Bunge laulizwa alipo Job Ndugai, lasema halina taarifa alipo, inawezekana yupo jimboni kwake

Vikao vitatu bado saaana ndiyo kwanza hichi ni kikao cha kwanza.

Yule mgogo alivyo mpuuzi siku atakayokuja bungeni atawachamba wanaomuulizia na kumsifia chui jike.
 
Hawezi kufukuzwa hata asipohudhuria vikao vyote.

CCM wanalindana
 
Vikao vitatu bado saaana ndiyo kwanza hichi ni kikao cha kwanza.

Yule mgogo alivyo mpuuzi siku atakayokuja bungeni atawachamba wanaomuulizia na kumsifia chui jike.
Kiboko ya Goliath ,
Mwezi wa nne hadi wa sita au wa saba kuna bunge la bajeti, unahesabika kama mkutano mmoja.

Mkutano huo mmoja unaundwa na vikao vingi. Hivyo mkutano mmoja ni mkubwa kuliko kikao kimoja.

Ile sheria ya kufukuzwa ni kwa kudoji mikutano mitatu.
 
"Attention:
👉Ndugai yupo kizuizini
👉Alichofanyiwa Aboud Jumbe ndicho alichofanyiwa Ndugai.
👉Ameondolewa hadhi ya uspika mstaafu, haruhusiwi kutoka nje ya makazi yake isipokuwa kwa kibali maalum
👉Familia yake imezuia kuongea chochote kuhusiana na kinachoendelea
👉Ni mhaini"

Huo ujumbe nimeutoa Twitter umeandikwa na mtu anayejulikana kama MCHAMBUZI.

Kama ni kweli basi Ndugai amewekwa kwenye kizuizi cha kifo..afe taratibu kwa stress.
 
Yaonekana kama vile kavunja miiko ya kichawi. Kwa hiyo anadhurika kisirisiri.
 

Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe. Gal 6:1​

 
Huo ni utoro, Job Ndugai ni mtoro. Afukuzwe, afutiwe/anyang'anywe ubunge na afutiwe stahiki zake zote.
Kutingisha kiberiti kumemtokea puani na Sukuma gang waliomtanguliza kama chambo wamekaa pembeni kama wao siyo part and parcel wa kimbembe kilichomkuta, ka Jobu kananichekesha sana kwani kila kanapokuwa ni mada nakumbuka kalivyomtandika mtu bakora kwa jinsi kalivyo na uroho wa madaraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai alikuwa akifukuza wabunge wa CHADEMA sasa hivi yeye hata kuingia bungeni anaogopa.

Bunge limfukuze Ndugai na limnyime mafao yake kwa utoro bungeni
Yaani kuna mambo mengine hayaingi akilini, kutoka uspika alafu unakuwa mb, unakaa unagonga meza, unaomba sijui barabara, kisima cha maji jimboni mwako
Ahh kama mimi ndiye job nauachia huo ubunge najipumzikia

Ova
 

Kama kizuizini pia atoke bila amri
Hatuwezi kujua alipo
Hata wakati wa JKN wengi waliwekwa huko na wengi nje ya nchi
 
Hakuna mtego mgumu wowote. Ndugai ana madhambi mengi mno hasa ya matumizi ya fedha na akileta za kuleta anaweza kujikuta anakwenda kulalia kila kirago alichokuwa analalia Mbowe wakati wa kesi ya ''ugaidi'' rumande ila tofauti na Mbowe, yeye atakuwa kule kihalali kabisa. Makosa yake ni mengi na aliyafanya kwani alikuwa anajua u-kibaraka wake kwa Magufuli ulikuwa kinga. BTW sijawahi kuona nchi zenye Media za habari mbovu kama Tanzania. Hii ingekuwa imetoka nchi nyingine waandishi wangeshafuatilia na kujua alipo!
 
Yaani kuna mambo mengine hayaingi akilini, kutoka uspika alafu unakuwa mb, unakaa unagonga meza, unaomba sijui barabara, kisima cha maji jimboni mwako
Ahh kama mimi ndiye job nauachia huo ubunge najipumzikia

Ova
Mkuu hawa watu hawana hiyo jeuri. Ukiwaondoa kwenye hayo maisha ya kisiasa ya kula vya bure mtaani nakupia hawakuwezi. Yule jamaa asipokuwa na wadhifa mtaani ku-survive ni ngumu mno. Ila kweli maisha hubadilika kwa kasi sana na wakati si milele. Ni juzi juzi tu alikuwa mmoja ya watu wenye nguvu kabisa katika huu utawala.
 
Ndugai nje ya mfumo wa CCM ni kama panya. Hawezi chochote. Mimi nadhani atakuwa aliugua kwa sababu ya kunyang'anywa cheo na sasa yuko India anakotibiwa mara kwa mara.
 
Lazima viongozi wetu wajifunze kuishi
Baada ya uongozi
Lazima wakubali matokeo

Ova
 
Vikao vitatu bado saana mjomba. Ndiyo kwanza kikao cha kwanza.

Pitieni kanuni za bunge zipo google huko
Tofautisha kati ya kikao cha Bunge na mkutano wa Bunge Ndugu. Joshua Nassari unakumbuka alivyofukuzwa!?
 
Ndugai hawezi kwenda Bungeni tena kwa sababu mshahara na marupurupu bado analipwa na hakuna wa kuhoji hata akifutwa Ubunge vyote atapata maana mitego yao haipo wazi kwetu...karma imefanya kazi kwa kauli zake alizokua anatoa na kunyanyasa Watumishi wenzie mwacheni augulie maumivu ya kudumu..
 
Job Ndugai yuko nyumbani ila kila kikao cha bunge analipwa posho na mshahara unaingia bank kila mwezi.

Tanzania nchi hii ni ngumu sana.
Nchi haina Ugumu wowote bali Tatizo ni VIONGOZI tuliwachagua tukiwa VIPOFU sasa tunamtafuta tukiwa Vichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…