Bunge letu lina wataalam wa uchumi wangapi? NI kweli kwamba yupo mmoja pekee?

Bunge letu lina wataalam wa uchumi wangapi? NI kweli kwamba yupo mmoja pekee?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kwanini tunaaminishwa kwamba mtaalamu na msomi wa uchumi NI mmoja tu Bungeni? Kama waziri wa Fedha ndiye mchumi pekee kwenye Bunge zima hoja za kiuchumi zitajadiliwa vipi?

Kwanini nchi ikubali kuwa na mchumi mmoja Tu na anayeamini yeye ndiye mtaalam wa uchumi na kwamba mtu mwingine yeyote atakayetaka kujadili uchumi lazima ajadili Kwa staha asimkwaze mchumi mbobevu?

Je, Kwa kiburi hiki na mwendo tunakwenda nao endapo mchumi mbobevu akikose haiwezekani wote tukawa tumekosea?

Mwisho, kusoma uchumi ndiyo kujua uchumi? Kama ndivyo kwanini wasomi WA uchumi wanaishi Kwa kutegemea kuajiriwa kuliko kuibadili uchumi uwe fursa waweze kuajiri? Mbona wachumi hakuna sehemu wanaonekana kuwa wawekezaji wakubwa?

Kwanini tuamini MTU anayetegemea salary anaweza kufikiri sawasawa juu ya kundi kubwa la watu wanaowaza kujiajiri?

Yeye mwenyewe akubali kujiajiri atakubali kuwa na watu wanaotaka kujiajiri? Au kwake Tozo na makodi makubwa huku akipitosha ununuzi wa magari ya anasa?

Tujadili wachumi wetu na kama tuna upungufu basi Bora tuchukue wachumi nje ambao awatatufokea Kwa kuangalia vyeti walivyopewa chuo wakidhani uchumi ni performance ya darasani.
 
Tusifanye uchumi Kama ni Taaluma ya uganga wa kienyeji kwamba kila mpiga ramli anaweza kuagua. Uchumi ni Taaluma tena ni ngumu haswa kwa watu laini hawawezi kuimudu kwa hiyo tusiwape nafasi wauliokimbia Taaluma hiyo kujiona ni wabobevu.

Niende kwenye mada yako. Mwigulu nchemba sio mchumi pekee aliye bungeni lakini mwigulu nchemba ni mchumi mwenye taarifa nyingi za kiuchumi bungeni. Kujua uchumi tu hakukufanyi uwe mchambuzi wa uchumi.

Taarifa alizonazo mwigulu ni taarifa zilizoandaliwa na zikathibitishwa na wabobezi wa uchumi kutoka wizara ya fedha, sasa anapotekea mtu kuzishambulia kwa utashi binafsi na kutaka cheap popularity inabidi tujiulize dhamira ya mtu huyo.

Narudia tena taarifa zipo nyingi lakini inabidi tuangalie chanzo Cha taarifa ili tujue undani na ukweli wake. Mwigulu chanzo chake Cha taarifa kinajulikana ,tunataka tujue chanzo Cha taarifa ya Mpina ,Kama unakijua kiseme ili tuone Nani mkweli
 
Tusifanye uchumi Kama ni Taaluma ya uganga wa kienyeji kwamba kila mpiga ramli anaweza kuagua. Uchumi ni Taaluma tena ni ngumu haswa kwa watu laini hawawezi kuimudu kwa hiyo tusiwape nafasi wauliokimbia Taaluma hiyo kujiona ni wabobevu.

Niende kwenye mada yako. Mwigulu nchemba sio mchumi pekee aliye bungeni lakini mwigulu nchemba ni mchumi mwenye taarifa nyingi za kiuchumi bungeni. Kujua uchumi tu hakukufanyi uwe mchambuzi wa uchumi.

Taarifa alizonazo mwigulu ni taarifa zilizoandaliwa na zikathibitishwa na wabobezi wa uchumi kutoka wizara ya fedha, sasa anapotekea mtu kuzishambulia kwa utashi binafsi na kutaka cheap popularity inabidi tujiulize dhamira ya mtu huyo.

Narudia tena taarifa zipo nyingi lakini inabidi tuangalie chanzo Cha taarifa ili tujue undani na ukweli wake. Mwigulu chanzo chake Cha taarifa kinajulikana ,tunataka tujue chanzo Cha taarifa ya Mpina ,Kama unakijua kiseme ili tuone Nani mkweli
-Swali, Je ni mwigulu pekee mwenye uwezo wa kupata hizo taarifa?

-Kama sisi hatuna taarifa sahihi, atufahamishe kwa data sio kupiga kelele, jazba.
 
-Swali, Je ni mwigulu pekee mwenye uwezo wa kupata hizo taarifa?

-Kama sisi hatuna taarifa sahihi, atufahamishe kwa data sio kupiga kelele, jazba.
Waziri wa fedha asiwe na uwezo wa kupata taarifa za uchumi ambazo Kimsingi zinatayarishwa na idara na taasisi zilizo chini ya wizara yake?

Alipojibu hivyo hakuonesha jazba yoyote ila alionesha kushangazwa na vijiutafiti uchwara visivyotoa hali halisi ya uchumi na wanaotoa vijiutafiti hivyo wanajua wanapotosha. Kinachomuuna yeye Taaluma anayoipenda na kuiheshimu kuona inajadiliwa kimzaha mzaha
 
Tuliwaambia tuweke kanuni ama sheria kwamba Mbunge awe na walau shahada moja hata kama ni ya sanaa mkagoma.
 
waziri anaposimama kujibu hoja ujue nyuma yake kuna mijitu mibobevu imedadavua na kumpa taarifa... lakini mbunge anaweza hata akapewa taarifa za uongo kwa sababu haja ya wabunge wengi hasa wa ccm ni cheap popularity ili waonekane wateuliwe tu.
 
Taarifa alizonazo mwigulu ni taarifa zilizoandaliwa na zikathibitishwa na wabobezi wa uchumi kutoka wizara ya fedha, sasa anapotekea mtu kuzishambulia kwa utashi binafsi na kutaka cheap popularity inabidi tujiulize dhamira ya mtu huyo.
Hivi yeye na Dr Mpango nani mchumi mbobezi kwenye taaluma hii, mbona hatujawahi kumsikia Dr Mpango akijisifu hata siku moja pale bungeni alipokuwa Waziri?

Ni ulimbukeni tu, angeweza kujibu hoja bila ya majisifu ya TRAB na TRAT.
 
Kwanini tunaaminishwa kwamba mtaalamu na msomi wa uchumi NI mmoja tu Bungeni? Kama waziri wa Fedha ndiye mchumi pekee kwenye Bunge zima hoja za kiuchumi zitajadiliwa vipi?

Kwanini nchi ikubali kuwa na mchumi mmoja Tu na anayeamini yeye ndiye mtaalam wa uchumi na kwamba mtu mwingine yeyote atakayetaka kujadili uchumi lazima ajadili Kwa staha asimkwaze mchumi mbobevu?

Je, Kwa kiburi hiki na mwendo tunakwenda nao endapo mchumi mbobevu akikose haiwezekani wote tukawa tumekosea?

Mwisho, kusoma uchumi ndiyo kujua uchumi? Kama ndivyo kwanini wasomi WA uchumi wanaishi Kwa kutegemea kuajiriwa kuliko kuibadili uchumi uwe fursa waweze kuajiri? Mbona wachumi hakuna sehemu wanaonekana kuwa wawekezaji wakubwa?

Kwanini tuamini MTU anayetegemea salary anaweza kufikiri sawasawa juu ya kundi kubwa la watu wanaowaza kujiajiri?

Yeye mwenyewe akubali kujiajiri atakubali kuwa na watu wanaotaka kujiajiri? Au kwake Tozo na makodi makubwa huku akipitosha ununuzi wa magari ya anasa?

Tujadili wachumi wetu na kama tuna upungufu basi Bora tuchukue wachumi nje ambao awatatufokea Kwa kuangalia vyeti walivyopewa chuo wakidhani uchumi ni performance ya darasani.
Kwani lazima wawepo ndani ya Bunge pekee? Aliyekwambia sera za Uchumi zinatungwa na Mwigulu nani? Acha ujinga basi.
 
Hivi yeye na Dr Mpango nani mchumi mbobezi kwenye taaluma hii, mbona hatujawahi kumsikia Dr Mpango akijisifu hata siku moja pale bungeni alipokuwa Waziri?

Ni ulimbukeni tu, angeweza kujibu hoja bila ya majisifu ya TRAB na TRAT.
Angalia utahamia Burundi, we haya weee
 
Tusifanye uchumi Kama ni Taaluma ya uganga wa kienyeji kwamba kila mpiga ramli anaweza kuagua. Uchumi ni Taaluma tena ni ngumu haswa kwa watu laini hawawezi kuimudu kwa hiyo tusiwape nafasi wauliokimbia Taaluma hiyo kujiona ni wabobevu.

Niende kwenye mada yako. Mwigulu nchemba sio mchumi pekee aliye bungeni lakini mwigulu nchemba ni mchumi mwenye taarifa nyingi za kiuchumi bungeni. Kujua uchumi tu hakukufanyi uwe mchambuzi wa uchumi.

Taarifa alizonazo mwigulu ni taarifa zilizoandaliwa na zikathibitishwa na wabobezi wa uchumi kutoka wizara ya fedha, sasa anapotekea mtu kuzishambulia kwa utashi binafsi na kutaka cheap popularity inabidi tujiulize dhamira ya mtu huyo.

Narudia tena taarifa zipo nyingi lakini inabidi tuangalie chanzo Cha taarifa ili tujue undani na ukweli wake. Mwigulu chanzo chake Cha taarifa kinajulikana ,tunataka tujue chanzo Cha taarifa ya Mpina ,Kama unakijua kiseme ili tuone Nani mkweli
Mwanasiasa ni mwanasiasa tu, hawezi kukubali kuumbuliwa yuko tayari akudanganye. Au umesahau kuna watu walishaitwa tumbili baada ya kuleta taarifa bungeni na waziri kuipinga kwa nguvu zote, je ingekubaliwa kuw waziri ana taarifa zaidi kuliko wengine ufisadi ungejulikana?
 
Waziri wa fedha asiwe na uwezo wa kupata taarifa za uchumi ambazo Kimsingi zinatayarishwa na idara na taasisi zilizo chini ya wizara yake?

Alipojibu hivyo hakuonesha jazba yoyote ila alionesha kushangazwa na vijiutafiti uchwara visivyotoa hali halisi ya uchumi na wanaotoa vijiutafiti hivyo wanajua wanapotosha. Kinachomuuna yeye Taaluma anayoipenda na kuiheshimu kuona inajadiliwa kimzaha mzaha
Wachumi ni kama Lee Kuan Yew, hawa wa kwetu tuanaowaita wataalam ni wachumi wa makaratasi tu maana kwa miaka zaidi ya 60 wameshindwa kufanya maajabu yoyote na wanaendelea kufanya yale yale tu ambayo layman mie ningefanya.
 
Tusifanye uchumi Kama ni Taaluma ya uganga wa kienyeji kwamba kila mpiga ramli anaweza kuagua. Uchumi ni Taaluma tena ni ngumu haswa kwa watu laini hawawezi kuimudu kwa hiyo tusiwape nafasi wauliokimbia Taaluma hiyo kujiona ni wabobevu.

Niende kwenye mada yako. Mwigulu nchemba sio mchumi pekee aliye bungeni lakini mwigulu nchemba ni mchumi mwenye taarifa nyingi za kiuchumi bungeni. Kujua uchumi tu hakukufanyi uwe mchambuzi wa uchumi.

Taarifa alizonazo mwigulu ni taarifa zilizoandaliwa na zikathibitishwa na wabobezi wa uchumi kutoka wizara ya fedha, sasa anapotekea mtu kuzishambulia kwa utashi binafsi na kutaka cheap popularity inabidi tujiulize dhamira ya mtu huyo.

Narudia tena taarifa zipo nyingi lakini inabidi tuangalie chanzo Cha taarifa ili tujue undani na ukweli wake. Mwigulu chanzo chake Cha taarifa kinajulikana ,tunataka tujue chanzo Cha taarifa ya Mpina ,Kama unakijua kiseme ili tuone Nani mkweli
Sasa mbona unatetea wakati wewe hujamuuliza mpina.Kale kanyuramba jeuri sana.
 
Tusifanye uchumi Kama ni Taaluma ya uganga wa kienyeji kwamba kila mpiga ramli anaweza kuagua. Uchumi ni Taaluma tena ni ngumu haswa kwa watu laini hawawezi kuimudu kwa hiyo tusiwape nafasi wauliokimbia Taaluma hiyo kujiona ni wabobevu.

Niende kwenye mada yako. Mwigulu nchemba sio mchumi pekee aliye bungeni lakini mwigulu nchemba ni mchumi mwenye taarifa nyingi za kiuchumi bungeni. Kujua uchumi tu hakukufanyi uwe mchambuzi wa uchumi.

Taarifa alizonazo mwigulu ni taarifa zilizoandaliwa na zikathibitishwa na wabobezi wa uchumi kutoka wizara ya fedha, sasa anapotekea mtu kuzishambulia kwa utashi binafsi na kutaka cheap popularity inabidi tujiulize dhamira ya mtu huyo.

Narudia tena taarifa zipo nyingi lakini inabidi tuangalie chanzo Cha taarifa ili tujue undani na ukweli wake. Mwigulu chanzo chake Cha taarifa kinajulikana ,tunataka tujue chanzo Cha taarifa ya Mpina ,Kama unakijua kiseme ili tuone Nani mkweli
Kama huu ndiyo uelewa wako basi Una safari ndefu; it's like umekaririshwa maisha. In short kama unaamini waziri WA Fedha anafahamu mambo mengi kuliko MTU yeyote umekosa Sana.

Taarifa gani ya uchumi WA nchi anayo waziri ya Siri? Economic data ni Kwa public consumption siyo waziri

Lakini pia kufanya KAZI wizara ya fedha siyo kigezo cha ubobezi, NI chance ya ajiri Tu imewaangukia hakuna ubobezi.

Tukubali waziri amekosea kuona watoa hoja wenzake wajinga na yeye Tu ndo anajua
 
U.S wao wanayo CEA (Council of Economic Advisers) wako watatu na ipo chini ya ofisi ya rais na ilianzishwa tangu 1946.
 
Tusifanye uchumi Kama ni Taaluma ya uganga wa kienyeji kwamba kila mpiga ramli anaweza kuagua. Uchumi ni Taaluma tena ni ngumu haswa kwa watu laini hawawezi kuimudu kwa hiyo tusiwape nafasi wauliokimbia Taaluma hiyo kujiona ni wabobevu.

Niende kwenye mada yako. Mwigulu nchemba sio mchumi pekee aliye bungeni lakini mwigulu nchemba ni mchumi mwenye taarifa nyingi za kiuchumi bungeni. Kujua uchumi tu hakukufanyi uwe mchambuzi wa uchumi.

Taarifa alizonazo mwigulu ni taarifa zilizoandaliwa na zikathibitishwa na wabobezi wa uchumi kutoka wizara ya fedha, sasa anapotekea mtu kuzishambulia kwa utashi binafsi na kutaka cheap popularity inabidi tujiulize dhamira ya mtu huyo.

Narudia tena taarifa zipo nyingi lakini inabidi tuangalie chanzo Cha taarifa ili tujue undani na ukweli wake. Mwigulu chanzo chake Cha taarifa kinajulikana ,tunataka tujue chanzo Cha taarifa ya Mpina ,Kama unakijua kiseme ili tuone Nani mkweli
Mpina vyanzo vyake ni ripoti ya mkaguzi mkuu wa mahesabu ya serikali Sasa tuseme hata Yule mkaguzi wa mahesabu ni mbumbumbu kuliko mwigulu?

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom