Youandme
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 200
- 113
Habari za mchana,
Naomba Bunge letu ifanye kikao maalum ya kumhoji mkuu wa JWTZ au waziri wa ulinzi kuhusu Lt. Col. Seromba.
Watanzania wanataka kujua ukweli. Watanzania, lazima tujue huyo Lt. Col. Seromba:
- alikuwa anafanya nini ?
- anatoka wapi ?
- cheo chake inamruhusu kuona/kupata/kusoma nini Jeshini ?
- pahali anaweza kukimbilia ?
- mafunzo gani ilipata ?
Je, Jeshi wamekagua wanajeshi wote ( uwezekano wa askari wapelelezi) ?
Hatua gani JWTZ imechukua ?
Je, Jeshi wamekagua computer zote ( uwezekano wa virus ) ?
Watanzania, tusisahau kama tuko katika kipindi cha misukosuko:
- Iran inatumia bendera ya Tz (labda ni USA, UK au Israel inapeleleza);
- uhusiano wa kijeshi kati yetu na China au na North Korea ;
- NSA ya USA na upelelezi wao duniani kote ;
- madawa ya kulevya ( isije ikawa story ya Guinea ) ;
- uhusiano mbaya na EAC (Rwanda na Kenya);
- uranium na uhusiano na makampuni ya Russia (nakupa uranium, unanipa silaha);
- gas na uhusiano na makampuni ya China (nakupa gas, unanipa silaha) ;
- etc.
Mungu Ibariki Tanzania.
- Anonym poll
- Leta idea yako
Naomba Bunge letu ifanye kikao maalum ya kumhoji mkuu wa JWTZ au waziri wa ulinzi kuhusu Lt. Col. Seromba.
Watanzania wanataka kujua ukweli. Watanzania, lazima tujue huyo Lt. Col. Seromba:
- alikuwa anafanya nini ?
- anatoka wapi ?
- cheo chake inamruhusu kuona/kupata/kusoma nini Jeshini ?
- pahali anaweza kukimbilia ?
- mafunzo gani ilipata ?
Je, Jeshi wamekagua wanajeshi wote ( uwezekano wa askari wapelelezi) ?
Hatua gani JWTZ imechukua ?
Je, Jeshi wamekagua computer zote ( uwezekano wa virus ) ?
Watanzania, tusisahau kama tuko katika kipindi cha misukosuko:
- Iran inatumia bendera ya Tz (labda ni USA, UK au Israel inapeleleza);
- uhusiano wa kijeshi kati yetu na China au na North Korea ;
- NSA ya USA na upelelezi wao duniani kote ;
- madawa ya kulevya ( isije ikawa story ya Guinea ) ;
- uhusiano mbaya na EAC (Rwanda na Kenya);
- uranium na uhusiano na makampuni ya Russia (nakupa uranium, unanipa silaha);
- gas na uhusiano na makampuni ya China (nakupa gas, unanipa silaha) ;
- etc.
Mungu Ibariki Tanzania.
- Anonym poll
- Leta idea yako