mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,864
- 10,483
Duh! Hawa si waheshimiwa suala la "table manners" kwao ni shida! Ingalikuwa ni kwa ajili ya "presentation skills" angalau inge "make sense"! [emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Hawa si waheshimiwa suala la "table manners" kwao ni shida! Ingalikuwa ni kwa ajili ya "presentation skills" angalau inge "make sense"! [emoji849]
Naona sasa na Mnyakyuusa sasa anafuata nyayo maana like father like daughter.Huu ujinga ndio ulimfanya yule Msukuma akaitwa kila aina ya majina.
Bila shaka diyo uzuri wa kuw na bunge la chama kimoja.Na posho wamesain...
Kama alivyolalamika mbona wanakula sana, wanavimbiwa😀😀😀 naona kaamua kumpa kazi dada Tulia ackson ili aweze kuwaelimisha std 7 namna ya kula bila kuvimbiwa. Walambe asali kistaarabu😀😀😀Haya wabunge wanatayarishwa kwa ajili ya Table manners ili angalau waweze kuunganishwa katika ziara za nje baada ya nchi kufunguka
Nilishasema huku ndani. Aina ya wabunge wanaochaguliwa ndio wana reflect aina ya wananchi waliopo maeneo husikaKama alivyolalamika mbona wanakula sana, wanavimbiwa[emoji3][emoji3][emoji3] naona kaamua kumpa kazi dada Tulia ackson ili aweze kuwaelimisha std 7 namna ya kula bila kuvimbiwa. Walambe asali kistaarabu[emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani Komoro wakinunuaga wanyama toka huku wananuaje,au waliyokufaKule uarabuni ndio mikataba inasainiwa, wanyama hai ruksa kusafirishwa sasa wameona wahairishe bunge ili watupige vizuri.
Hizo ni taratibu za mabunge yote duniani. Ni kama vile sehemu ya "induction" and people need not to feel that were offended. Ni taratibu za kawaida, kama umefanya kazi serikalini na unaenda kwenye mikutano mngeelewa.
Huyo jamaa hatakiwi hata kufufuka kama kweli kuna siku ya mwisho.Hao wabunge wa hovyo Ni Kazi ya yule msukuma
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Yaani jamaa hawana kazi zaidi ya maigizo tupuHuu ujinga ndio ulimfanya yule Msukuma akaitwa kila aina ya majina.
Ni genge la matapeli tupu
Nikichojifunza kwenye maisha yangu hakuna kitu kibaya kama umaskini uwe mbunge, jaji au kiongozi wa Serikali au mtu binafsi.Etiquette
Unataka waambiwe funika kikombe!!!!Sasa hizo ishu zina tija gani bungeni au ni kutafta ela za kula kwenye hicho kinachoitwa mafunzo?
Aibu yao!!AMAKWELI.
2022 WABUNGE WANAFUNDISHWA KUVAA NA KULA?
Na huko watalipwa padiem! CCM hoyee, mwendazake hoyee....
Bunge la "ushindi wa kishindo"Nikichojifunza kwenye maisha yangu hakuna kitu kibaya kama umaskini uwe mbunge, jaji au kiongozi wa Serikali au mtu binafsi.
Bilionea Billy Gates alienda kuonana na Raisi akiwa kavaa nguo kama za mitumba na kiatu ambacho hakijapigwa kiwi na alipokelewa kwa heshima zote na hakuna chombo cha habari kilikosoa uvaaji wake.
Bakhresa mfano akienda hata kutembelea bunge aweza kwenda na kanzu na.chini kavaa ndala za mia tano au yeboyebo za plastic na akapokelewa kwa heshima zote kuliko mbunge,au jaji au kiongozi mkubwa wa Serikali aliyevaa suti ya ufaransa na aweza kula kwa mikono bila umma wala protocol ya table manners na hakuna wa kusema fyoko iwe media au huyo mwalimu wa kufundisha table manners.
Wabunge nao malofa tu
Hao wabunge vilaza ni pamoja na January, nape, Mrs jakaya n.kHii laana imuendee mwendazake kutuletea wabunge vilaza
Hao wabunge ni zao lake baada ya kubaka uchaguzi 2020Huu ujinga ndio ulimfanya yule Msukuma akaitwa kila aina ya majina.