Bunge lichunguze mkataba wa Tsh bilioni 65 ilioingia Tanesco na kampuni ya Wahindi kuna harufu ya wizi

Uchunguzi Tena! Wa Nini sasa? Ulishaona supika inaichunguza redio? Mmm sasa Italians? Acha utani bwana😆😆😆
 
Tanzania ni shamba la Bibi hata magufuli na watu wake walipiga so acheni na awamu hii wapige hela za kujiandaa na uchaguzi
 
Hawa ndiyo aina ya mawaziri wanaopendwa na "watu wale", full comedians, badala ya kutatua tatizo la maji wanaleta maigizo...Eti wanaenda kuchota maji na wananchi...

 
Wakat wa JPM uongoz wote wa tanesco ulifutwa kuanzia board, mkurugenz na management je uamuzi ulichungunzwa?
Hapakutokea ajari Kama hizi punde,ndio maana sasa watu wanamtilia Shaka bwana dereva.
 
It's not about kufuta bodi hapa, it's all about that money.
Tanesco chini ya Waziri aliyepita walitangaza tender na kampuni zikaomba , Waziri wa Sasa amekuja kushuhudia utiaji sain na kazi ianze.Pesa imetoka Kwa ajili ya kuweka Sawa mifumo ya Tanesco so mlitaka naye aanze kutudanganya kama last phase? Sasa hapo mnamlaumu Kwa lipi?
 
Mtu alikuwa Magufuli tu katika hii nchi. Pamoja na mapungufu yake yote,lakini alikuwa na uchungu. Usingeweza kukuta vitu vya ajabu ajabu namna hiyo. Ghafla nchi imebadirika upigaji umekuwa live live sasa
Huyo ndio alikuwa fisadi kuu, midege amenunua fedha hazijaizinishwa na bunge, hili tu wapige ten percent, hakuna mkataba hata mmoja kipindi Cha mwendazake ambao ulikuwa wazi au vinginevyo,Tena ukijitia kuhoji umekwisha,

Kipindi Cha Samia mambo mengi anaweka wazi, akikopa fedha nje anatueleza wananchi, mwendazake yeye alikuwa anakopa fedha kwa aliowaita mabeberu,halafu misukule yake anaidanganya kuwa anatumia fedha za ndani,

Mwendazake Kama angefankiwa kumaliza vipindi vyote viwili, Nchi ingekuwa na Deni hata la trillion 200,

SAMIA Ni best president ,na ataifikisha Nchi mbali Sana kimaendeleo, nyie misukule ya mwendazake dawa yenu ipo jikoni!!
 
Watanzania tunapenda sana kudanganyana......

Ndugai aanze lipi sasa?!!

Kwani yuko mbunge naye ameibua kutaka uchunguzi wa manunuzi (value for money) yaliyofanywa na serikali kuanzia 2015 mpaka 2021.......
 
Unamaanisha Tanesco wakati wa Magufuli iliingia tender ya ku-monitor kwa satellite jinsi umeme unavyokatika? hebu tuwekee hiyo tender hapa.
 
Unamaanisha Tanesco wakati wa Magufuli iliingia tender ya kumonitor kwa satellite jinsi umeme unavyokatika? hebu tuwekee hiyo tender hapa.
Tender Kwa ajili ya kupata huo mfumo ilitangazwa wakat Kaleman akiwa Waziri chini ya JPM na wala sio Serikal hii ya Sasa.
 
Yes ndugai bunge lichunguze huu mkataba na wahindi. Hawa wamefikia kiasi kwamba lazima watupige iwe mvua iwe pakavu. Saa hivi wapigaji wamo kwenye steering. Tusikubali lazima kuwang'oa.
A luta continua. Viva Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…