babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,643
- 3,301
mkuu nawe huna imani na mkuruMkataba unachakachuliwa wakubwa wote wanatolewa yatawekwa majina ya watu wengine kabsa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nawe huna imani na mkuruMkataba unachakachuliwa wakubwa wote wanatolewa yatawekwa majina ya watu wengine kabsa
Hii ndiyo elimu ya kikwete ya kumfanya kila mtu anaelewa hata kama ni mburura. Ulipaswa uulize nini kinaweza kutokea kuliko kuhitimisha...Wakikataa basi yataishia hapo, kwani watawafanya nini, hata ungekuwa wewe kama polisi wamekataa utafanya nini?
Kumbe polisi wapo juu ya sheria?asante kwa kunijuza mkuu.Wakikataa basi yataishia hapo, kwani watawafanya nini, hata ungekuwa wewe kama polisi wamekataa utafanya nini?
Sio Kwa serikali ya MAGU. HAO POLISI WATATOA TUWakikataa basi yataishia hapo, kwani watawafanya nini, hata ungekuwa wewe kama polisi wamekataa utafanya nini?
Ndio wamesema speed ya mtandao wao unasoma: 0.00000000G hvo tuwe na subiraKutuma email na attachment siku 3?
Yumo mkuu ndiye mmiliki wa infosyskwa
ni kitwanga yumo??????????
Bunge latoa siku tatu kwa Jeshi la Polisi kuwasilisha mkataba wa Lugumi wenye kiasi cha takribal Bil 37.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamati za Bunge Aishi Hilali ili mkataba huo uweze kupitiwa tena Bunge.
Chanzo: East Africa Radio.