Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?

Bunge letu ni Bunge la ovyo? Bunge linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika naye aanze kuita Watu kwenye Kamati, au waachwe tu?

Wasira, ni Mwenyekiti wa Board hana mshahara. Uzoefu wake ni mkubwa kutoa ushauri

Pili, lini Wasira au Bulembo wame post au kutoa taarifa za kujipendekeza hata kama ni za uongo toka Samia awe Rais?
Kumbe hujui hata kitu unachoandika, alikudanganya nani kwenye bodi hawalipwi?

Halafu kama hujui Wasira ni mjumbe wa Kamati kuu ya Ccm na ameteuliwa na Mwenyekiti.

Unaweza kuwa na macho lakini huoni.
 
Kumbe hujui hata kitu unachoandika, alikudanganya nani kwenye bodi hawalipwi?

Halafu kama hujui Wasira ni mjumbe wa Kamati kuu ya Ccm na ameteuliwa na Mwenyekiti.

Unaweza kuwa na macho lakini huoni.
Yuko Payroll gani ya serikali Mwenyekiti? Au una jua umri wa ajira serikalini ni ngapi?
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za kwa maslahi ya taifa ambazo ziko kwa mfumo wa maswali, halafu majibu utayatoa mwenyewe wewe msomaji.

Maswali ya leo ni Bunge Letu ni Bunge la Hovyo? Bunge Letu Linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika Aanze Kuita Watu Kwenye Kamati, au Waachwe Tuu?.

Maswali haya ni kufuatia mkutano wa jana na waandishi wa habari Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

Baada ya kuzisoma hizo hoja, kabla sijaandika, nikatafuta kwanza clips ili kujiridhisha ni kweli maneno haya ameyamtaka kweli?, maana fani ya uandishi wa habari siku hizi imevamiwa, kuna waandishi wa habari wa kila aina kuanzia comedians, wasanii, na waandishi wengine wa hovyo sana, usipokuwa makini, sometimes waandishi hawa wa habari wa hovyo hovyo, hawachelewi kukulisha maneno!, hivyo nikamsikiliza mwanzo mwisho na kujirishisha kuwa ni kweli maneno hayo ameyasema, na sio tuu ameyasema, bali pia ameyaandika kwanza kisha akaja kutusomea sisi waandishi wa habari.

Kabla sijaendelea, naomba kuwakuwakumbusha wasomaji wangu, tujifunze kutofautisha definite statements na maswali. Hakuna statement kwenye bandiko hili, ni bandiko la swali!. Natoa angalizo hili kwasababu mimi mwenzenu nimeisha wahi kuitwa all the way from Dar to Dodoma, kufika kule nikaulizwa kwanini umetoa hii statement?, Nikajibu hiyo sio statement ni swali!. Hivyo hapa nasisitiza hili ni bandiko la swali sio bandiko la statement!.

Dr. Slaa ameliita Bunge Letu ni Bunge la Hovyo, na kilichofanyika kuridhia IGA ni uhuni?, ndio maana nauliza waungwana humu, hiki alichokisema Dr. Slaa kinaukweli kuhusu Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Kilichofanywa na Bunge letu kuridhia IGA ya DPW ni uhuni?. Wanaofanya uhuni ni wahuni, jee Wabunge wetu ni Wahuni?.

Bunge letu Tukufu haliwezi kudhalilishwa hivi tukanyama!, jee tumshauri Madam Spika aanze ule utaratibu kama wa mtangulizi wake kuita watu kwenye Kamati, watu wowote watakao toa kauli za kulidhalilisha Bunge, au waachwe tuu kwasababu wanatoa maoni yao kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni?.

Nashauri Daktari aitwe mbele ya Kamati!. Mimi nilipouliza tuu , hili swali Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? niliitwa Bungeni kuhojiwa na kamati!, sasa leo Bunge linaitwa la hovyo!, na kilichofanyika ni uhuni!, mtu huyu hawezi kuachwa hivi hivi tuu au aitwe mbele ya kamati kuthibitisha kauli yake?.

Na ikitokea asipoitwa, jee hii haitaaminisha alichosema ni kweli?, ndio maana nawauliza waungwana humu, jee ni kweli Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Jee ni kweli kilichofanyika kwa Bunge kuridhia hii IGA ya serikali yetu na Mwarabu wa Dubai ni uhuni?. Mtu anayefanya uhuni ni muhuni, jee waheshimiwa wabunge wetu ni wahuni?.

Paskali

Bunge la hovyo linalotokana na uchaguzi wa hovyo uliozalisha viongozi wa hovyo tulionao sasa.
Waandishi wa habari mmekuwa wa hovyo sana, hebu pitia kilichoandikwa kwenye magazeti ya leo kama kina uhusiano ulichokibandika hapa
 
Yuko Payroll gani ya serikali Mwenyekiti? Au una jua umri wa ajira serikalini ni ngapi?
Baki na ujinga wako, kwani kina Bulembo wanaingia payroll ipi?

Hivi kichwani uko sawa wewe? Unadhani maslahi bora yanapatikana kwa mtu kulipwa mshahara? Kuna watu mishahara yao wala hawaigusi unaingia tu bank na wala hawakumbuki kama kuna mshahara.
 
Baki na ujinga wako, kwani kina Bulembo wanaingia payroll ipi?

Hivi kichwani uko sawa wewe? Unadhani maslahi bora yanapatikana kwa mtu kulipwa mshahara? Kuna watu mishahara yao wala hawaigusi unaingia tu bank na wala hawakumbuki kama kuna mshahara.
Un jiita PhD na ujinga umekujaa. Jibu hoja kenge wewe.
 
Bunge gani lile ambalo kila anayepata nafasi ya kuongea anaanza kwa kumshukuru Samia Suluhu Hassan badala ya wapigakura waliowaweka madarakani?

Ule ni mkusanyiko wa wadudu waharibifu mfano wa kunguni mchwa na chawa waliotengewa ulaji wa uhakika na kujisemea chochote baada ya kuvimbiwa.
 
Ngoja tujibu hoja yako kwa mtindo wa swali!!

Kwa yanayoendelea na yaliyofanyika je ni makosa kufikiria bunge letu limejaa wahuni? Je serikali kupeleka mkataba ule bungeni na bunge kutumika kuupitisha ukiwa tayari umesainiwa sio uhuni? Haya ni maswali!
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za kwa maslahi ya taifa ambazo ziko kwa mfumo wa maswali, halafu majibu utayatoa mwenyewe wewe msomaji.

Maswali ya leo ni Bunge Letu ni Bunge la Hovyo? Bunge Letu Linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika Aanze Kuita Watu Kwenye Kamati, au Waachwe Tuu?.

Maswali haya ni kufuatia mkutano wa jana na waandishi wa habari Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

Baada ya kuzisoma hizo hoja, kabla sijaandika, nikatafuta kwanza clips ili kujiridhisha ni kweli maneno haya ameyamtaka kweli?, maana fani ya uandishi wa habari siku hizi imevamiwa, kuna waandishi wa habari wa kila aina kuanzia comedians, wasanii, na waandishi wengine wa hovyo sana, usipokuwa makini, sometimes waandishi hawa wa habari wa hovyo hovyo, hawachelewi kukulisha maneno!, hivyo nikamsikiliza mwanzo mwisho na kujirishisha kuwa ni kweli maneno hayo ameyasema, na sio tuu ameyasema, bali pia ameyaandika kwanza kisha akaja kutusomea sisi waandishi wa habari.

Kabla sijaendelea, naomba kuwakuwakumbusha wasomaji wangu, tujifunze kutofautisha definite statements na maswali. Hakuna statement kwenye bandiko hili, ni bandiko la swali!. Natoa angalizo hili kwasababu mimi mwenzenu nimeisha wahi kuitwa all the way from Dar to Dodoma, kufika kule nikaulizwa kwanini umetoa hii statement?, Nikajibu hiyo sio statement ni swali!. Hivyo hapa nasisitiza hili ni bandiko la swali sio bandiko la statement!.

Dr. Slaa ameliita Bunge Letu ni Bunge la Hovyo, na kilichofanyika kuridhia IGA ni uhuni?, ndio maana nauliza waungwana humu, hiki alichokisema Dr. Slaa kinaukweli kuhusu Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Kilichofanywa na Bunge letu kuridhia IGA ya DPW ni uhuni?. Wanaofanya uhuni ni wahuni, jee Wabunge wetu ni Wahuni?.

Bunge letu Tukufu haliwezi kudhalilishwa hivi tukanyama!, jee tumshauri Madam Spika aanze ule utaratibu kama wa mtangulizi wake kuita watu kwenye Kamati, watu wowote watakao toa kauli za kulidhalilisha Bunge, au waachwe tuu kwasababu wanatoa maoni yao kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni?.

Nashauri Daktari aitwe mbele ya Kamati!. Mimi nilipouliza tuu , hili swali Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? niliitwa Bungeni kuhojiwa na kamati!, sasa leo Bunge linaitwa la hovyo!, na kilichofanyika ni uhuni!, mtu huyu hawezi kuachwa hivi hivi tuu au aitwe mbele ya kamati kuthibitisha kauli yake?.

Na ikitokea asipoitwa, jee hii haitaaminisha alichosema ni kweli?, ndio maana nawauliza waungwana humu, jee ni kweli Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Jee ni kweli kilichofanyika kwa Bunge kuridhia hii IGA ya serikali yetu na Mwarabu wa Dubai ni uhuni?. Mtu anayefanya uhuni ni muhuni, jee waheshimiwa wabunge wetu ni wahuni?.

Paskali

Umeandika vizuri. hapa hutaitwa kuhojiwa. Ki msingi tunachangamoto ya mfumo. Mimi nionavyo Bunge letu halina meno ya kibunge kama lilivyopewa mamlaka na katiba yetu. Kwanza wapo baadhi ya wabunge elimu zao ni ndogo lakini wabishi na wajuaji.
Hivi wabunge ni wateule wa Rais?? Kwanini Mbunge hawezi kumaliza mchango wake bila kusifu ili Hali anaowawakilisha Wana Hali mbaya.
lakini wapo wabunge na mawaziri ambao mbele ya Watanzania hawaaminiki. Ni jeuri ya mamlaka ya uteuzi tu kuendelea kuwepo kwenye nafasi zao.
kwa hiyo siyo wahuni Bali mfumo uliojengwa huko nyuma na sasa unaliangamiza taifa .
Katiba mpya na kubadilika kwa fikra za Watanzania hasa katika elimu ya uraia,kuhoji na kuwa na kisomo jadidi pamoja na uzalendo( maximum state interest) inaweza kuwa tija .
Watanzania tuipende na tuifanyie kazi nchi yetu.
 
Wanabodi,

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu hizi za kwa maslahi ya taifa ambazo ziko kwa mfumo wa maswali, halafu majibu utayatoa mwenyewe wewe msomaji.

Maswali ya leo ni Bunge Letu ni Bunge la Hovyo? Bunge Letu Linafanya Uhuni? Wabunge Wetu ni Wahuni? Tumshauri Spika Aanze Kuita Watu Kwenye Kamati, au Waachwe Tuu?.

Maswali haya ni kufuatia mkutano wa jana na waandishi wa habari Bandari na DP World: Dkt. Slaa asema ni uuzaji wa Nchi. Adai Serikali iliyopo ina uhalali wa wasiwasi

Baada ya kuzisoma hizo hoja, kabla sijaandika, nikatafuta kwanza clips ili kujiridhisha ni kweli maneno haya ameyamtaka kweli?, maana fani ya uandishi wa habari siku hizi imevamiwa, kuna waandishi wa habari wa kila aina kuanzia comedians, wasanii, na waandishi wengine wa hovyo sana, usipokuwa makini, sometimes waandishi hawa wa habari wa hovyo hovyo, hawachelewi kukulisha maneno!, hivyo nikamsikiliza mwanzo mwisho na kujirishisha kuwa ni kweli maneno hayo ameyasema, na sio tuu ameyasema, bali pia ameyaandika kwanza kisha akaja kutusomea sisi waandishi wa habari.

Kabla sijaendelea, naomba kuwakuwakumbusha wasomaji wangu, tujifunze kutofautisha definite statements na maswali. Hakuna statement kwenye bandiko hili, ni bandiko la swali!. Natoa angalizo hili kwasababu mimi mwenzenu nimeisha wahi kuitwa all the way from Dar to Dodoma, kufika kule nikaulizwa kwanini umetoa hii statement?, Nikajibu hiyo sio statement ni swali!. Hivyo hapa nasisitiza hili ni bandiko la swali sio bandiko la statement!.

Dr. Slaa ameliita Bunge Letu ni Bunge la Hovyo, na kilichofanyika kuridhia IGA ni uhuni?, ndio maana nauliza waungwana humu, hiki alichokisema Dr. Slaa kinaukweli kuhusu Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Kilichofanywa na Bunge letu kuridhia IGA ya DPW ni uhuni?. Wanaofanya uhuni ni wahuni, jee Wabunge wetu ni Wahuni?.

Bunge letu Tukufu haliwezi kudhalilishwa hivi tukanyama!, jee tumshauri Madam Spika aanze ule utaratibu kama wa mtangulizi wake kuita watu kwenye Kamati, watu wowote watakao toa kauli za kulidhalilisha Bunge, au waachwe tuu kwasababu wanatoa maoni yao kwa mujibu wa ibara ya 18 ya katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni?.

Nashauri Daktari aitwe mbele ya Kamati!. Mimi nilipouliza tuu , hili swali Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali? niliitwa Bungeni kuhojiwa na kamati!, sasa leo Bunge linaitwa la hovyo!, na kilichofanyika ni uhuni!, mtu huyu hawezi kuachwa hivi hivi tuu au aitwe mbele ya kamati kuthibitisha kauli yake?.

Na ikitokea asipoitwa, jee hii haitaaminisha alichosema ni kweli?, ndio maana nawauliza waungwana humu, jee ni kweli Bunge letu ni Bunge la hovyo?. Jee ni kweli kilichofanyika kwa Bunge kuridhia hii IGA ya serikali yetu na Mwarabu wa Dubai ni uhuni?. Mtu anayefanya uhuni ni muhuni, jee waheshimiwa wabunge wetu ni wahuni?.

Paskali
Jee wewe Paskali unasemaje kuhusu wabunge hawa ni wahuni au siyo wahuni? Jibu tafadhali Mami
 
Ni aibu sana watu genuine na wenye heshima kama charles kimei kuwa kwenye bunge la wapumbavu kama hilo.
Watu genuine na wenye heshima? Come on Superbug, you've got to be kidding and please for god sake just call a spade by its name.

Mtu genuine na mwenye heshima anafanya nini kwenye kambi ya mafisadi? If it walks like a duck and quacks like a duck, it is a duck. Birds of a feather, fly together.
 
Back
Top Bottom