Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Kwanini tunaaminishwa kwamba mtaalamu na msomi wa uchumi NI mmoja tu Bungeni? Kama waziri wa Fedha ndiye mchumi pekee kwenye Bunge zima hoja za kiuchumi zitajadiliwa vipi?
Kwanini nchi ikubali kuwa na mchumi mmoja Tu na anayeamini yeye ndiye mtaalam wa uchumi na kwamba mtu mwingine yeyote atakayetaka kujadili uchumi lazima ajadili Kwa staha asimkwaze mchumi mbobevu?
Je, Kwa kiburi hiki na mwendo tunakwenda nao endapo mchumi mbobevu akikose haiwezekani wote tukawa tumekosea?
Mwisho, kusoma uchumi ndiyo kujua uchumi? Kama ndivyo kwanini wasomi WA uchumi wanaishi Kwa kutegemea kuajiriwa kuliko kuibadili uchumi uwe fursa waweze kuajiri? Mbona wachumi hakuna sehemu wanaonekana kuwa wawekezaji wakubwa?
Kwanini tuamini MTU anayetegemea salary anaweza kufikiri sawasawa juu ya kundi kubwa la watu wanaowaza kujiajiri?
Yeye mwenyewe akubali kujiajiri atakubali kuwa na watu wanaotaka kujiajiri? Au kwake Tozo na makodi makubwa huku akipitosha ununuzi wa magari ya anasa?
Tujadili wachumi wetu na kama tuna upungufu basi Bora tuchukue wachumi nje ambao awatatufokea Kwa kuangalia vyeti walivyopewa chuo wakidhani uchumi ni performance ya darasani.
Kwanini nchi ikubali kuwa na mchumi mmoja Tu na anayeamini yeye ndiye mtaalam wa uchumi na kwamba mtu mwingine yeyote atakayetaka kujadili uchumi lazima ajadili Kwa staha asimkwaze mchumi mbobevu?
Je, Kwa kiburi hiki na mwendo tunakwenda nao endapo mchumi mbobevu akikose haiwezekani wote tukawa tumekosea?
Mwisho, kusoma uchumi ndiyo kujua uchumi? Kama ndivyo kwanini wasomi WA uchumi wanaishi Kwa kutegemea kuajiriwa kuliko kuibadili uchumi uwe fursa waweze kuajiri? Mbona wachumi hakuna sehemu wanaonekana kuwa wawekezaji wakubwa?
Kwanini tuamini MTU anayetegemea salary anaweza kufikiri sawasawa juu ya kundi kubwa la watu wanaowaza kujiajiri?
Yeye mwenyewe akubali kujiajiri atakubali kuwa na watu wanaotaka kujiajiri? Au kwake Tozo na makodi makubwa huku akipitosha ununuzi wa magari ya anasa?
Tujadili wachumi wetu na kama tuna upungufu basi Bora tuchukue wachumi nje ambao awatatufokea Kwa kuangalia vyeti walivyopewa chuo wakidhani uchumi ni performance ya darasani.