitaka Serikali pindi daraja hili litakapokamilika, kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni, liwe ni daraja la kulipia yaani” amesema Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Sillo Baran.

Ujenzi wa daraja hilo ulizinduliwa Julai 23, 2018 na aliyekuwa Rais wakati huo, Hayati John Pombe Magufuli ikiwa ni mpango wa kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Barabara ya Barack Obama.

Jana Rais Samia Suluhu alisema daraja hilo lenye urefu wa kilomita 1.03 na upata wa mita 20.5 linatarajiwa kukamilika mwezi Desemba 2021 na kuzinduliwa katika sherehe za miaka 60 ya Uhuru.


Chanzo: Nipashe
Bunge la watu wasiojitambua badala ya kupambana tozo ziondolewe kwenye daraja la Nyerere wao wanataka hilo nalo lilipiwe kwa kipi hasa
 
Walipie tu kwani watu wa masaki wanahela nyingi sana sio sawa na sisi wa uswahilini.
Wakati wamejenga kwa hela zao walipie vipi daraja limehengwa kwa hela za wakazi wa masaki mabalozi wa nchi za nje walioko nchini sio hela za serikali
 
Kamati ya Bunge ya Bajeti limeitaka serikali iwatoze tozo watumiaji wa daraja jipya la Tanzanite (New Salender).

========


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam yatozwe ushuru.

Kamati hiyo imesema ushuru uwepo katika daraja hilo kama ilivyo kwa daraja la Nyerere (Kigamboni) kwani daraja la Tanzanite nalo limejengwa kwa fedha za mkopo.

“Kamati inaitaka Serikali pindi daraja hili litakapokamilika, kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni, liwe ni daraja la kulipia yaani” amesema Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Sillo Baran.

Ujenzi wa daraja hilo ulizinduliwa Julai 23, 2018 na aliyekuwa Rais wakati huo, Hayati John Pombe Magufuli ikiwa ni mpango wa kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Barabara ya Barack Obama.

Jana Rais Samia Suluhu alisema daraja hilo lenye urefu wa kilomita 1.03 na upata wa mita 20.5 linatarajiwa kukamilika mwezi Desemba 2021 na kuzinduliwa katika sherehe za miaka 60 ya Uhuru.


Chanzo: Nipashe
kuwe na utofauti, daraja la kigamboni lilijengwa na Taasisi ya Serikali kama mradi wa uwekezaji kwa taasisi hiyo (NSSF joint venture) na fedha +faida ilitakiwa irudi, Daraja la Tanzanite linajengwa na serikali kuu kwa mkopo wa Korean fund pamoja na mchango wa serikali, ambapo serikali itawajibika kulipa kama madeni mengine. ni kama miradi mingi mingine ya serikali. mfumo wa PPP ndio mahususi kuchangia (Toll) kama ambavyo chalinze expressway ingejengwa.
 
Lile la Kigamboni kulipia ni sawa kiongozi, no mali ya NSSF, ni michango ya akina zao ni limejengwa kupitia mfumo wa PPP yaani Private Public Partneship, NSSF wamewekeza ili kupata faida kwa muda waliokubaliana na serikali na baada ya hapo linarejeshwa na linakuwa mali ya umma na tunaanza kutumia bila malipo.

Daraja la Tanzanite lenyewe ni mali ya serikali (umma) asilimia 100.

Vv
Uwongo serikali haijatoa hata shilingi Mia kujenga lile daraja
 
kuwe na utofauti, daraja la kigamboni lilijengwa na Taasisi ya Serikali kama mradi wa uwekezaji kwa taasisi hiyo (NSSF joint venture) na fedha +faida ilitakiwa irudi, Daraja la Tanzanite linajengwa na serikali kuu kwa mkopo wa Korean fund pamoja na mchango wa serikali, ambapo serikali itawajibika kulipa kama madeni mengine. ni kama miradi mingi mingine ya serikali. mfumo wa PPP ndio mahususi kuchangia (Toll) kama ambavyo chalinze expressway ingejengwa.
Halijajengwa kwa mkopo uongo
 
Lilipiwe tena kivipi wakati imetumika Kodi ya yetu bila kujalisha mwenye gari, pikipiki, baiskeli au mwenda kwa miguu.
Hata mie cjaelewa,hotuba zilisema kuwa ni hela zetu za ndani,au nilisikia vibaya
 
Kamati ya Bunge ya Bajeti limeitaka serikali iwatoze tozo watumiaji wa daraja jipya la Tanzanite (New Salender).

========


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam yatozwe ushuru.

Kamati hiyo imesema ushuru uwepo katika daraja hilo kama ilivyo kwa daraja la Nyerere (Kigamboni) kwani daraja la Tanzanite nalo limejengwa kwa fedha za mkopo.

“Kamati inaitaka Serikali pindi daraja hili litakapokamilika, kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni, liwe ni daraja la kulipia yaani” amesema Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Sillo Baran.

Ujenzi wa daraja hilo ulizinduliwa Julai 23, 2018 na aliyekuwa Rais wakati huo, Hayati John Pombe Magufuli ikiwa ni mpango wa kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Barabara ya Barack Obama.

Jana Rais Samia Suluhu alisema daraja hilo lenye urefu wa kilomita 1.03 na upata wa mita 20.5 linatarajiwa kukamilika mwezi Desemba 2021 na kuzinduliwa katika sherehe za miaka 60 ya Uhuru.


Chanzo: Nipashe
Wabunge wetu wanapaswa kutofautisha kesi moja na nyingine, waangalie mazingira ya haya madaraja mawili, vinginevyo wanaweza kukuta hilo daraja la Tanzanite linaota ukungu kwa kutotumika

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hilo daraja halina manufaa yoyote kwa nchi na mji wa Dar. Ni mradi wa kiduanzi sana.
 
Ndio matatizo yakuwalipa posho kubwa matokeo yake wanashindwa kufikiri namna ya kuisadia serikali kutunisha mfuko wake..

Wangekuwa watu wa maana kama wangeshauri serikali ibane matumizi kwa kutowalipa wao baadhi ya posho na baadala yake ziende kujenga shule vijijini na vijana wapate chakula mchana huko vijijini wakiwa shule mchana...

Wabunge wanaweza kushauri, Bunge iwe kazi ya kujitolea baada ya kulipwa, yaani mtu akiwa mbunge basi asilipwe apewe usafiri tu wa kuja na kurudi dodoma, kula na kulala dodoma...
100% ✅
 
Wabunge Hawa vichwa vyao vitupu

Hilo daraja umoja wa mabalozi wa nje walikutana kujadili kuwa wanachelewa kuwahi ofisini kwao sababu ya pale daraja lililojengwa na serikali la selander kuwa dogo foleni kubwa wakakubaliana watafute pesa walijenge pale liwasaidie

Balozi wa Korea kusini ambaye ndie mwenyekiti wa mabalozi wa nje nchini akasema nchi yao itajenga

Sasa wabunge wanatakaje? Mabalozi na familia zao zichajiwe kupita Hilo daraja au? Waswahili wengi hawapiti upande ule wanaopita sehemu kubwa ni mabalozi na maofisa ubalozi na familia zao

Hilo daraja haikuwa proposal ya Raisi yeyote wa Tanzania si Nyerere si Mwinyi si Kikwete Wala Magufuli Wala Samia
Korea wametoa mkopo. Hawajengi bure. Mradi wa ajabu na aibu kabisa.
 
Kamati ya Bunge ya Bajeti limeitaka serikali iwatoze tozo watumiaji wa daraja jipya la Tanzanite (New Salender).

========


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam yatozwe ushuru.

Kamati hiyo imesema ushuru uwepo katika daraja hilo kama ilivyo kwa daraja la Nyerere (Kigamboni) kwani daraja la Tanzanite nalo limejengwa kwa fedha za mkopo.

“Kamati inaitaka Serikali pindi daraja hili litakapokamilika, kwa sababu limejengwa kwa mkopo kama lilivyo Daraja la Kigamboni, liwe ni daraja la kulipia yaani” amesema Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti, Sillo Baran.

Ujenzi wa daraja hilo ulizinduliwa Julai 23, 2018 na aliyekuwa Rais wakati huo, Hayati John Pombe Magufuli ikiwa ni mpango wa kupunguza msongamano wa magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Barabara ya Barack Obama.

Jana Rais Samia Suluhu alisema daraja hilo lenye urefu wa kilomita 1.03 na upata wa mita 20.5 linatarajiwa kukamilika mwezi Desemba 2021 na kuzinduliwa katika sherehe za miaka 60 ya Uhuru.


Chanzo: Nipashe

Umaskini. Nothing more.
 
Daraja lile lingejengwa pale Jangwani lingesaidia kwa wingi walala hoi,lilikojengwa kule ni egos za politicians wetu uchwara.Road tolls ni muhimu kwa kuhakikisha barabara zetu ziwe bora,T1 ni uchafu fulani na sio mbaya tukajenga road toll kama tatu hivi ili mapato yasaidie kujenga upya hii barabara sio kuitia vilaka,pale Mbeya to Tunduma ni hatari mno,Kitonga Pass tujenge 2 ways road pale na tuweke Arrester kama mbili hivi.

Ni wazo jema. India hapo juzi kati wali monetize all major public infrastructure kwa kuwapa private sector waziendeshe, halafu zile proceeds zinazopatikana zinasaidia ku maintain the existing roads na kujenga mpya.
 
Korea wametoa mkopo. Hawajengi bure. Mradi wa ajabu na aibu kabisa.
What mkopo? Wa mabilioni ili kupitisha tu mabalozi wachache na familia zao na vifisadi vichache vikina Zitto kabwe vinavyokaa masaki no Please.Give me a break are you sure? Kama kweli Raisi asiende kufungua atume hata mtendaji wa serikali ya mtaa akafanye huo ufunguzi.

Huo utakuwa wizi tu wa kuiba pesa kupitia makandarasi.Hakukuwa na haja ya Hilo daraja kabisa
 
Wakati wamejenga kwa hela zao walipie vipi daraja limehengwa kwa hela za wakazi wa masaki mabalozi wa nchi za nje walioko nchini sio hela za serikali

Usipotoshe, hilo daraja siyo la mabalozi. Ni la waTanzania. Hakuna ubalonzi hata mmoja ulio changa pesa kwa ajili ya daraja hilo.
 
Back
Top Bottom